Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Taa ziko 4 so 4x32=128M.Nani kakudanganya, mpya zero km sio chini ya 250m
250-128=122M body, engine na sensors wenda lakin siamin. Ni rover aina gan?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taa ziko 4 so 4x32=128M.Nani kakudanganya, mpya zero km sio chini ya 250m
Haikuwa na comprehensive?[emoji23][emoji23] nmekumbuka jamaa yangu mmoja aligongesha Range lover ya shemeji yake hesabu ya ku fanya repair and maintenance ilibidi auze gari zake mbili Subaru Forester na IST
Hapana jamaaa hua ana endesha rough na nlimwambia endesha vizuri nakufahamu uendeshaji wako akasema ame endesha gari zaidi ya miaka 10 mbaya zaidi aliniudhi alitelekeza gari baada ya ajariRoho mbaya tu wewe, Kama ulimpa bure kiroho Safi basi msamehe au alipie nusu.
Mwenye gari aliamua kufanya roho mbaya coz hata baada ya gari kupona akai lock na password mwisho wa siku walimlipa gari mpyaHaikuwa na comprehensive?
Mbona umeandika kiudaku? Hio list yote ni taa na bumper? Unafikiri list hio hio ukiweka vitu vya Toyota Land cruiser utatumia 3.5m? Huo mkeka ukienda na LC200 pale Karimjee bei inazidi hio 32mUkiangalia hapo kwenye picha inaonyesha kabisa sehemu ilipogonga na kuharibika.
Hivyo kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matengenezo.
Kisha ukiangalia kwenye Total.
Hii gari imegharimu shilingi za Kenya 1,614,720
Ukiangalia exchange rate ya shilling ya Kenya Ni sawa na sh. 20.37 ya Tanzania.
Hivyo ukiibadili katika Tsh. Unapata takribani 32,891,846.40
Yaani shilingi million 32, laki 8, tisini na moja elfu na Mia nane arobaini na sita na Senti arobaini TU za kitanzania[emoji4]View attachment 2052951View attachment 2052952View attachment 2052956
Anaandika kiudaku. Damage hadi radiator,intercooler na taka taka kibaoKwa maelezo yako unasema ni Taa na Bampa la mbele lakini Invoice haijaandikwa hivyo.
Safi hamna huruma hurumaUme kwepa mengi, mimi gari ya mtu siendeshi unless nna mgonjwa au dharula ya msingi kuna jamaa yangu juzi kati nmempa gari yangu kaenda kuparamia gari la mgodini nmepeleka gari garage hesabu ika soma 1.6M jamaa kaanza kijiliza nmemwambia nitakua nachukua mshahara wake mpka hesabu i balance
Mkuu jamaa hana income yeyote hilo dude mafuta tu shughuli acha service.tulikua na brevis kali tu ambayo tungetumia.nikajikuta naingia ATM kila baada ya masaa ma3[emoji1787][emoji1787]ukakwepa lawama
Ndugu yangu mimi gari la nini? Kuna kitu kingine nataka kukiweka sawa, gari nitaendesha hata la offisinNawe una vogue la kukarabati?
Ahaaaaaa wanaotoa hizo walikufa na meli ya victoriaTumia akili miguu yako na kilichoko chini ya kitovu chako utazipata hizo m32 kilaini yani ki ky ky au ki slowslow
KabisaaaUkiongeza chenchi kidogo tu unavuta IST 3 toka Japan.
Kuna uzi flan nmeona jamaa anahamasisha vijana wanaoanza maisha wanunue range Rover badala ya HARRIER kwasababu Bei za manunuzi Ni sawa.
Nikasema hi hi hiiii...baghosha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hilo gari hata niwe na hela kiasi gani, labda niliokote barabarani...Tatizo wabongo uoga tu spea sio shida sikuhizi af umeme mwingi so mafuta linanusa tu ~ aliskika dogo mmoja muuza mitumba kwenye kijiwe cha kahawa
Kijana wa hovyo hovyo usiache kupita humu