MpiganiaUhuru
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 777
- 912
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni aidha ana mafua au anaongea kihindi!Rapa Lil Wayne kwa sasa anadodoka kifafa, airisha show baada ya kudodonka.
ANADODOKA, AIRISHA, KUDODONKA. Duuuuuh, hatariiiiiiii.
Umejibu nini hapo?Ni aidha ana mafua au anaongea kihindi!
Weye unaona nini? Nyama ya bata kweli weye!Umejibu nini hapo?
Wee kijana wa makinikia acha kukurupuka, kama mlivyokurupuka kutengeneza fake news kuwa Trump kamsifia magfool then unaleta taarifa za vibaraza vya lumumba kwa jambo usilolijua kiundani. Ukuku unakusumbua...Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Hakuna kitu kibaya kama madawa ya kulevya, mnyama kutoka los Angeles licha ya kuacha na kusitisha utumiaj wa madawa ya kulevya lakin madhara yake baado yanamtesa had leo,
Mshikaji ashaacha kutumia madawa lakin hayakumuacha salama baada ya kumuachia tatizo la kuwa anadondoka kifafa
Jana alikuwa na show huko carifonia lakin haikufanyika baada ya mchiz kudodonka jukwaan kitu kilichopelekea show kuarishwa
View attachment 581362
Masela achen bang sio nzur
Niungane na makonda
Pole chid benz
Wote kwa pamoja tusimame kupiga vita madawa ya kulevya
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimejitahidi kusoma kwa umakini nielewe una maanisha nini ila nimekwama kidogo carifonia nini?Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Hakuna kitu kibaya kama madawa ya kulevya, mnyama kutoka los Angeles licha ya kuacha na kusitisha utumiaj wa madawa ya kulevya lakin madhara yake baado yanamtesa had leo,
Mshikaji ashaacha kutumia madawa lakin hayakumuacha salama baada ya kumuachia tatizo la kuwa anadondoka kifafa
Jana alikuwa na show huko carifonia lakin haikufanyika baada ya mchiz kudodonka jukwaan kitu kilichopelekea show kuarishwa
View attachment 581362
Masela achen bang sio nzur
Niungane na makonda
Pole chid benz
Wote kwa pamoja tusimame kupiga vita madawa ya kulevya
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliongelea madawa ya kulevya sio bang pekeeMkuu mleta mada labda unaongelea unga, ila bangi ni dawa ya kifafa nzuri sana
Uko sahihi lakin mimi hapo juu hakuna sehemu niliposema kuwa kaanza leoLil wyne hajaanza kuanguka kifafa Leo ama Jana kama unamfatilia utakua umeligundua hili..ndo maana huwa anapendelea kunywa aina flani hivi ya syrap mda wote!!
Ingekuwa kwetu huku tungesema dumbaAmeanza kuwa kama Rick Ross kipindi kile anaanguka kwenye show
Umenitukana bure mkuuUmeandika utadhani unamjuaaaa kumbe umeokoteleza vihabari hahaha
Kifafa cha Wayne ni tangu ndogo, na juzi hakuanguka jukwaa alikutwa hana fahamu hotelini.
Shenztype
Aisee magufur kafikaje tena hapaWee kijana wa makinikia acha kukurupuka, kama mlivyokurupuka kutengeneza fake news kuwa Trump kamsifia magfool then unaleta taarifa za vibaraza vya lumumba kwa jambo usilolijua kiundani. Ukuku unakusumbua...