Range Rover amchokoza BMW X4!

Range Rover amchokoza BMW X4!

Nikaangalia picha naona Range Rover Evoque.

TATA Motors ni kampuni ya India, BMW ni kampuni ya Ujerumani na imenunuliwa na Mercedes Benz. Pia, kwenye X series za BMW sina uhakika kama kuna X4. Nafahamu X1, X3, X5 na X6.

Nimeshindwa kupata connection.
 
Nikaangalia picha naona Range Rover Evoque.

TATA Motors ni kampuni ya India, BMW ni kampuni ya Ujerumani na imenunuliwa na Mercedes Benz. Pia, kwenye X series za BMW sina uhakika kama kuna X4. Nafahamu X1, X3, X5 na X6.

Nimeshindwa kupata connection.


BMW X4 ipo na picha yake nimeweika hapo juu, isitoshe BMW haina uhusiano wowote ule na Mercedes Benz zote ni za Ujerumani lkn hazina uhusiano ni Kampuni mbili tofauti!
 
Jamaa wa design department ya Jaguar Land Rover yupo safi sana. Inafurahisha jinsi gari zao nyingi zinavyoendelezwa ki teknolojia huku zikiendelea kuwa na muonekano wa kuvutia tofauti na wa Toyota Motors Corporation ambae amebofoa katika gari zao nyingi mpya zina shape za viazi mbatata, yani hazina mvuto kabisa na designer akiwa bado yupo kwenye kiti cha ofisi nashindwa elewa sijui wanawaza nn kuunda gari za ajabu ajabu tu...arrgh!
 
Jamaa wa design department ya Jaguar Land Rover yupo safi sana. Inafurahisha jinsi gari zao nyingi zinavyoendelezwa ki teknolojia huku zikiendelea kuwa na muonekano wa kuvutia tofauti na wa Toyota Motors Corporation ambae amebofoa katika gari zao nyingi mpya zina shape za viazi mbatata, yani hazina mvuto kabisa na designer akiwa bado yupo kwenye kiti cha ofisi nashindwa elewa sijui wanawaza nn kuunda gari za ajabu ajabu tu...arrgh!
Mkuu...

Jaguar Land Rover,design department wapo vizuri sana.Gari zao zinaonesha uluxury tangia nje.

Ukiiona tu gari kwa nje ilivyo nzuri unajua hii ni luxury.

Mfano angalia Jaguar X-Series na Range Rover Series... Hizi gari ni nzuri mno outside.

Toyota wanafeli kwenye design... Gari inakua kama mkate.
 
Samahani kidogo mtoa mada naomba kidogo nitoke nje ya mada.........

Nafikiri kuna baadhi ya watu akili haziko kichwani na wameamua kuwa watumwa wa fikra za wengine.....

Sasa huu uzi una uhusiano gani na mambo ya Bashite.....!!??

Nasikitika kuona jinsi gani watu wanavyotumika na wanasiasa kwa maslahi yao binafsi.....
 
Mkuu...

Jaguar Land Rover,design department wapo vizuri sana.Gari zao zinaonesha uluxury tangia nje.

Ukiiona tu gari kwa nje ilivyo nzuri unajua hii ni luxury.

Mfano angalia Jaguar X-Series na Range Rover Series... Hizi gari ni nzuri mno outside.

Toyota wanafeli kwenye design... Gari inakua kama mkate.
Hawa jamaa wa JLR wanajua nn wanafanya, im in love with all jaguars especially the f-pace ndio voila!!!
 
Mkuu...

Jaguar Land Rover,design department wapo vizuri sana.Gari zao zinaonesha uluxury tangia nje.

Ukiiona tu gari kwa nje ilivyo nzuri unajua hii ni luxury.

Mfano angalia Jaguar X-Series na Range Rover Series... Hizi gari ni nzuri mno outside.

Toyota wanafeli kwenye design... Gari inakua kama mkate.
Acha kuponda wakati Tanzania mmeshindwa kuunda hata box la juisi standard.
 
Passo vp mkuu huipendi?

Passo nayo ni gari sasa, ni matatizo ya hii nchi tu mkuu ila ningekuwa raia wa dubai stori ingekuwa tofauti.

Gari za kiume ni SUV's tu mzee, likes za Range Rover,Ford Explorer, Land Cruiser VX/LX, Chevrolet Tahoe, Cadillac Escalade, Nissan y62...
 
Wengine hizi gari kali tutazidi kuziona kwa wenzetu, kupanda za wenzetu na kuziona online. Kuna moja nilipanda siku moja sikutamani kushuka.

Duh ...you just died already, pole sana ndugu.
 
Passo nayo ni gari sasa, ni matatizo ya hii nchi tu mkuu ila ningekuwa raia wa dubai stori ingekuwa tofauti.

Gari za kiume ni SUV's tu mzee, likes za Range Rover,Ford Explorer, Land Cruiser VX/LX, Chevrolet Tahoe, Cadillac Escalade, Nissan y62...
Kwa hiyo sisi wanachama wa passo owners association (POA) tujitathmini upya sio?
 
Back
Top Bottom