Ukisemacho kinaweza kuwa sawa!Ila ambacho si sawa ni hizo takwimu za mleta mada!Mimi hapo ndio nimesema Huo ni upotoshaji!Halafu mtu anaweka ramani nusu Ili kuhadaa watu,unaona ni sahihi?Unasahau kwamba moja na moja inamake mbili,kidogo kidogo watazichukua hizo 92,000sqkm zilizobaki.Tunachoshangaa ni huyo Supa pawa kushindwa kuhold hizo sqkm alizokuwa amezinyakua.Ukrain kwa sasa wanajiamini zaidi na watazirudisha zote.Ni swala la muda tu.Tujipe hadi mwisho wa October utaona matokeo yake.
Sasa kuna haja gani ya kuteka kama uwezo wa kuhold ulichokiteka huna? Kwa hiyo itakuwa ni mwendo wa kuteka,unazidiwa unaachia unarudi tena unateka,unazidiwa unaachiaKharkiv ni mala ya ngapi inakombolewa?.kama waliweza kurudi tena wanashindwaje kurudi?.Na hata ivyo kuna sehemu URUSI anazidi kusonga mbele kwa iyo bado kazi ipo
Hapo nimekuelewaUkisemacho kinaweza kuwa sawa!Ila ambacho si sawa ni hizo takwimu za mleta mada!Mimi hapo ndio nimesema Huo ni upotoshaji!Halafu mtu anaweka ramani nusu Ili kuhadaa watu,unaona ni sahihi?
Hizo conapirasy bs huwa mnazisoma wapi? So comical man hahaWakati Russia anajipanga, Ndio USA anatengeneza watu maabara wengi na kuwajaza Ukraine. Ngoma inogile mpaka afilisike yaani