Range Rover imegharimu zaidi ya mil. 32 kukarabati taa na bampa la mbele

Range Rover imegharimu zaidi ya mil. 32 kukarabati taa na bampa la mbele

Tatizo wabongo uoga tu spea sio shida sikuhizi af umeme mwingi so mafuta linanusa tu ~ aliskika dogo mmoja muuza mitumba kwenye kijiwe cha kahawa
Kijana wa hovyo hovyo usiache kupita humu
yani dunia ni kijiji aseee, spea ndani ya wiki tu unaoata mafuta sio tatizo kabisaa😂😂😂
 
Mwaka fulani nilinunua Samsung S3 used kwa 130,000 ikaja kuharibika display nikaambiwa gharama ni 180,000 nikahisi nataka kupigwa, nikazunguka maduka ya Kkoo na M/Mbusho mwisho nikaenda Posta duka fulani hivi jamaa ananiambia gharama ni 250,000.

Ile simu hata sijui niliitupa wapi.

Same strategy ya kutojua nimeacha wapi kitu husika ningeiapply kwenye hili gari.
 
Ukiangalia hapo kwenye picha inaonyesha kabisa sehemu ilipogonga na kuharibika.
Hivyo kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matengenezo.

Kisha ukiangalia kwenye Total.
Hii gari imegharimu shilingi za Kenya 1,614,720

Ukiangalia exchange rate ya shilling ya Kenya Ni sawa na sh. 20.37 ya Tanzania.

Hivyo ukiibadili katika Tsh. Unapata takribani 32,891,846.40

Yaani shilingi million 32, laki 8, tisini na moja elfu na Mia nane arobaini na sita na Senti arobaini TU za kitanzania[emoji4]View attachment 2052951View attachment 2052952View attachment 2052956

Umereplace original parts Mpya toka Kwa manufacturer hata Kama Ni Raum bado ingekuwa ghali tu!
 
Ukiangalia hapo kwenye picha inaonyesha kabisa sehemu ilipogonga na kuharibika.
Hivyo kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matengenezo.

Kisha ukiangalia kwenye Total.
Hii gari imegharimu shilingi za Kenya 1,614,720

Ukiangalia exchange rate ya shilling ya Kenya Ni sawa na sh. 20.37 ya Tanzania.

Hivyo ukiibadili katika Tsh. Unapata takribani 32,891,846.40

Yaani shilingi million 32, laki 8, tisini na moja elfu na Mia nane arobaini na sita na Senti arobaini TU za kitanzania[emoji4]View attachment 2052951View attachment 2052952View attachment 2052956
Mikwara tu hii nyambafu
 
Emergency braking ni kwa ulaya tu hapa bongo utachomekewa na bajaji wenye daladala na boda boda mpaka gari itachanganyikiwa😅
😂😂🤣gari inaweza kugeuza ikapatafuta kipawa JK INter irudi kwao usifanye mchezo bongo.
 
Ukiangalia hapo kwenye picha inaonyesha kabisa sehemu ilipogonga na kuharibika.
Hivyo kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matengenezo.

Kisha ukiangalia kwenye Total.
Hii gari imegharimu shilingi za Kenya 1,614,720

Ukiangalia exchange rate ya shilling ya Kenya Ni sawa na sh. 20.37 ya Tanzania.

Hivyo ukiibadili katika Tsh. Unapata takribani 32,891,846.40

Yaani shilingi million 32, laki 8, tisini na moja elfu na Mia nane arobaini na sita na Senti arobaini TU za kitanzania[emoji4]View attachment 2052951View attachment 2052952View attachment 2052956
safi sana, Bila shaka pesa si ile ya mvuja jasho anayekamuliwa tozo ya kila aina, inayotoka kwa njia nyepesi ya Debit na Credit
 
[emoji23][emoji23] nmekumbuka jamaa yangu mmoja aligongesha Range lover ya shemeji yake hesabu ya ku fanya repair and maintenance ilibidi auze gari zake mbili Subaru Forester na IST
Rafiki yangu mmoja alikua pia anachukua ya shem wake anavimba mjini.
Sijatia mguu mle ndani namwambia tangulia tukutane huko tunaenda maana asije kusema nilikua na huyu tulipe wote.
 
[emoji23][emoji23] nmekumbuka jamaa yangu mmoja aligongesha Range lover ya shemeji yake hesabu ya ku fanya repair and maintenance ilibidi auze gari zake mbili Subaru Forester na IST
.
IMG_20211217_181646.jpg
 
Kuna uzi flan nmeona jamaa anahamasisha vijana wanaoanza maisha wanunue range Rover badala ya HARRIER kwasababu Bei za manunuzi Ni sawa.

Nikasema hi hi hiiii...baghosha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukiangalia hapo kwenye picha inaonyesha kabisa sehemu ilipogonga na kuharibika.
Hivyo kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matengenezo.

Kisha ukiangalia kwenye Total.
Hii gari imegharimu shilingi za Kenya 1,614,720

Ukiangalia exchange rate ya shilling ya Kenya Ni sawa na sh. 20.37 ya Tanzania.

Hivyo ukiibadili katika Tsh. Unapata takribani 32,891,846.40

Yaani shilingi million 32, laki 8, tisini na moja elfu na Mia nane arobaini na sita na Senti arobaini TU za kitanzania[emoji4]View attachment 2052951View attachment 2052952View attachment 2052956
Ndogo sana hiyo
 
Back
Top Bottom