Brother ni saidie nijue category ya magari ya anasa according to tra..Sidhani kama TRA watalitoza kodi kubwa gari ma hizi ingawa zipo kwenye category ya gari za anasa.
Swali langu limetokana na post #1
Wahindi ndio wamiliki wa land rover kwa sasaMuingereza ndiye mmiliki wa alama ya Land Rover hivyo hata kama mtu mwingine anatengeneza Land Rover ya aina yoyote, bado muingereza anajulikana kuwa ndiye mmiliki wa gari za aina hiyo Brand.
Hivyo basi Copenhagen yupo sawa kwa kumsifia Muingereza bila kujali usukani upo kushoto au kulia.
Nafikiri umenipata mkuu wangu.
[emoji106] [emoji106]Muingereza ndiye mmiliki wa alama ya Land Rover hivyo hata kama mtu mwingine anatengeneza Land Rover ya aina yoyote, bado muingereza anajulikana kuwa ndiye mmiliki wa gari za aina hiyo Brand.
Hivyo basi Copenhagen yupo sawa kwa kumsifia Muingereza bila kujali usukani upo kushoto au kulia.
Nafikiri umenipata mkuu wangu.
Wahindi ndio wamiliki wa land rover kwa sasa
Utakuwa unaota weweUtabakia hivyo hivyo kijana! Hatari yake iko wapi? Hiyo migari mbona imejaa barabarani Bongo mpaka inatia degedege! Hizi ndio athari za kukaa utumwani.
Prototype ya kwanza ya range rover sport na vogue katika shape mpya ilitoka 2013 mkuu na kudhibitisha hilo yule bilionea wa Arusha marehemu Msuya kipindi anapigwa risasi alikuwa kwenye hio range rover vogue ilikuwa August, 2013. Google picha zake zipo mtandaoni utaiona na angalia mwaka wa tukio.Point of correction mkuu extrovert,body zake zilianza kubadilika kuanzia mwaka 2014 na si mwaka 2013
Duh Duh Range Hybrid hatare sanaa!!...
Mbona waswahili kibao wanazoHata bongo zipo ila zinamilikiwa na wazungu
Mkuu,mm natamani wazungu warudi kututawala hata leo hii...walipokuwepo maisha yalikuwa poa sana na walifanya mengi makubwa kwa muda mfupi!Kwa ulivomsifia mwingereza Upo tayari arudi kukutawala
Ukisikia ujinga ndio huu.Mkuu,mm natamani wazungu warudi kututawala hata leo hii...walipokuwepo maisha yalikuwa poa sana na walifanya mengi makubwa kwa muda mfupi!
Mkuu,unaijua vzr history ya nchi hii...,hongera sana!Kabla ya uhuru jambo pekee tulilozuiwa kulifanya ni kufanya siasa tu. Mengine yote tuliruhusiwa, kuanzia kuabudu, kusoma, kuajiriwa, kujiajiri, na kuishi popote utakapo na kwenda popote. Hivyo kstika suala zima la uhuru, sisi tulipewa uhuru wa kisiasa, kwa hiyo baada ya uhuru tukaunda serikali yetu na kuanza kufanya siasa.
Cha ajabu na sisi tukapiga marufuku uhuru wa kisiasa, hiyo ilikua ni miaka mingi iliyopita. Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia tena uhuru wa kisiasa na kutoa maoni vikipigwa marufuku tena
Vinapigwa marufuku ndani ya nchi iliyokua ukidai uhuru wa kufanya siasa na ikapewa uhuru huo lakini nayo imeshindwa kuusimamia na kuuvumilia uhuru huo.
Ndio maana nikasema "kwanza"usiwe mwepesi wa kushutum mawazo ya wengine siku ikifika itaendeshwa hata nilivyo navyo sikuzaliwa navyo take easyUtabakia hivyo hivyo kijana! Hatari yake iko wapi? Hiyo migari mbona imejaa barabarani Bongo mpaka inatia degedege! Hizi ndio athari za kukaa utumwani.
mkuu kwenye fifth gear ilifanywa test ya rr vogue 2017 na land cruiser ilishinda kila kitu kasoro . suraRange Rover sio Matoyota V8 weka hilo akilini!..
german touch..... bestKuna range moja ilipita barabarani, ilikuwa range rover sport nyeupe....
Daah niliipenda maana ilikuwa vizuri....
Then mara paap kwa nyuma katokea mwarabu mmoja na g class amg....
Daah range cha mtoto...
Kwanza mlio tu halafu uniqueness ya benz g class..
It's the beast na akiniambia nichague kati ya range na g classs ni g class any day of the week