TensorFlow
JF-Expert Member
- Feb 11, 2020
- 993
- 1,286
Bei zake hayo magari naomba kutajiwa mpaka naiingiza barabarani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya zile argument za kibingwa na kuchambua technical issue tumeahmia huku jaman? Tusiwe na jaziba twende mdogo mdogoHuo ndio uwezo upeo wa mantiki yako kwenye mada hii. Sina uhakika kama kweli unayajua magari kwani inawezekana wewe ni dereva wa landcruiser ya mbunge ambaye huwa anaku-kula wewe kimasihala tu baada ya kazi kwa hiyo hujui magari mengine yoyote duniani.
Kihande ni aliekuzaa! Wewe kuwa dereva malori usijifanye unaijua g wagon! Pengine hata landcruiser kupanda hujawahi unaropoka kabisa eti jamaa yangu ana g wagon unadhani g wagon maandaziMkuu hakuna kitu unajua kuhusu magari mimi pana jamaa angu anayo hiyo G wagon tunaongozana nae Jtano ijayo kuleta Tanzania tukijaaliwa hapa yamejaa tu wala sio hatari kama unavyodhania...
Haujafikia level ya kubishana na mimi kuhusu magari wapo watu humu wengi sana wanayajua magari vizuri kunizidi hata mimi ila sio wewe kihande kabisa.
Kinyesi tu wewe! Kumbe nabishana na dereva magari pole sana hukuosma ndio maana leo hii unaendesha magari ya watu! Gari gani bongo hapa nishindwe kumiliki? Nikutajie address yangu uje upaone ninapoishi?Umasikini ndio unakusumbua mkuu na kuwa na hasira hizo ni stress pambana tu watu wengi humu wanajua nimewaletea magari mazuri na still naleta gari ambazo hautaweza kupanda/ku drive mpaka unaenda motoni...
Pimbi ni wewe! Umesema kabisa wewe dereva wa magari alafu unajikataa humu humu, huoni aibu?Masikini wewe na Elimu huna...niendeshe gari ya nani ?watishe masikini wenzio huko maskini kwa kujikweza..address address pimbi mkubwa wewe..
Kuendesha sio mantiki, sasa wewe si umesema dereva kwanza naamini kabisa utabisha tu ila wewe ni dereva maloriMasikini tu weee mimi hizo wagon nimeanza kuendesha 2015 wewe unapiga picha 2024...
Wewe ki dereva tu wa malori huwezi kuniambia kitu cha maanaUjue kwamba wewe ni masikini na limbukeni unatuma tuma picha za kitu ambacho hauamini kuwa nacho sisi ishu ya magari tulishamaliza pimbi wewe magari sio big ishu njoo na hoja ingine..
Mwanaume unajisifu kuendesha gari za wanaume wenzako! Bado unasema kabisa " waulize humu jf nimeendesha gari zao" nakuambia hivi mpaka unakufa hutokanyaga lc yoyote achilia mbali g wagonNi kweli tuma picha ya nyumba basi maana gari la jirani umetuma hakuna mtu mwenye Wagon akatuma picha JF..
Masikini mna tabu sana..
Mpya au used?kama used karibu kwenye ulimwwngu wa matatizoT
Thanks Mkuu alichukua Velar tuliona Prado imekaa kiume sana pia!
Mkuu usirembe,sema tu ukweli,Lc ni bora kuliko jeepMkuu labda hatujaelewana argument yangu ni nini
Mimi sijaishindanisha TLC Vs Jeep....... HAPANA
Mimi nime argue uliposema TLC sio magari mazuri ila yanauzia jina tu(Hapa unakua unamvunjia heshima mjapani)
Mkuu naiheshimu sana JEEP, hiyo ndio nembo ya ubora wa off road za magari ya USA
Kimsingi Land Cruiser ni matokeo ya Jeep
Wakati wa vita ya pili ya Dunia Wajapani walipoanza kupiga na kuteka kambi za USA na washirika wake walikamata na gari za Jeep(Willys MB) za kivita enzi hizo.
Emperor wa japan alipoziona akatoa order gari zipelekwe Toyota watengeneze gari kama hiyo kwa sababu ya uwezo wake mkubwa kuhimili kazi na njia mbovu
Na baada ya vita kwisha Toyota wakaendelea kuzalisha kibiashara hadi tunavyo ziona leo kwa ufanisi mkubwa
So ukiniuliza leo hii kati ya TLC na Jeep Grand Cherokee ipi ni zaidi basi nitachagua Jeep....... lakini hiyo haifanyi kwamba Toyota Land Cruiser ni gari mbovu zinazo uzia jina
Hata ikiwa Messi atakua bora kuliko Ronaldo hakufanyi kuwa Ronaldo ni mchezaji mbaya
Issue ni kwamba umeshindanisha vitu BORA kabisa viwili
BTW ulikua mjadala mzuri sana 🙏
Hivi umeongea nini yaani Mercedes Benz G wagon ufananishe na Land Cruiser hizi gari mnazozizungumzia mnazijua kweli au mimi sijaelewa Mercedes G wagon ufananishe na LC tena unasema im
Mkuu unakosea sana,unajua lc za hadi usd 120,000?Jamaa analinganisha LC ya $60,000 na kitu cha $150, 000😹. Halafu eti anasema Velar is the best LR model. Hajui kuna kitu Westminster
Hizi bei huwa mnazitoa wapi?Mercedes G wagon ni zaidi ya Usd 500,000 mzee.
Na kwa taarifa yako wiki hii naenda Dubai kununua iPhone 16, je nikuletee zawadi gani?Camera ya infinix ipige picha Wagon na kusema gari yangu...
Kweli mkuu lakini hapo naongelea base models kwenye LC na MBMkuu unakosea sana,unajua lc za hadi usd 120,000?
Usiwe serious sana na wahuni wanapost picha wakitumia Tecno Mercedes-Benz maybash.Hii picha imetoka FB, ni wewe ndiyo ulipost kule? Hongera kwa gari zuri
Ahsante tunapambana nimeweka akiba kwa miatano nikajichujulia gari hiyoHii picha imetoka FB, ni wewe ndiyo ulipost kule? Hongera kwa gari zuri