Range Rover imegharimu zaidi ya mil. 32 kukarabati taa na bampa la mbele

Range Rover imegharimu zaidi ya mil. 32 kukarabati taa na bampa la mbele

Yaani sasa hivi nikiokota begi lina mil 32 dah sijui Mungu nitamshukuru vip maana duh!
Mfate PM jamaa na umpe na picha zako ukiwa uchi, simple utapata hata IST bureee kabisa...tumia mbunye vizuri dada
 
Mfate PM jamaa na umpe na picha zako ukiwa uchi, simple utapata hata IST bureee kabisa...tumia mbunye vizuri dada
Una mdomo chafu zaidi ya uchafu wenyewe. Unadhani watu wote ni wachafu kama unavyodhani? Ni wapi nimesema naomba kununuliwa ist? Embu jiulize ukichokiandika watu wakisoma hapo wataelewa nini?

Hivi unajua kila unachoandika humu kinasomwa na watu wangapi?

Mimi jimetania tu kuwa nikiokota mil 32 kutokana na mada ilokuwepo wewe unaleta mambo ya ajabu.umenikera kweli.
 
Ukiangalia hapo kwenye picha inaonyesha kabisa sehemu ilipogonga na kuharibika.
Hivyo kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matengenezo.

Kisha ukiangalia kwenye Total.
Hii gari imegharimu shilingi za Kenya 1,614,720

Ukiangalia exchange rate ya shilling ya Kenya Ni sawa na sh. 20.37 ya Tanzania.

Hivyo ukiibadili katika Tsh. Unapata takribani 32,891,846.40

Yaani shilingi million 32, laki 8, tisini na moja elfu na Mia nane arobaini na sita na Senti arobaini TU za kitanzania[emoji4]View attachment 2052951View attachment 2052952View attachment 2052956
yaani hapo na NOAH zangu mbili kutoka showroom
 
Milion 32 ......una nunua boda boda 28 ambazo zitakuingizia kipato kiku wa zaid

Alisikika motivational speaker mmoja akisema....
kwa hiyo kulivuta au kulisafirisha mpaka Nairobi ilikuwa sh ngapi ili nami nijipime kama naweza kupeleka IST yangu kwa matengenezo kule Kenya manake mafundi wa bongo wapo hovyo sana kwenye kunyoosha magari.
 
Hilo gari hata niwe na hela kiasi gani, labda niliokote barabarani...
Sijawahi kubarikiwa na nembo yoyote ya Land Rover....
Tatizo siyo kulipata mazee...tatizo ni kulimudu ....kwa hiyo hata ukiliokota kimbia mbali sana
 
Tatizo wabongo uoga tu spea sio shida sikuhizi af umeme mwingi so mafuta linanusa tu ~ aliskika dogo mmoja muuza mitumba kwenye kijiwe cha kahawa
Kijana wa hovyo hovyo usiache kupita humu

Tatizo wabongo uoga tu spea sio shida sikuhizi af umeme mwingi so mafuta linanusa tu ~ aliskika dogo mmoja muuza mitumba kwenye kijiwe cha kahawa
Kijana wa hovyo hovyo usiache kupita humu
Kuna mmoja youtube alinunua range rover kwa 3900 usd , katika maisha yake lilipata spare repairs za karibu, 16000 usd , uzuri lilikuwa kwenye warranty.
 
Kuna mmoja youtube alinunua range rover kwa 3900 usd , katika maisha yake lilipata spare repairs za karibu, 16000 usd , uzuri lilikuwa kwenye warranty.
Hahahahahha bahat yake
 
Unaweza ukawa na hizo sensa na bado isikusaidie,
UTAKUA zako sahii, litakuja jitu uko limeiva linakuvaa TU na kukusababishia.
Tatizo za barabara zetu ni kachumbari ya vyombo vya moto , bajaji humo humo , boda boda humo humo , mixer guta , sensors katika mazingira kama hayo lazima zifeli.
Sidhani kama sernsor inaeza trigger brake kwa guta lililokuchomekea
 
Bima itamsaidia kwa kuwa alipata ajali, lakini parts repairs , warranty ndo itakuokoa , bima wanakaa mbali kabisa

Hapa labda kama Unazungumzia Third Party Insurance.

Ila Comprehesive Insurance watakulipa.

Halafu gari kama hii kukatia Third Party ni wehu.
 
Back
Top Bottom