Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malaya tuKwaza ww unaendesha gari gani? Af kajala dada yangu siyo malaya
Daaaa
Uchague gari (range rover) halafu wewe unatoa nn in exchange?
Wewe umenielewa sanaoMnachoshindwa kuelewa ni kwamba hiyo range ndio dream car ya mleta mada kwahyo hamna mtakalosema akaona kuna gari nyingine nzuri.
Japo ukweli ni kwamba range sio mbaya ila kuna mashine hiyo range akasome sana. Kuna mnyama now defender escalade chev dodge alaf kuna kifaa cha marekani lincolin aloo gari zake ni mashine za maana japo kibongo bongo kuziona ni nadra
Why dear?Hapannaaaaa
Naam. Vijana wanapenda vya bwerere!Usije ukawaza tena kutokea mtu wa kukwambia uchague ni hatari kwa afya yako.
Waza kama ukifanikiwa kupata utajiri uje ujinunulie.
Punguza jazba dear.Sikia mkuu jiheshimu
Uchague gari (range rover) halafu wewe unatoa nn in exchange?
Hili dada yangu anatumia tena anafungua na ginger lakini sijalipenda
V8 ni last of my dream carKuna mtifuano umezuka twitter kule.
Kuna mtu analeta ushabiki anapewa fact lakini helewi,kuna range halafu kuna gari linaitwa LC, hapo tunataja V8 zote mpaka hiyo mpya ya V6 2022.kwanza linauzika,pili sio gharama kulimiliki,na linahimiri mazingira yetu ya juakali na barabara za ahadi za uchaguzi.
Hiyo gari kwa namna ilivyopokelewa mtaani ni ishara njema sana kwamba toyota wameupiga mwingi kuanzia serikalini mpaka kwa mabro wenye kiburi hapa nchini.hilo range watu wana uwezo wa kuyanunua lakini wanayapotezea.