Rapa Lil Wayne kwa sasa anadondoka kifafa, aahirisha show baada ya kudondoka

Rapa Lil Wayne kwa sasa anadondoka kifafa, aahirisha show baada ya kudondoka

Mleta madam unachanganya Mambo hapa. I wanna kifafa kinaweza kumpata mtu yeyote pili bangi ni dawa nzuri sana tatu Lil Wayne tatizo lake ni kutumia aina Fulani ya dawa ya kikohozi kwa kuchanganya na Sprite Kama kinywaji na matokeo yake ni kupata kifafa mara kwa Mara.
 
Mleta madam unachanganya Mambo hapa. I wanna kifafa kinaweza kumpata mtu yeyote pili bangi ni dawa nzuri sana tatu Lil Wayne tatizo lake ni kutumia aina Fulani ya dawa ya kikohozi kwa kuchanganya na Sprite Kama kinywaji na matokeo yake ni kupata kifafa mara kwa Mara.
Mbona madakitar wake walisema chanzo ni madawa ya kulevya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bhang mbona iko viziri idara nyingi tu kuna baadhi ya nchi kama wewe ni HIV positive na umeshaanza kuumwa unaruhusiwa kuvuta msuba kwa murua au kama una aina flani ya cncer hivi unavuta msuba kama pain killer

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo wewe unaivuta japo hayo matatizo huna.
 
Huyu jamaa napenda sana kuskiliza intervie zake.....
 
Back
Top Bottom