Tashacobbs
JF-Expert Member
- Jun 18, 2022
- 572
- 1,559
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 boda linatosha kabisa tena unawahi fasta hukai kwenye foleni wala nini!Wengine bd tuna dunduliza angalau tumiliki ist na bado hesabu hazitimii
[emoji1]
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 boda linatosha kabisa tena unawahi fasta hukai kwenye foleni wala nini!Wengine bd tuna dunduliza angalau tumiliki ist na bado hesabu hazitimii
[emoji1]
Ova
Malaya.NAKAZIALekebisha kauli tutagombana ase
Uchague gari (range rover) halafu wewe unatoa nn in exchange?
Range Ina show nzuri kuliko escaladeRange ile ya kina kajala ,huwezi kufananisha na mashine escalade huwezi kukuta malaya wanaendesha
Guys poleni na majukumu
Range ni gari ambayo haina mpinzani ni gari zuri sana na la heshima natamani sana kumiliki kama inatokea mtu ananiambia nichague gari basi nitachagua range 🤗🤗🤗 my dream car
Yes ajue kutofautisha hisia na uhalisia.Usije ukawaza tena kutokea mtu wa kukwambia uchague ni hatari kwa afya yako.
Waza kama ukifanikiwa kupata utajiri uje ujinunulie.
LC200 na 300 siyo gharama kuimiliki na inahimili barabara zetu?
Punguza mambo ya kusimuliwa vujiweni mkuu.
😊😀😄😅😂Usije ukawaza tena kutokea mtu wa kukwambia uchague ni hatari kwa afya yako.
Waza kama ukifanikiwa kupata utajiri uje ujinunulie.
Toyota lazima auze kwa LC.Kuna mtifuano umezuka twitter kule.
Kuna mtu analeta ushabiki anapewa fact lakini helewi,kuna range halafu kuna gari linaitwa LC, hapo tunataja V8 zote mpaka hiyo mpya ya V6 2022.kwanza linauzika,pili sio gharama kulimiliki,na linahimiri mazingira yetu ya juakali na barabara za ahadi za uchaguzi.
Hiyo gari kwa namna ilivyopokelewa mtaani ni ishara njema sana kwamba toyota wameupiga mwingi kuanzia serikalini mpaka kwa mabro wenye kiburi hapa nchini.hilo range watu wana uwezo wa kuyanunua lakini wanayapotezea.
Toyota lazima auze kwa LC.
Ni gari ambayo ipo tayari kwa mentality ya kila mtu kuanzia serikali mpaka wananchi.
Hata angetoa gari baya vipi, kuuza lazima auze.
Sawa na jezi za Simba, ziwe mbaya vipi ila lazima auze.
Guys poleni na majukumu
Range ni gari ambayo haina mpinzani ni gari zuri sana na la heshima natamani sana kumiliki kama inatokea mtu ananiambia nichague gari basi nitachagua range [emoji847][emoji847][emoji847] my dream car
Rangerover hata Mimi naikubali,,,,hasa ikiwa kwenye mwendo inavyotembea ukiiangalia utadhani imesimama kumbe inaenda.Washaa anza zao hapa nawaona tu
Mnachoshindwa kuelewa ni kwamba hiyo range ndio dream car ya mleta mada kwahyo hamna mtakalosema akaona kuna gari nyingine nzuri.
Japo ukweli ni kwamba range sio mbaya ila kuna mashine hiyo range akasome sana. Kuna mnyama now defender escalade chev dodge alaf kuna kifaa cha marekani lincolin aloo gari zake ni mashine za maana japo kibongo bongo kuziona ni nadra
Kuna mtifuano umezuka twitter kule.
Kuna mtu analeta ushabiki anapewa fact lakini helewi,kuna range halafu kuna gari linaitwa LC, hapo tunataja V8 zote mpaka hiyo mpya ya V6 2022.kwanza linauzika,pili sio gharama kulimiliki,na linahimiri mazingira yetu ya juakali na barabara za ahadi za uchaguzi.
Hiyo gari kwa namna ilivyopokelewa mtaani ni ishara njema sana kwamba toyota wameupiga mwingi kuanzia serikalini mpaka kwa mabro wenye kiburi hapa nchini.hilo range watu wana uwezo wa kuyanunua lakini wanayapotezea.
Sijasankuhongwa af mimi wakiume zawadi umajua mimi marafiki zangu wako na pesap