Rapa Lil Wayne kwa sasa anadondoka kifafa, aahirisha show baada ya kudondoka

Rapa Lil Wayne kwa sasa anadondoka kifafa, aahirisha show baada ya kudondoka

Hapa nasikiliza Right above yupo na Drake. Sijawahi kuona rapper matata kama huyu. Mungu amlinde

Will yo future thank u 4 tha sht u'r duin 2day?
Hyo nyimbo hatari sana + She will, President carter, Hustler music, Blunt blown,Something you forgot & Dear Anne
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habar hapo juu

Hakuna kitu kibaya kama madawa ya kulevya, mnyama kutoka los Angeles licha ya kuacha na kusitisha utumiaj wa madawa ya kulevya lakin madhara yake baado yanamtesa had leo,


Mshikaji ashaacha kutumia madawa lakin hayakumuacha salama baada ya kumuachia tatizo la kuwa anadondoka kifafa

Jana alikuwa na show huko carifonia lakin haikufanyika baada ya mchiz kudodonka jukwaan kitu kilichopelekea show kuarishwa
View attachment 581362

Masela achen bang sio nzur

Niungane na makonda

Pole chid benz

Wote kwa pamoja tusimame kupiga vita madawa ya kulevya

LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app

Mtoa mada kuna tofauti kubwa kat ya bange na madawa ya kulevyaa
 
Back
Top Bottom