Range Rover liheshimiwe

Range Rover liheshimiwe

Ngoja kwanza unalijua hili?
IMG_20230202_124249.jpg
 
Kuna mtifuano umezuka twitter kule.

Kuna mtu analeta ushabiki anapewa fact lakini helewi,kuna range halafu kuna gari linaitwa LC, hapo tunataja V8 zote mpaka hiyo mpya ya V6 2022.kwanza linauzika,pili sio gharama kulimiliki,na linahimiri mazingira yetu ya juakali na barabara za ahadi za uchaguzi.

Hiyo gari kwa namna ilivyopokelewa mtaani ni ishara njema sana kwamba toyota wameupiga mwingi kuanzia serikalini mpaka kwa mabro wenye kiburi hapa nchini.hilo range watu wana uwezo wa kuyanunua lakini wanayapotezea.
Toyota lazima auze kwa LC.

Ni gari ambayo ipo tayari kwa mentality ya kila mtu kuanzia serikali mpaka wananchi.

Hata angetoa gari baya vipi, kuuza lazima auze.

Sawa na jezi za Simba, ziwe mbaya vipi ila lazima auze.
 
Toyota lazima auze kwa LC.

Ni gari ambayo ipo tayari kwa mentality ya kila mtu kuanzia serikali mpaka wananchi.

Hata angetoa gari baya vipi, kuuza lazima auze.

Sawa na jezi za Simba, ziwe mbaya vipi ila lazima auze.

Lakini toyota TZ hauzi LC peke yake,kuna gari economy anauza,gari za kipato cha kawaida,na hizo bussnes class.

Huku chini ndio balaa.
 
Mnachoshindwa kuelewa ni kwamba hiyo range ndio dream car ya mleta mada kwahyo hamna mtakalosema akaona kuna gari nyingine nzuri.

Japo ukweli ni kwamba range sio mbaya ila kuna mashine hiyo range akasome sana. Kuna mnyama now defender escalade chev dodge alaf kuna kifaa cha marekani lincolin aloo gari zake ni mashine za maana japo kibongo bongo kuziona ni nadra

Magari ya kimarekani hasa SUV hayana maajabu sana!

Yanakula sana mafuta, mengi ni V8 Petrol, yanachoka mapema sana.
Likianza kuchoka utalikimbia.

Hayana muonekano mzuri( big for nothing), ila kama mtu unapenda gari yenye space basi suv za kimarekani zitakufaa.
 
Kuna mtifuano umezuka twitter kule.

Kuna mtu analeta ushabiki anapewa fact lakini helewi,kuna range halafu kuna gari linaitwa LC, hapo tunataja V8 zote mpaka hiyo mpya ya V6 2022.kwanza linauzika,pili sio gharama kulimiliki,na linahimiri mazingira yetu ya juakali na barabara za ahadi za uchaguzi.

Hiyo gari kwa namna ilivyopokelewa mtaani ni ishara njema sana kwamba toyota wameupiga mwingi kuanzia serikalini mpaka kwa mabro wenye kiburi hapa nchini.hilo range watu wana uwezo wa kuyanunua lakini wanayapotezea.

Range ni nzuri kimuonekano ila ukija kwenye reliability hamna kitu Ndio maana watu wanayapotezea.
Halafu resale value yake inashuka mapema sana compare to LC
 
Back
Top Bottom