Rapcha anajua lakini maana ya freestyle?

Rapcha anajua lakini maana ya freestyle?

Punchlines ata Msodoki anafanya tena kali tu .Me nazungumzia freestyle wachane kuhusu kitu flani
Haujanielewa na itachukua muda kunielewa I'm talking about punchlines sio bwatu bwatu, umenipata bwatu bwatu Kitengo sawa Ila punchlines hana na sisi tunaangalia ukali wa msanii wa rap kwa punchlines sio bwatu bwatu, bado haujaelewa?
 
Freestyle tafsiri yake nyingine ni mashairi yenye mada mchanganyiko.
Yenye mpangilio wa mizani na vina, sio unabwatabwata tu mizani na vina havionekani tho kuna mashairi yasiyo na vina Ila rap tunaangalia vina lazima ujue hilo, mpangilio wa story yako na kile unachochana au yule unaemchana je! vinaendana?,
 
Yenye mpangilio wa mizani na vina, sio unabwatabwata tu mizani na vina havionekani tho kuna mashairi yasiyo na vina Ila rap tunaangalia vina lazima ujue hilo, mpangilio wa story yako na kile unachochana au yule unaemchana je! vinaendana?,
Acha bange
 
Hao wenzenu mnaowapamba wamefanya nini cha maana zaidi ya kurap-rap ovyo unarap rap mistari haina vina na yenye vina haina maana, hivi unaelewa maana ya rap kwanza? Nisije nikawa nabishana na Juma Lokole

Hao madogo unaowapamba wana legacy gan au wameifikisha rap wapi? Km hakuna piga banzi domo lako alafu kaa kimya
Punguza bangi wee.

Jadili kwa hoja usiwe kama mpumbavu.

Kama unapenda kusoma nikutumie PhD thesis kuhusu bongo hiphop usome waliofikisha hapa hui mziki bongo.

Usitukane tukane watu humu hovyo inaonesha namna unavyoshindwa hoja na ishara ya ujinga.
 
wanajiita ma MC hawajui mitindo huru huwa mtazamo wangu naona vingi vihoja yaani watangazaji Sasa ndio ma manager

*Kuna ku rap na kubwata marepa na marapa katuni Tungo tata wapi ubunifu umepata,

Unakuwa mtumwa Ili upewe promo kuuza au kama ni binti ukalale kwa prodyuza.*
Nimelia sana ndugu yangu , niliposoma kipande kihiki kutoka kwa wataalamu wa kazi.
 
Siwezi kukujibu tena, tuko na malofa humu ndani.
Huna hoja unakimbilia matusi,unatukana tu kila mtu.

Dogo, dogo hivi unajua hata historia ya mziki Tanzania wewe, ndio mana kila mtu unamuita dogo.
Wenye akili kama kitu hawajui wanataka kujifunza.

Endelea kutukana watu humu.
Nenda kamuulize Salehe Jabir atakupa historia ya mziki bongo especially rap, now stick this finger to your ass na muache kutukana na kutokuwaheshimu waliowatangulia

Nikki Mbishi alisema

"Sele atabaki Afande Mfalme Hashim Dogo"

Ila haikua kimhemko km mnavyofanya nyinyi, ntakuongeza lingine muone
 
Kwa hio Kado Kitengo, Disasta Vina, Boshoo, Nacha, Mbeya Boy Chuma na Black Mc ndio mnaowaona wana mashairi magumu kumzidi Ngwair au sio?

Madogo mnazingua mnazingua mnazingua madogo hamna heshima, hivi unaelewa maana ya freestyle kwanza? Unaielewa misingi hiphop na rap ipoje na ni ipi au unaropoka tu?

Wote niliowamention hapo juu wanabwata bwata tu sijaona rapper kidooogo ukiniambia Mbeya Boy Chuma anarap nitakuelewa hao wengine sijawaelewa wanarap nini, rap ni mtiririko na mpangilio wa mashairi yanayoeleweka narudia tena rap ni mtiririko na mpangilio wa mashairi yanayoeleweka, niambie Ngwair katika kurap kwake hukuwahi kumuelewa anarap nini na media zilikua zinapiga Ngoma zake top 10 alikua anafika mpaka namba 1 leo wewe dogo umemaliza la 7 juzi unaleta dharau za ki-wack humu?

Niambie huyo Cado Kitengo au Disasta lini ameshika namba 1 top 10? Sizungumzii boomplay au stream au blog yoyote nazungumzia public radio na TV ipi ameshika namba 1 kwenye top 10? Akachana akarap watu wakamuelewa anachofanya ondoa EaRadio dakika 10 za maangamizi ipi radio nyingine inayoelewa uwepo wake au boomplay na YouTube?

