Range Rover imegharimu zaidi ya mil. 32 kukarabati taa na bampa la mbele

Range Rover imegharimu zaidi ya mil. 32 kukarabati taa na bampa la mbele

Kwani huna Insurance?
Hata kama una insurance, mambo mengine ni ya kuweka tahadhari yasikukute

Mzozo wa kumvunjia side mirror mtu wa range rover , uko na passo , hadi mfikie muafaka wa kuonyeahana cover notes sio kipole pole , , Unaeza hata ukala shaba .
 
Hata kama una insurance, mambo mengine ni ya kuweka tahadhari yasikukute

Mzozo wa kumvunjia side mirror mtu wa range rover , uko na passo , hadi mfikie muafaka wa kuonyeahana cover notes sio kipole pole , , Unaeza hata ukala shaba .
Labda kama huyo mtu ni mshamba na haelewi nini maana ya Insurance
 
Ukiangalia hapo kwenye picha inaonyesha kabisa sehemu ilipogonga na kuharibika.
Hivyo kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matengenezo.

Kisha ukiangalia kwenye Total.
Hii gari imegharimu shilingi za Kenya 1,614,720

Ukiangalia exchange rate ya shilling ya Kenya Ni sawa na sh. 20.37 ya Tanzania.

Hivyo ukiibadili katika Tsh. Unapata takribani 32,891,846.40

Yaani shilingi million 32, laki 8, tisini na moja elfu na Mia nane arobaini na sita na Senti arobaini TU za kitanzania[emoji4]View attachment 2052951View attachment 2052952View attachment 2052956
Wamekupiga
 
Unamaanisha kwamba fuel pump, radiator or replacement of any part, insurer atawajibika?

NB: hiyo replacement haijatokana na ajali

Kama tu tu hizo damage zimetokana na ajali au any natural calamity.

Siyo tu gari yako imeua spea yoyote katika matumizi ya kila siku utegemee Insurer akulipe. Hiyo haipo.

So far wanaopata ajali na wana Comprehensive Insurance, Insurer huwa anaestimate kama gari inaweza kurekebishika au lah.

Kama inarekebishika wanakurekebishia, kama gharama ya kurekebisha ni kubwa wanakulipa tu hela kulingana na thamani ya gari lako.
 
Back
Top Bottom