Range Rover Velar VS Land Cruiser Prado

Baada ya zile argument za kibingwa na kuchambua technical issue tumeahmia huku jaman? Tusiwe na jaziba twende mdogo mdogo
 
Kihande ni aliekuzaa! Wewe kuwa dereva malori usijifanye unaijua g wagon! Pengine hata landcruiser kupanda hujawahi unaropoka kabisa eti jamaa yangu ana g wagon unadhani g wagon maandazi
 
Umasikini ndio unakusumbua mkuu na kuwa na hasira hizo ni stress pambana tu watu wengi humu wanajua nimewaletea magari mazuri na still naleta gari ambazo hautaweza kupanda/ku drive mpaka unaenda motoni...
Kinyesi tu wewe! Kumbe nabishana na dereva magari pole sana hukuosma ndio maana leo hii unaendesha magari ya watu! Gari gani bongo hapa nishindwe kumiliki? Nikutajie address yangu uje upaone ninapoishi?
 
Ni kweli tuma picha ya nyumba basi maana gari la jirani umetuma hakuna mtu mwenye Wagon akatuma picha JF..
Masikini mna tabu sana..
Mwanaume unajisifu kuendesha gari za wanaume wenzako! Bado unasema kabisa " waulize humu jf nimeendesha gari zao" nakuambia hivi mpaka unakufa hutokanyaga lc yoyote achilia mbali g wagon
 
Mkuu usirembe,sema tu ukweli,Lc ni bora kuliko jeep
 
Labda uzungumzie G wagon zile za zamani ambazo ni MT,ila sio hizi zenye staff gear
Hivi umeongea nini yaani Mercedes Benz G wagon ufananishe na Land Cruiser hizi gari mnazozizungumzia mnazijua kweli au mimi sijaelewa Mercedes G wagon ufananishe na LC tena unasema im
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…