Range Rover Vogue 2018 Muingereza hatari

Kwanza nadhani ni land rover discovery and not Range rover discovery.

Lkn Wameharibu Musculine shape ya Discovery big time,I prefer Disco. 4 kuliko hii takataka kabisaa.
 
Range Rover ndio gari...... naipenda Hii gari tanguuuuuuuuu
 
Utabakia hivyo hivyo kijana! Hatari yake iko wapi? Hiyo migari mbona imejaa barabarani Bongo mpaka inatia degedege! Hizi ndio athari za kukaa utumwani.
Tofauti ya mtumwa wa sasa na wa zamani ni ndogo sana, kitambo ulifungwa minyororo na kutandikwa mijaredi, ila sahivi umefungwa akili na kusaidiwa kila kitu.

Sasa husipotaka hata kujiongezea kubuni walau utengenezaji wa baiskeli, ukaishia kusindika nyanya chungu, utaendelea kulamba soli za viatu mpaka kizazi chako chote. Endelea kutoona hatari, wakati hata hiyo Simu au Pc unayotumia kukobolea shudu zako humu ni made from somewhere.
 
Hiyo technology pia nimeiona kwenye Range rover Velar,hawa jamaa wako vizuri sana,ila nisichokipenda ni kitu kimoja tu,hazina 6 seats karibu zote,kama yalivyo matoleo ya Landrover discovery ambayo yana zile seats za nyuma baada ya milango ya nyuma..
 
Hiyo technology pia nimeiona kwenye Range rover Velar,hawa jamaa wako vizuri sana,ila nisichokipenda ni kitu kimoja tu,hazina 6 seats karibu zote,kama yalivyo matoleo ya Landrover discovery ambayo yana zile seats za nyuma baada ya milango ya nyuma..
Yeah zote ni 5 seater
 
Hili ni kwa ajili ya watu wambele. Barabara zetu si rafiki kwa gari ya aina hii
 
Ulirudi au muda wa kukaa huko ulikwisha. mimi nilikwenda , nilitaka kukaa wakasema urudi kwenu muda wa masomo umeisha. Kuna permanent students anyway!
Haaa haaa haa..eti urudi kwenu[emoji23] [emoji23]
 
Range rover vogue na dada yake Range sport..ni gari nzuri na za heshima. ila haziko friendly kwenye barabara zetu. washikaji wengi zimewaua. Hata marekani hawazihusudu hizo gari. hazitaki suluba na barabara mbovu kama ile ya kwenda chalinze. uki hit bams/hamps na zaidi ya 140 lazima uende chini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…