EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Week ijayo Dubai wataifanya TAX
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee...maana yake hamna gari ingine itapata mwanya wa kukopi design.Nimependa brake lights zao
Wenyewe wanadai kuna over 500 patents on the new design
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa wana dharau sana utakuta tu kapaki4 Uan za rangi tofautiKama Rolls Royce zipo za kukodi itakuwa hio...ila bei yako nayo iko ki RR
[emoji23][emoji23] Dah we jamaa, umenifurahisha ngoja wajeGari ya Diamond Platinums inaoongoza !
Kuna watu wanaishi alafu kuna wengine tuna survive..
Haya twendeeeee......Twende mbele turudi nyuma..
Awa jamaa wanatoa gari kali sana..
Mkuu hii hautaki kufanya Hata test ride
"Rim Spoti"Uuze uongeze hela ununue 'new model'
Siwezi kudanganya moyo wangu natamba na Ford ranger hata ya 2020 au Benz hata BM lakini huyo mdudu wa 2016 ananivimbisha macho nimeachana nae nimebaki kumuangalia matoleo anayotoa mapya na nafatilia kweli..Kwa Mungu madogo mkuu ipo siku na wewe unaweza kuwa nalo
View attachment 1992509
Aiseeee njaa hiziDuh mkuu mbona za 2014 huko bei bado imesimama kwenye £25,000 ambayo ni 80m bado TRA hamjatoana damu!
Auto Trader UK - New and Used Cars For Sale
Find your next car with Auto Trader UK, the official #1 site to buy and sell new and used cars. Over 400,000 cars online. Simple, easy, quick!www.autotrader.co.uk
Mbona naskia ishafika moja znzHii picha nimeiona wiki iliyopita nikahisi ni concept image ya hiyo ndinga kumbe ni reality....
Kuanzia mwakan tutayaona haya Magari hapa bongo hasa Kwa wahindi na waarabu.
Hata land cruiser 300 series tutaiona Tu kuanzia mwakan maana hapa bongo kuna wabishi wanasukuma mipira ya hatari barabaran
hata hao watu weupe wanaziheshimu gari za kijapan in terms of durability. For your information hiyo Range Rover after 10 years resale value yako itakua chini zaidi mara mbili zaidi ya land Cruiser ya mwaka 2020Gari za Japanese hata V8 engine zao huwa nashindwa kuelewa zile sound, yaani gari v8 inalia kama premio,🤣..
V8 za mzungu, dude kama Ford likiunguruma tu huna haja ya kuuliza kama ni v8😃