t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Hata kama una insurance, mambo mengine ni ya kuweka tahadhari yasikukuteKwani huna Insurance?
Mzozo wa kumvunjia side mirror mtu wa range rover , uko na passo , hadi mfikie muafaka wa kuonyeahana cover notes sio kipole pole , , Unaeza hata ukala shaba .