Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani Upo ready kujitoa kwa vyote aseeKwani alipotutawala kulikuwa na noma gani?
Kwani mkoloni akitutawala tena leo hii tutapoteza nini tulicho nacho hivi sasa?Yani Upo ready kujitoa kwa vyote asee
Yani Bora arudi kuliko haya mikoloni mieusi imeshindwa kudeliver hata maji. Maji ya kinywa tu anasa.Kwa ulivomsifia mwingereza Upo tayari arudi kukutawala
bro unamaanisha ile Braebus lile gari linasura mbaya Yani Dem mkaree atamchagua mwenye renji kulikoilo dubuwasha halina tofauti lendrover za enzi za mwalimu.Kuna range moja ilipita barabarani, ilikuwa range rover sport nyeupe....
Daah niliipenda maana ilikuwa vizuri....
Then mara paap kwa nyuma katokea mwarabu mmoja na g class amg....
Daah range cha mtoto...
Kwanza mlio tu halafu uniqueness ya benz g class..
It's the beast na akiniambia nichague kati ya range na g classs ni g class any day of the week
2018 mkuu???Utabakia hivyo hivyo kijana! Hatari yake iko wapi? Hiyo migari mbona imejaa barabarani Bongo mpaka inatia degedege! Hizi ndio athari za kukaa utumwani.
Sio kweli.Utabakia hivyo hivyo kijana! Hatari yake iko wapi? Hiyo migari mbona imejaa barabarani Bongo mpaka inatia degedege! Hizi ndio athari za kukaa utumwani.
Kabla ya uhuru jambo pekee tulilozuiwa kulifanya ni kufanya siasa tu. Mengine yote tuliruhusiwa, kuanzia kuabudu, kusoma, kuajiriwa, kujiajiri, na kuishi popote utakapo na kwenda popote. Hivyo kstika suala zima la uhuru, sisi tulipewa uhuru wa kisiasa, kwa hiyo baada ya uhuru tukaunda serikali yetu na kuanza kufanya siasa.Atashikwa hata masaburi
watu wengine waropokaji tu waonekane wanajua wakati empty!!...Eti yamejaa bongo anazani matoyota yale!!..Hazijui gari huyo kolo anaropoka tu mandazi kabisa!!!
wanaume wa Dar oyeeee!...Sasa unabisha au? Nenda pale Land Rover CMC, barabarani zimejaa hizo kama shombo la uduvi feri.
Hahaahaaa.....Hii mashine si mchezo halaf nimependa kuna engine tofauti sio lazima uchukue engine kuubwa.
Kuna boya anakwambia eti bongo zimejaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sio brabus.....bro unamaanisha ile Braebus lile gari linasura mbaya Yani Dem mkaree atamchagua mwenye renji kulikoilo dubuwasha halina tofauti lendrover za enzi za mwalimu.
Hata nikiminywa poumbou nakunyooshewa bastola ninunue kwa laki Bora gx110