Range Rover imegharimu zaidi ya mil. 32 kukarabati taa na bampa la mbele

Range Rover imegharimu zaidi ya mil. 32 kukarabati taa na bampa la mbele

Ukiangalia hapo kwenye picha inaonyesha kabisa sehemu ilipogonga na kuharibika.
Hivyo kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matengenezo.

Kisha ukiangalia kwenye Total.
Hii gari imegharimu shilingi za Kenya 1,614,720

Ukiangalia exchange rate ya shilling ya Kenya Ni sawa na sh. 20.37 ya Tanzania.

Hivyo ukiibadili katika Tsh. Unapata takribani 32,891,846.40

Yaani shilingi million 32, laki 8, tisini na moja elfu na Mia nane arobaini na sita na Senti arobaini TU za kitanzania[emoji4]View attachment 2052951View attachment 2052952View attachment 2052956
Hela yote hiyo napata vitz used ngapi?
 
Rafiki yangu mmoja alikua pia anachukua ya shem wake anavimba mjini.
Sijatia mguu mle ndani namwambia tangulia tukutane huko tunaenda maana asije kusema nilikua na huyu tulipe wote.
Ume kwepa mengi, mimi gari ya mtu siendeshi unless nna mgonjwa au dharula ya msingi kuna jamaa yangu juzi kati nmempa gari yangu kaenda kuparamia gari la mgodini nmepeleka gari garage hesabu ika soma 1.6M jamaa kaanza kijiliza nmemwambia nitakua nachukua mshahara wake mpka hesabu i balance
 
Ume kwepa mengi, mimi gari ya mtu siendeshi unless nna mgonjwa au dharula ya msingi kuna jamaa yangu juzi kati nmempa gari yangu kaenda kuparamia gari la mgodini nmepeleka gari garage hesabu ika soma 1.6M jamaa kaanza kijiliza nmemwambia nitakua nachukua mshahara wake mpka hesabu i balance
Roho mbaya tu wewe, Kama ulimpa bure kiroho Safi basi msamehe au alipie nusu.
 
Back
Top Bottom