Haujanielewa na itachukua muda kunielewa I'm talking about punchlines sio bwatu bwatu, umenipata bwatu bwatu Kitengo sawa Ila punchlines hana na sisi tunaangalia ukali wa msanii wa rap kwa punchlines sio bwatu bwatu, bado haujaelewa?Punchlines ata Msodoki anafanya tena kali tu .Me nazungumzia freestyle wachane kuhusu kitu flani
Yenye mpangilio wa mizani na vina, sio unabwatabwata tu mizani na vina havionekani tho kuna mashairi yasiyo na vina Ila rap tunaangalia vina lazima ujue hilo, mpangilio wa story yako na kile unachochana au yule unaemchana je! vinaendana?,Freestyle tafsiri yake nyingine ni mashairi yenye mada mchanganyiko.
Acha bangeYenye mpangilio wa mizani na vina, sio unabwatabwata tu mizani na vina havionekani tho kuna mashairi yasiyo na vina Ila rap tunaangalia vina lazima ujue hilo, mpangilio wa story yako na kile unachochana au yule unaemchana je! vinaendana?,
Punguza bangi wee.Hao wenzenu mnaowapamba wamefanya nini cha maana zaidi ya kurap-rap ovyo unarap rap mistari haina vina na yenye vina haina maana, hivi unaelewa maana ya rap kwanza? Nisije nikawa nabishana na Juma Lokole
Hao madogo unaowapamba wana legacy gan au wameifikisha rap wapi? Km hakuna piga banzi domo lako alafu kaa kimya
Nimelia sana ndugu yangu , niliposoma kipande kihiki kutoka kwa wataalamu wa kazi.wanajiita ma MC hawajui mitindo huru huwa mtazamo wangu naona vingi vihoja yaani watangazaji Sasa ndio ma manager
*Kuna ku rap na kubwata marepa na marapa katuni Tungo tata wapi ubunifu umepata,
Unakuwa mtumwa Ili upewe promo kuuza au kama ni binti ukalale kwa prodyuza.*
Nenda kamuulize Salehe Jabir atakupa historia ya mziki bongo especially rap, now stick this finger to your ass na muache kutukana na kutokuwaheshimu waliowatanguliaSiwezi kukujibu tena, tuko na malofa humu ndani.
Huna hoja unakimbilia matusi,unatukana tu kila mtu.
Dogo, dogo hivi unajua hata historia ya mziki Tanzania wewe, ndio mana kila mtu unamuita dogo.
Wenye akili kama kitu hawajui wanataka kujifunza.
Endelea kutukana watu humu.
Watasikika Kwa media ipi Sasa?, maneno meeengi. Zamani ilikuwa kama una kipaji ndo utasikika, tofauti na Sasa trend generationKwa hio Kado Kitengo, Disasta Vina, Boshoo, Nacha, Mbeya Boy Chuma na Black Mc ndio mnaowaona wana mashairi magumu kumzidi Ngwair au sio?
Madogo mnazingua mnazingua mnazingua madogo hamna heshima, hivi unaelewa maana ya freestyle kwanza? Unaielewa misingi hiphop na rap ipoje na ni ipi au unaropoka tu?
Wote niliowamention hapo juu wanabwata bwata tu sijaona rapper kidooogo ukiniambia Mbeya Boy Chuma anarap nitakuelewa hao wengine sijawaelewa wanarap nini, rap ni mtiririko na mpangilio wa mashairi yanayoeleweka narudia tena rap ni mtiririko na mpangilio wa mashairi yanayoeleweka, niambie Ngwair katika kurap kwake hukuwahi kumuelewa anarap nini na media zilikua zinapiga Ngoma zake top 10 alikua anafika mpaka namba 1 leo wewe dogo umemaliza la 7 juzi unaleta dharau za ki-wack humu?
Niambie huyo Cado Kitengo au Disasta lini ameshika namba 1 top 10? Sizungumzii boomplay au stream au blog yoyote nazungumzia public radio na TV ipi ameshika namba 1 kwenye top 10? Akachana akarap watu wakamuelewa anachofanya ondoa EaRadio dakika 10 za maangamizi ipi radio nyingine inayoelewa uwepo wake au boomplay na YouTube?
Hizo jeuri na viburi za kutokuheshimu waliotangulia ndio zinafanya msifike mbali, msiposupportiwa mnaanza maneno mengi mkisupportiwa mnajifanya miamba eti unaingia booth unatunga rap line "Disasta Vina ni km JO 70" motherfackers yaan madogo mnapenda battle's za ki-wack, faaaack you
Waambie hawa madogo hawaelewi, sasa hivi wanapoiona globalization imechukua nafasi wanadhani kipindi hicho ni sawa na sasa, kipindi hicho ukipanda stage watu hawakuelewi unapigwa makopo ushuke watu hawataki ujinga unalishwa na mabanzi kabisa sio siku hizi vistudio uchwara vimetapakaa kila nyumba kuna msanii kila nyumba kuna producer,Watasikika Kwa media ipi Sasa?, maneno meeengi. Zamani ilikuwa kama una kipaji ndo utasikika, tofauti na Sasa trend generation
Bila kumsahau nyamayao n'a kibakuliMax unamjua?
