Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana kaka. Nasikia hata yule mtoto wa Nisher aliyefariki,ni mzee alimtanguliza. Akatembea na mke wa Nisher Tena . Jamaa akawa mtu wa tungi.Huwezi jua mkuu,, ukute dogo ndo ilikuwa zamu yake kumtoa kafara. Maisha yana siri nyingi mkuu.
Land rover na Range Rover company moja tu. Hashindwi na kitu jamaaSio Defender zingine hapo?
Wote wataenda mavumbini watupu!!!.........Mchungaji anamiliki marenji ya kutosha..
shehe anamiliki majini ya kushanta
Kabisa hiyo ndio tofauti ya mashehe na wachungajiMchungaji anamiliki marenji ya kutosha..
shehe anamiliki majini ya kushanta
Weeee kumbe??? Baada ya nanii kufariki ndo kahamia kwa huyo??Ndie anaaempa jeuri Christine
Kikubwa umiliki 😂😂😂Mchungaji anamiliki marenji ya kutosha..
shehe anamiliki majini ya kushanta
Tunaomba utuandalie kajarida kwa ufupi sana ilitujue yaliyomo yamo.?Ndio hivyo tu sio kila jambo la kusema, lakini siku mkijua yaliyo nyuma ya kifo cha jamaa mtabaki midomo wazi.
Apumzike kwa amani.
Na mbususu nne😄Mchungaji anamiliki marenji ya kutosha..
shehe anamiliki majini ya kushanta