Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisikika motivational speaker wkt akiwahamasisha wafuasi wake akiwa anatoa Somo khs zao la vanilla.Ndogo sana hiyo
HahahahaaaaAlisikika motivational speaker wkt akiwahamasisha wafuasi wake akiwa anatoa Somo khs zao la vanilla.
[emoji2][emoji2][emoji2] motivational speaker kwao kila pesa huwa ni ndogo na maisha huwa Ni marahisi Sana kwao.Alisikika motivational speaker wkt akiwahamasisha wafuasi wake akiwa anatoa Somo khs zao la vanilla.
Weka uzoefu hapaHahahahaaaa
I have a very bad experience na repair ya hizi gari
Hamna mwanamke Mbaya boss... Labda uwe huna nyege.Umejuaje kama n mzuri
Hela yote hiyo napata vitz used ngapi?Ukiangalia hapo kwenye picha inaonyesha kabisa sehemu ilipogonga na kuharibika.
Hivyo kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matengenezo.
Kisha ukiangalia kwenye Total.
Hii gari imegharimu shilingi za Kenya 1,614,720
Ukiangalia exchange rate ya shilling ya Kenya Ni sawa na sh. 20.37 ya Tanzania.
Hivyo ukiibadili katika Tsh. Unapata takribani 32,891,846.40
Yaani shilingi million 32, laki 8, tisini na moja elfu na Mia nane arobaini na sita na Senti arobaini TU za kitanzania[emoji4]View attachment 2052951View attachment 2052952View attachment 2052956
Ume kwepa mengi, mimi gari ya mtu siendeshi unless nna mgonjwa au dharula ya msingi kuna jamaa yangu juzi kati nmempa gari yangu kaenda kuparamia gari la mgodini nmepeleka gari garage hesabu ika soma 1.6M jamaa kaanza kijiliza nmemwambia nitakua nachukua mshahara wake mpka hesabu i balanceRafiki yangu mmoja alikua pia anachukua ya shem wake anavimba mjini.
Sijatia mguu mle ndani namwambia tangulia tukutane huko tunaenda maana asije kusema nilikua na huyu tulipe wote.
"Cha mtu ukikiona kiogope" alisema Ally Choki[emoji1787][emoji1787]ukakwepa lawama
Chukulia tu mfano Nissan Murano upate nayo ajari ivunje taa, rejeta na show ya mbele unatokoba sh ngapi?Duuuuuuu hii sasa balaa
Aisee.Za million 8 nne na mafuta fulltanki gari zote[emoji4]
Roho mbaya tu wewe, Kama ulimpa bure kiroho Safi basi msamehe au alipie nusu.Ume kwepa mengi, mimi gari ya mtu siendeshi unless nna mgonjwa au dharula ya msingi kuna jamaa yangu juzi kati nmempa gari yangu kaenda kuparamia gari la mgodini nmepeleka gari garage hesabu ika soma 1.6M jamaa kaanza kijiliza nmemwambia nitakua nachukua mshahara wake mpka hesabu i balance
Kwa hiyo mikokoteni milioni 8 nyingi mno ukiangalia nimesema used.Million 8 Bei Ni Nyingi Sana au ndogo Sana?[emoji4]