shamimuodd
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,188
- 2,113
Bosi wasaliti huwa hawakosekani hata enzi za rumi kulikuwa na huyu mwamba aliitwa SegestesHata wakati wa mkoloni, babu yako alihamasisha hivi hivi watu wasishiriki harakati za uhuru hadi wahakikishiwe maslahi binafsi.
Naona utamaduni huo.umejikita hadi kwa wajukuu na vitukuu vyakrle.
Shameless
Uonaongelea wakati wa mkoloni tulipopata uhuru. Ila sasa hivi unatumika kupigania masilahi ya Freeman Mbowe. Endelea kuwa pimbiHata wakati wa mkoloni, babu yako alihamasisha hivi hivi watu wasishiriki harakati za uhuru hadi wahakikishiwe maslahi binafsi.
Naona utamaduni huo.umejikita hadi kwa wajukuu na vitukuu vyakrle.
Shameless
Na hapo ndipo ujinga wenu ulipoUzuri ruti hii tutatembelea humu humu JamiiForums, sidhani kama kuna kiroboto mwenye ujasiri wa kuingia barabarani kwenda kuharibiwa viungo vyake na Polisi.
Ramani hii hapa:
View attachment 3102731
Binadamu anaangalia maslahi yake, ukiitwa kupambana hakikisha una mgao wako unaolingana na viungo utakavyopoteza au kifo. Tsh
Vijana hamupaswi kupoteza muda wenu kwenye maandamano yasiyokuwa na maana. Wakati nyinyi munaathirika, familia zao zipo nje ya nchi zikiishi kwa utulivuMaandamano ni sehemu ya demokrasia Kwa Nchi zinazoongozwa na watu smart tofauti na Tanzania ambapo wajinga na hayawani ndiyo wamepewa madaraka na matokeo yake utekaji umetamalaki
Rais ndiye anayeagiza wapinzani watekwe kwa faida ya kisiasa. Mbona hajawahi kuagiza watoto ama ndugu zake wakae mstari wa mbele kuteka watu?Ndugu Mbowe, ambaye anahamasisha maandamano haya, ana watoto lakini hajawahi hata siku moja kuwaweka mbele kwenye harakati hizi.
Kwa nini nyinyi mufanye hivyo? Vijana, kumbukeni kuwa Tanzania yetu ni nchi moja tu, na hatuna nyingine. Maandamano haya hayatatufaidisha, bali yataharibu taswira nzuri ya nchi yetu.
Tuchukue jukumu la kuyapinga kwa nguvu zetu zote, na tuachane na wanasiasa wachache wanaotaka kutuweka bize na maandamano ili wafurahishe mabosi wao huko nje, kama vile Ujerumani, kwa malengo yao binafsi.
Njoo kwenye maandamano kesho upewe maelezo zilipo hizo 2b.Kwahiyo watu wataacha Kusafiri na kusafirisha bidhaa bishara na Huduma Siku nzima kwasababu ya maandamano ya chadema?Most likely mnaumwa si bure... Hivyo Watu waache kazi zao wakavunjwe viuno ili kutengeneza Mkate wa Mbowe na familia yake sio? Pesa za Ruzuku bilion 2.7 ziko wapi?
Utapeli tu. Kuna uhuru gani hapa unaopiganiwa kwa kiwango cha hao manguli unaowataja? Kati ya hao wote kuna ambaye baada ya kushindwa alikimbilia kwenye nchi ya wakoloni kutafuta hifadhi ya kisiasa?Mkwawa, Chief kimweli, akina Abushiri sultan, Kinjeketile Ngwale nk wangeamua kujali familia yao na kuangalia maslahi yao basi wangekaa mezani na wakoloni na kuiuza Tanganyika.
