- Thread starter
- #41
Lakini mbona wanasema kuwa ndoo ya litre 20 inaweza cover sqm150 coat mbiliWanapaka cot moja[emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini mbona wanasema kuwa ndoo ya litre 20 inaweza cover sqm150 coat mbiliWanapaka cot moja[emoji2]
Baada ya skimming unaweza kupaka rangi nyeupe ya maji na ukamalizia na weather guard uitakayo bila hio binder na hakuna tatizo lolote. Vitu vingine mbwembwe tu hata usipofanya hakuna madhara.Kabla ya kupiga rangi huwa kuna foundation coating inafanywa ikianzwa na white emulsion, then acrylic binder(mafundi huita gundi ya rangi) halafu mwisho ndio humalizikia na rangi unayotaka...
Binder sio lazima.Baada ya kufanya skimming, ukuta utapigwa msasa mlaini, then utapigwa white emulsion, then binder halafu mwisho rangi
Nyumba ya vyumba viwili ndoo moja inatosha ya rangi nyeupe na moja ya weather guard zinatosha.Lakini mbona wanasema kuwa ndoo ya litre 20 inaweza cover sqm150 coat mbili
😂😂😂Wee hili gheto la kugegedea likiwa zuri sana mademu watahamia bwana. Rangi ya kawaida inatosha bwana.
Mnaazaga kwa kusahau hereni mara siku umekuja na chupi mbili unafua na kuicha, mara khanga...before u know it utasikia bby nataka kuja wikend tuspend pamoja alafu monday nitaenda kazini tokea hapo...ndio kaamia huyo subiria tuu kuambiwa bby sioni siku zangu
😂😂DahMnaazaga kwa kusahau hereni mara siku umekuja na chupi mbili unafua na kuicha, mara khanga...before u know it utasikia bby nataka kuja wikend tuspend pamoja alafu monday nitaenda kazini tokea hapo...ndio kaamia huyo subiria tuu kuambiwa bby sioni siku zangu
Kampuni Plascon, rangi ya nje kwa ujumla huitwa weather guard...bei around 150k to 200k inategemea uko wapi.Mazingira yapo mwake tuu so hilo halina shida. Nachotaka ni rangi ya kampuni gani ni nzuri na bei zake. Hizi weather guard zikoje?
Asante. Hii ni beinya ndoo ya 20litres?Kampuni Plascon, rangi ya nje kwa ujumla huitwa weather guard...bei around 150k to 200k inategemea uko wapi.
Yes...uko mkoa gani?Asante. Hii ni beinya ndoo ya 20litres?
Binder ni muhimu endapo ume skim ikuta.Binder sio lazima.
Niko singidaYes...uko mkoa gani?
Mkuu nitumie kuku plz ntaenda kuwapokea shekilango.Niko singida
Tuma helaMkuu nitumie kuku plz ntaenda kuwapokea shekilango.
Sio lazima. Sijawahi kutumia hio na sijapata changamoto yoyote kwenye kuta.Binder ni muhimu endapo ume skim ikuta.
Hii ni kuua vumbi...kwani binder ni aina ya gundi.
Anaweza kutumia hata billion binder au sado binder
Mkuu asante Kwa elimu ya rangi, Mimi nimeskim Kwa ndani Kwa wallputy, ukiingia unaweza kudhani nimeshapaka Rangi nyeupe tayari na hakuna haja ya rangi. Sasa nakaribia kupaka Rangi ya mwisho. Naomba unieleweshe hii binder inauzwa bei gani na kama sotopaka binder nikapaka Rangi moja Kwa moja nini kitatokea?Binder ni muhimu endapo ume skim ikuta.
Hii ni kuua vumbi...kwani binder ni aina ya gundi.
Anaweza kutumia hata billion binder au sado binder
Kakugegedea
Binder ni kati ya 90k to 120k mkuu.Mkuu asante Kwa elimu ya rangi, Mimi nimeskim Kwa ndani Kwa wallputy, ukiingia unaweza kudhani nimeshapaka Rangi nyeupe tayari na hakuna haja ya rangi. Sasa nakaribia kupaka Rangi ya mwisho. Naomba unieleweshe hii binder inauzwa bei gani na kama sotopaka binder nikapaka Rangi moja Kwa moja nini kitatokea?
Ndoo 5 za finishing...weather guard?Fundi ananiambi eti ndoo tano....hataru hawa mafundi
Hawa mafundi wangese sana wanakuinguza chaka hivi hiviNdoo 5 za finishing...weather guard?
Hapana hiyo nyumba ndogo ndoo moja ya weather guard inatosha.
Kumbuka lazima uanze na rangi ya maji nayo ndoo 1. Hii bei yake ni 28k to 33k