Range Rover imegharimu zaidi ya mil. 32 kukarabati taa na bampa la mbele

Range Rover imegharimu zaidi ya mil. 32 kukarabati taa na bampa la mbele

Roho mbaya tu wewe, Kama ulimpa bure kiroho Safi basi msamehe au alipie nusu.
Hapana jamaaa hua ana endesha rough na nlimwambia endesha vizuri nakufahamu uendeshaji wako akasema ame endesha gari zaidi ya miaka 10 mbaya zaidi aliniudhi alitelekeza gari baada ya ajari
 
Ukiangalia hapo kwenye picha inaonyesha kabisa sehemu ilipogonga na kuharibika.
Hivyo kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matengenezo.

Kisha ukiangalia kwenye Total.
Hii gari imegharimu shilingi za Kenya 1,614,720

Ukiangalia exchange rate ya shilling ya Kenya Ni sawa na sh. 20.37 ya Tanzania.

Hivyo ukiibadili katika Tsh. Unapata takribani 32,891,846.40

Yaani shilingi million 32, laki 8, tisini na moja elfu na Mia nane arobaini na sita na Senti arobaini TU za kitanzania[emoji4]View attachment 2052951View attachment 2052952View attachment 2052956
Mbona umeandika kiudaku? Hio list yote ni taa na bumper? Unafikiri list hio hio ukiweka vitu vya Toyota Land cruiser utatumia 3.5m? Huo mkeka ukienda na LC200 pale Karimjee bei inazidi hio 32m
 
Ume kwepa mengi, mimi gari ya mtu siendeshi unless nna mgonjwa au dharula ya msingi kuna jamaa yangu juzi kati nmempa gari yangu kaenda kuparamia gari la mgodini nmepeleka gari garage hesabu ika soma 1.6M jamaa kaanza kijiliza nmemwambia nitakua nachukua mshahara wake mpka hesabu i balance
Safi hamna huruma huruma
[emoji1787][emoji1787]ukakwepa lawama
Mkuu jamaa hana income yeyote hilo dude mafuta tu shughuli acha service.tulikua na brevis kali tu ambayo tungetumia.nikajikuta naingia ATM kila baada ya masaa ma3
 
Ukiongeza chenchi kidogo tu unavuta IST 3 toka Japan.
 
kwangu nahsi km umefika hatua ya kuvusha gari for maintenance uwezo unao na cost y maintainance depends na wapi gari umelipeleka japo kw io demage na cost nikirudi ktk uhalisia iko hyped sanaaa labda km walinunua na engine mpya kdgo naweza kuelewa
 
Kuna uzi flan nmeona jamaa anahamasisha vijana wanaoanza maisha wanunue range Rover badala ya HARRIER kwasababu Bei za manunuzi Ni sawa.

Nikasema hi hi hiiii...baghosha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kwa hiyo hela ya matengezo naweza pata ist 3 zilizonyooka nasajili uber kwa siku hesabu ni 30,000 kwa tatu kwa siku 90,000 zidisha kwa wiki mara 6 = 540,000 kwa mwezi unapata 2,160,000/= kwa mwaka una 25,920,000/=.
 
Back
Top Bottom