Max na Zembwela kuna mdau alikua anaitwa Max unamjua?
Nyie madogo mnaboa kinomanoma aisee, kila kitu mnapaka kinyesi tu, nyinyi mmefanya kipi cha maana, mtu anafreestyle anatajataja Google map tu dakika 8 nzima mara Google mara Google map mistari imepishana haijapangiliwa unabwatuka ovyo ovyo tu hueleweki, what a fack? Soon mtasema Afande hakutakiwa kua Mfalme wa Rhymes Tanzania alitakiwa kua Kitengo fack you, and if you support this lame ass fack you too, yes fack you too
Nyamayao yupo China anafanya dubbing tamthlia na movies Startimes na kibakuri kawa mfanyabiashara kaachana na SanaaBila kumsahau nyamayao n'a kibakuli
Saigon alikuwa mzuri kuliko Ngwea? Bro unaota au?Ngwair overrated na wauza unga na wala unga
Saigon tu alikuwa ana rap vizuri kuliko mashauzi ngwair
Saigon alikuwa kwenye media 24 hrs that why wanasema Saigon mkali 🤣 ila Clip za Ngwea ana clip mbili au tatu ambazo zipo youtube . Ila angekuwa shobo na media angemkubaliSaigon alikuwa mzuri kuliko Ngwea? Bro unaota au?
Ngwair alikuwa wakawaida sanaKwa hio Kado Kitengo, Disasta Vina, Boshoo, Nacha, Mbeya Boy Chuma na Black Mc ndio mnaowaona wana mashairi magumu kumzidi Ngwair au sio?
Madogo mnazingua mnazingua mnazingua madogo hamna heshima, hivi unaelewa maana ya freestyle kwanza? Unaielewa misingi hiphop na rap ipoje na ni ipi au unaropoka tu?
Wote niliowamention hapo juu wanabwata bwata tu sijaona rapper kidooogo ukiniambia Mbeya Boy Chuma anarap nitakuelewa hao wengine sijawaelewa wanarap nini, rap ni mtiririko na mpangilio wa mashairi yanayoeleweka narudia tena rap ni mtiririko na mpangilio wa mashairi yanayoeleweka, niambie Ngwair katika kurap kwake hukuwahi kumuelewa anarap nini na media zilikua zinapiga Ngoma zake top 10 alikua anafika mpaka namba 1 leo wewe dogo umemaliza la 7 juzi unaleta dharau za ki-wack humu?
Niambie huyo Cado Kitengo au Disasta lini ameshika namba 1 top 10? Sizungumzii boomplay au stream au blog yoyote nazungumzia public radio na TV ipi ameshika namba 1 kwenye top 10? Akachana akarap watu wakamuelewa anachofanya ondoa EaRadio dakika 10 za maangamizi ipi radio nyingine inayoelewa uwepo wake au boomplay na YouTube?
Hizo jeuri na viburi za kutokuheshimu waliotangulia ndio zinafanya msifike mbali, msiposupportiwa mnaanza maneno mengi mkisupportiwa mnajifanya miamba eti unaingia booth unatunga rap line "Disasta Vina ni km JO 70" motherfackers yaan madogo mnapenda battle's za ki-wack, faaaack you
Kwa hio wewe unaemuona sio wa kawaida ni nani kwa mfano?Ngwair alikuwa wakawaida sana
Kitengo kakalishwa na TOXIC FUVU kwenye big sundayKado kitengo ni Messi awo wajinga hamna kitu akuna mtu yoyote yule apa Tz atakaekuja kusimama na kitengo ayeeeeeeeeee
Uyo Toxic alipigwa round zote pale tabata free style battleKitengo kakalishwa na TOXIC FUVU kwenye big sunday
Unamjua ngwea weweLimetokea wimbi la ivi visanii vya Sasa
Kuandika nyimbo mnazi record mnasiita freestyle
Au ndiyo hamjui maana ya mitindo huru?
Bongo freestyle walikuwa KING ZILAH na NIKKI MBISHI
wengine acheni izo mnajivua nguo
Ni mtazamo zamowanajiita ma MC hawajui mitindo huru huwa mtazamo wangu naona vingi vihoja yaani watangazaji Sasa ndio ma manager
*Kuna ku rap na kubwata marepa na marapa katuni Tungo tata wapi ubunifu umepata,
Unakuwa mtumwa Ili upewe promo kuuza au kama ni binti ukalale kwa prodyuza.*