Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,727
- 8,918
Umejuaje kama n mzuriMwanamke mzuri akijiuza kistaarabu hakosi milion moja mpaka tano kwa mwezi labda aone aibu kupanua mapaja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejuaje kama n mzuriMwanamke mzuri akijiuza kistaarabu hakosi milion moja mpaka tano kwa mwezi labda aone aibu kupanua mapaja.
Bila shaka alikuwa na BimaUkiangalia hapo kwenye picha inaonyesha kabisa sehemu ilipogonga na kuharibika.
Hivyo kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matengenezo.
Kisha ukiangalia kwenye Total.
Hii gari imegharimu shilingi za Kenya 1,614,720
Ukiangalia exchange rate ya shilling ya Kenya Ni sawa na sh. 20.37 ya Tanzania.
Hivyo ukiibadili katika Tsh. Unapata takribani 32,891,846.40
Yaani shilingi million 32, laki 8, tisini na moja elfu na Mia nane arobaini na sita na Senti arobaini TU za kitanzania[emoji4]View attachment 2052951View attachment 2052952View attachment 2052956
Ukiangalia hapo kwenye picha inaonyesha kabisa sehemu ilipogonga na kuharibika.
Hivyo kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matengenezo.
Kisha ukiangalia kwenye Total.
Hii gari imegharimu shilingi za Kenya 1,614,720
Ukiangalia exchange rate ya shilling ya Kenya Ni sawa na sh. 20.37 ya Tanzania.
Hivyo ukiibadili katika Tsh. Unapata takribani 32,891,846.40
Yaani shilingi million 32, laki 8, tisini na moja elfu na Mia nane arobaini na sita na Senti arobaini TU za kitanzania[emoji4]View attachment 2052951View attachment 2052952View attachment 2052956
Mwanaume kamili lazima uwe na jicho la mwewe kwa wadadaUmejuaje kama n mzuri
Tatizo wabongo uoga tu spea sio shida sikuhizi af umeme mwingi so mafuta linanusa tu ~ aliskika dogo mmoja muuza mitumba kwenye kijiwe cha kahawa
Kijana wa hovyo hovyo usiache kupita humu
Emergence braking? ndio nini?Yaani pamoja na masensa kibao ya kiusalama sijui emergency braking n.k lakini bado imekula mzinga.
Umeme mwingi 🤣🤣🤣Tatizo wabongo uoga tu spea sio shida sikuhizi af umeme mwingi so mafuta linanusa tu ~ aliskika dogo mmoja muuza mitumba kwenye kijiwe cha kahawa
Kijana wa hovyo hovyo usiache kupita humu
Emergency braking ni kwa ulaya tu hapa bongo utachomekewa na bajaji wenye daladala na boda boda mpaka gari itachanganyikiwa😅Yaani pamoja na masensa kibao ya kiusalama sijui emergency braking n.k lakini bado imekula mzinga.
Kama ilikuwa ikiendeshwa na kichaaYaani pamoja na masensa kibao ya kiusalama sijui emergency braking n.k lakini bado imekula mzinga.
Ila hata TZ ingewezekana tuSio ya kwangu mkuu, ya jamaa yangu hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamke mzuri akijiuza kistaarabu hakosi milion moja mpaka tano kwa mwezi labda aone aibu kupanua mapaja.