Jumla ya utajiri wa bwana KY wote kwenye lile geto.Kibabe sana
🙌Milion 32 ......una nunua boda boda 28 ambazo zitakuingizia kipato kiku wa zaid
Alisikika motivational speaker mmoja akisema....
And!!!! Bei ya kawaida sana tu,Ukiangalia hapo kwenye picha inaonyesha kabisa sehemu ilipogonga na kuharibika.
Hivyo kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matengenezo.
Kisha ukiangalia kwenye Total.
Hii gari imegharimu shilingi za Kenya 1,614,720
Ukiangalia exchange rate ya shilling ya Kenya Ni sawa na sh. 20.37 ya Tanzania.
Hivyo ukiibadili katika Tsh. Unapata takribani 32,891,846.40
Yaani shilingi million 32, laki 8, tisini na moja elfu na Mia nane arobaini na sita na Senti arobaini TU za kitanzania[emoji4]View attachment 2052951View attachment 2052952View attachment 2052956
Tumia akili miguu yako na kilichoko chini ya kitovu chako utazipata hizo m32 kilaini yani ki ky ky au ki slowslowYaani sasa hivi nikiokota begi lina mil 32 dah sijui Mungu nitamshukuru vip maana duh!
We mdanganye tuTumia akili miguu yako na kilichoko chini ya kitovu chako utazipata hizo m32 kilaini yani ki ky ky au ki slowslow
Nawe una vogue la kukarabati?Yaani sasa hivi nikiokota begi lina mil 32 dah sijui Mungu nitamshukuru vip maana duh!
Mwanamke mzuri akijiuza kistaarabu hakosi milion moja mpaka tano kwa mwezi labda aone aibu kupanua mapaja.We mdanganye tu
Sio kwamba jamaa kapigwa?Tatizo wabongo uoga tu spea sio shida sikuhizi af umeme mwingi so mafuta linanusa tu ~ aliskika dogo mmoja muuza mitumba kwenye kijiwe cha kahawa
Kijana wa hovyo hovyo usiache kupita humu