Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Hakuna kitu kibaya kama madawa ya kulevya, mnyama kutoka los Angeles licha ya kuacha na kusitisha utumiaj wa madawa ya kulevya lakin madhara yake baado yanamtesa had leo,
Mshikaji ashaacha kutumia madawa lakin hayakumuacha salama baada ya kumuachia tatizo la kuwa anadondoka kifafa
Jana alikuwa na show huko carifonia lakin haikufanyika baada ya mchiz kudodonka jukwaan kitu kilichopelekea show kuarishwa
Masela achen bang sio nzur
Niungane na makonda
Pole chid benz
Wote kwa pamoja tusimame kupiga vita madawa ya kulevya
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Hakuna kitu kibaya kama madawa ya kulevya, mnyama kutoka los Angeles licha ya kuacha na kusitisha utumiaj wa madawa ya kulevya lakin madhara yake baado yanamtesa had leo,
Mshikaji ashaacha kutumia madawa lakin hayakumuacha salama baada ya kumuachia tatizo la kuwa anadondoka kifafa
Jana alikuwa na show huko carifonia lakin haikufanyika baada ya mchiz kudodonka jukwaan kitu kilichopelekea show kuarishwa
Masela achen bang sio nzur
Niungane na makonda
Pole chid benz
Wote kwa pamoja tusimame kupiga vita madawa ya kulevya
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app