Kwani hao polisi mnaowatuma kuteka na kuua wapinzani, wao familia zao zinaishi vizuri kama anavyoishi Abdul?Vijana hamupaswi kupoteza muda wenu kwenye maandamano yasiyokuwa na maana. Wakati nyinyi munaathirika, familia zao zipo nje ya nchi zikiishi kwa utulivu
Kwamba kila kiongozi wa wakati huo aliyeshindwa na wakoloni alijiua ama?Utapeli tu. Kuna uhuru gani hapa unaopiganiwa kwa kiwango cha hao manguli unaowataja? Kati ya hao wote kuna ambaye baada ya kushindwa alikimbilia kwenye nchi ya wakoloni kutafuta hifadhi ya kisiasa?
Mfano Kinje alijinyonga baada ya kushindwa ili asikamatwe, hakukimbia nchi wala kujificha, alikufa kama askari wake waliokufa, Sasa wewe unavyoona kuna kiongozi yupo tayari kufa ikitokea maandamano yameshindikana?
EelweUonaongelea wakati wa mkoloni tulipopata uhuru. Ila sasa hivi unatumika kupigania masilahi ya Freeman Mbowe. Endelea kuwa pimbi
Hakuna Cha maana, ila ingekuwa JW wameenda let say congo mission ya UN , pesa ndefu, kufa, kuumia au kurudi salama!Hapo sasa angalau hao polisi huwa wanalipwa posho, fidia na wakipoteza maisha familia zao pengine kuna bima. Sasa kuna wanaoitwa waandamanaji.
Inasikitisha sanaHata wakati wa mkoloni, babu yako alihamasisha hivi hivi watu wasishiriki harakati za uhuru hadi wahakikishiwe maslahi binafsi.
Naona utamaduni huo.umejikita hadi kwa wajukuu na vitukuu vyakrle.
Shameless
Kwamba kuna usiri wa sababu za mapambano kwa waandamanaji na uhalisia wa maslahi kwa waandaaji.Kwamba kila kiongozi wa wakati aliyeshindwa na wakoloni alijiua ama?
Lissu ameshavunjwavunjwa na risasi.Utapeli tu, hata wanajeshi wanalipwa wakienda vitani, wewe unataka watoto wa watu wakavunjwe viungo bure halafu baadae viongozi muitane kwa majadiliano mnywe kahawa na korosho huku mkikubalina mambo fulani fulani?
View attachment 3102778
Kweli.Hakuna Cha maana, ila ingekuwa JW wameenda let say congo mission ya UN , pesa ndefu, kufa, kuumia au kurudi salama!
Sio bongo I tell.
Hawa ni posho ya 50,0000 kwa siku , makamanda wao wanakunja kama 500,000 kwa siku ndo maana wana KIU ya kuwaumiza ndugu zao kisa ni posho.Kweli.
Moja ya tukio baya kwa binadamu japo ni katika vita ya maslahi kama ilivyo kwa Dr Ulimboka. Hoja ni kwamba siasa ni maslahi, swali ni maslahi ya moja kwa moja kwa mwandamanaji aliyevunjika mguu ni yapi?Lissu ameshavunjwavunjwa na risasi.
Maslahi. Wameona 50,000 inatosha na wakaingia mzigoni. Sasa watu weshapokea chao unategemea nini?Hawa ni posho ya 50,0000 kwa siku , makamanda wao wanakunja kama 500,000 kwa siku ndo maana wana KIU ya kuwaumiza ndugu zao kisa ni posho.
Kifupi bi TOZO , ushungi mama yetu Nchi IMEMSHINDA tayari
Wale waliopotelewa na watoto wao, ndugu zao, makada wenzao, jamaa na marifiki zao sio maslahi ya moja kwa moja kwao katika kuandamana??Moja ya tukio baya kwa binadamu japo ni katika vita ya maslahi kama ilivyo kwa Dr Ulimboka. Hoja ni kwamba siasa ni maslahi, swali ni maslahi ya moja kwa moja kwa mwandamanaji aliyevunjika mguu ni yapi?