Rapa Lil Wayne kwa sasa anadondoka kifafa, aahirisha show baada ya kudondoka

Rapa Lil Wayne kwa sasa anadondoka kifafa, aahirisha show baada ya kudondoka

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habar hapo juu

Hakuna kitu kibaya kama madawa ya kulevya, mnyama kutoka los Angeles licha ya kuacha na kusitisha utumiaj wa madawa ya kulevya lakin madhara yake baado yanamtesa had leo,


Mshikaji ashaacha kutumia madawa lakin hayakumuacha salama baada ya kumuachia tatizo la kuwa anadondoka kifafa

Jana alikuwa na show huko carifonia lakin haikufanyika baada ya mchiz kudodonka jukwaan kitu kilichopelekea show kuarishwa
lil-wayne-weezyana.jpeg


Masela achen bang sio nzur

Niungane na makonda

Pole chid benz

Wote kwa pamoja tusimame kupiga vita madawa ya kulevya

LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpeni ugoro huyo mbona atakaa sawa tu

Sent from myself
 
Ameanza kuwa kama Rick Ross kipindi kile anaanguka kwenye show
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habar hapo juu

Hakuna kitu kibaya kama madawa ya kulevya, mnyama kutoka los Angeles licha ya kuacha na kusitisha utumiaj wa madawa ya kulevya lakin madhara yake baado yanamtesa had leo,


Mshikaji ashaacha kutumia madawa lakin hayakumuacha salama baada ya kumuachia tatizo la kuwa anadondoka kifafa

Jana alikuwa na show huko carifonia lakin haikufanyika baada ya mchiz kudodonka jukwaan kitu kilichopelekea show kuarishwa
View attachment 581362

Masela achen bang sio nzur

Niungane na makonda

Pole chid benz

Wote kwa pamoja tusimame kupiga vita madawa ya kulevya

LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
Rapper Lil Wayne has reportedly been hospitalized in Chicago after suffering an epileptic seizure. According to TMZ, Wayne (real name: Dwayne Michael Carter, Jr.) was found unconscious in his Westin Hotel room on Sunday afternoon (Sept. 3). He was taken to Northwestern Hospital where he experienced another seizure.

The New Orleans rapper has long suffered from the neurological disorder and has been hospitalized several times in recent years, including a six-day stay in 2013, and following an incident on a cross-country flight in 2016.

Wayne, who is currently on tour with Rae Sremmurd, was scheduled to perform at Drai’s Nightclub in Las Vegas on Sept. 3. It is unclear as of yet whether Wayne will be discharged.
KAKA ACHA KUPOTOSHA WATU EPILEPTIC SEIZURE UNARITHI KAKA NA UKISIKILIZA INTERVIEW YA JACIDA CARTER AMBAYE NI MAMA YAKE MZAZI AMEELEZEA KABISA USA SIO KAMA BONGO KAKA
MY REGARDS
 
Lil Wayne kifafa ni toka kitambo
sema saiv kimezid

Mshikaj kapoteza pesa nying sana kwa kukanseli shows kutokana epilepsy

Namwombea kwa Mungu apone jamaa saiv kawa mnyonge sana

Lol pops....mirror of the world

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Hapa nasikiliza Right above yupo na Drake. Sijawahi kuona rapper matata kama huyu. Mungu amlinde

Will yo future thank u 4 tha sht u'r duin 2day?
 
Back
Top Bottom