halichachi bando
Senior Member
- Feb 17, 2018
- 122
- 166
ChaiBaba yako anayo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ChaiBaba yako anayo?
Nilishauriwa kuiacha na kamati yangu ya ulinzi na usalama mwaya, kila habari lazima ihakikiwe kwanza.Spill the tea girl....
Naweza kuwa mjumbe kwenye kamati yako?😁Nilishauriwa kuiacha na kamati yangu ya ulinzi na usalama mwaya, kila habari lazima ihakikiwe kwanza.
Isingekuwa hivyooooo, mbona mabalaa yangekuwa mengi?
Ili upate ubuyu? Una kifua? LolNaweza kuwa mjumbe kwenye kamati yako?😁
Eeeh chest freezer langu zima sana ni bruhm new modelIli upate ubuyu? Una kifua? Lol
Umbeya hata kwenye kifo.Amekufa kwa sababu muda wake wa kuishi umekwisha.Na hajauwawa.Ndio hivyo tu sio kila jambo la kusema, lakini siku mkijua yaliyo nyuma ya kifo cha jamaa mtabaki midomo wazi.
Apumzike kwa amani.
Hapa Arusha Kuna Malls gani za kusema jamaa ana malls za kutosha. Sio Arusha tu. Hapa Tanzania ziko ngapi?Huyo baba nisher hategemei sadaka ana biashara zake ana mashamba kibao ma mall kibao
Ila ukumbuke kwamba hata kama ni ya kizamani hakupewa bure, alilipiaMirange yote ya kizamani
UjingaIla ukumbuke kwamba hata kama ni ya kizamani hakupewa bure, alilipia
ujinga ni kujaza migari ya zamaniIla ukumbuke kwamba hata kama ni ya kizamani hakupewa bure, alilipia
Wagalatia mna tabu basi hapo ndo mnajiona mmekamilika kabisaa kiimani..weeh Jini unamjua lkn au stori za wagalatia wenzio mashekhe wanamiliki majini...Mchungaji anamiliki marenji ya kutosha..
shehe anamiliki majini ya kushanta
Wewe ustaz unajua raha ya kumiliki maruhani tu basi...Wagalatia mna tabu basi hapo ndo mnajiona mmekamilika kabisaa kiimani..weeh Jini unamjua lkn au stori za wagalatia wenzio mashekhe wanamiliki majini...
😂😂😂Mchungaji anamiliki marenji ya kutosha..
shehe anamiliki majini ya kushanta
Apendi kujitangaza chunguza na uwe na wambea wakuelezee wewe sio kila mtu anapenda kujioneshaHapa Arusha Kuna Malls gani za kusema jamaa ana malls za kutosha. Sio Arusha tu. Hapa Tanzania ziko ngapi?
StupidKwa kweli huyu nabii yupo tofauti Sana na manabii wengine ni nabii pekeee Tanzania mwenye roho ya huruma na upendo Mkubwa kwa binadamu naandikia hivi kwasababu nikiwa arusha nilikuwa naende kutengeneza radio yake NYU inapoharibika hayo magari yote unayo onyesha akilitumia baadaye huwa anagawa kwa watu hasa wafanyakazi wa pale hemani kwa kweli ni nabii wa tofauti Sana Tanzania sijaona mfano wake amekuwa msaada Mkubwa Sana kwa jamii inayo mzunguka hata kwa serikali amekuwa mpatanishi pia upande wa serikali
Hakuna na wala hatotokea sio shekhe tuu hakuna mwanadamu ataye mmiliki Jini weeh kaa usikilize story za vijiweniWewe ustaz unajua raha ya kumiliki maruhani tu basi...
We mwenyew ndo walewaleWewe pimbi nilisha kwambia chuki ya udini inakutafuna sana,bila shaka maisha yamekupiga huna mbele wala nyuma kama kitumbua,umebaki kujifariji tu kwenye kashfa ya udini,ukiona unasemwa uislam lazima ujipitishe huku unatingisha kalio lako.