Hizo jeuri na viburi za kutokuheshimu waliotangulia ndio zinafanya msifike mbali, msiposupportiwa mnaanza maneno mengi mkisupportiwa mnajifanya miamba eti unaingia booth unatunga rap line "Disasta Vina ni km JO 70" motherfackers yaan madogo mnapenda battle's za ki-wack, faaaack you
Watasikika Kwa media ipi Sasa?, maneno meeengi. Zamani ilikuwa kama una kipaji ndo utasikika, tofauti na Sasa trend generation
 
Watasikika Kwa media ipi Sasa?, maneno meeengi. Zamani ilikuwa kama una kipaji ndo utasikika, tofauti na Sasa trend generation
Waambie hawa madogo hawaelewi, sasa hivi wanapoiona globalization imechukua nafasi wanadhani kipindi hicho ni sawa na sasa, kipindi hicho ukipanda stage watu hawakuelewi unapigwa makopo ushuke watu hawataki ujinga unalishwa na mabanzi kabisa sio siku hizi vistudio uchwara vimetapakaa kila nyumba kuna msanii kila nyumba kuna producer,
 
Dogo anajaribu kung'0a **** za Goat.
1671138406710.jpg
 
Max unamjua?
Max na Zembwela kuna mdau alikua anaitwa Max unamjua?
Nyie madogo mnaboa kinomanoma aisee, kila kitu mnapaka kinyesi tu, nyinyi mmefanya kipi cha maana, mtu anafreestyle anatajataja Google map tu dakika 8 nzima mara Google mara Google map mistari imepishana haijapangiliwa unabwatuka ovyo ovyo tu hueleweki, what a fack? Soon mtasema Afande hakutakiwa kua Mfalme wa Rhymes Tanzania alitakiwa kua Kitengo fack you, and if you support this lame ass fack you too, yes fack you too
Bila kumsahau nyamayao n'a kibakuli
 
Saigon alikuwa mzuri kuliko Ngwea? Bro unaota au?
Saigon alikuwa kwenye media 24 hrs that why wanasema Saigon mkali 🤣 ila Clip za Ngwea ana clip mbili au tatu ambazo zipo youtube . Ila angekuwa shobo na media angemkubali
 
Kwa hio Kado Kitengo, Disasta Vina, Boshoo, Nacha, Mbeya Boy Chuma na Black Mc ndio mnaowaona wana mashairi magumu kumzidi Ngwair au sio?

Madogo mnazingua mnazingua mnazingua madogo hamna heshima, hivi unaelewa maana ya freestyle kwanza? Unaielewa misingi hiphop na rap ipoje na ni ipi au unaropoka tu?

Wote niliowamention hapo juu wanabwata bwata tu sijaona rapper kidooogo ukiniambia Mbeya Boy Chuma anarap nitakuelewa hao wengine sijawaelewa wanarap nini, rap ni mtiririko na mpangilio wa mashairi yanayoeleweka narudia tena rap ni mtiririko na mpangilio wa mashairi yanayoeleweka, niambie Ngwair katika kurap kwake hukuwahi kumuelewa anarap nini na media zilikua zinapiga Ngoma zake top 10 alikua anafika mpaka namba 1 leo wewe dogo umemaliza la 7 juzi unaleta dharau za ki-wack humu?

Niambie huyo Cado Kitengo au Disasta lini ameshika namba 1 top 10? Sizungumzii boomplay au stream au blog yoyote nazungumzia public radio na TV ipi ameshika namba 1 kwenye top 10? Akachana akarap watu wakamuelewa anachofanya ondoa EaRadio dakika 10 za maangamizi ipi radio nyingine inayoelewa uwepo wake au boomplay na YouTube?

Hizo jeuri na viburi za kutokuheshimu waliotangulia ndio zinafanya msifike mbali, msiposupportiwa mnaanza maneno mengi mkisupportiwa mnajifanya miamba eti unaingia booth unatunga rap line "Disasta Vina ni km JO 70" motherfackers yaan madogo mnapenda battle's za ki-wack, faaaack you
Ngwair alikuwa wakawaida sana
 
Limetokea wimbi la ivi visanii vya Sasa

Kuandika nyimbo mnazi record mnasiita freestyle

Au ndiyo hamjui maana ya mitindo huru?


Bongo freestyle walikuwa KING ZILAH na NIKKI MBISHI

wengine acheni izo mnajivua nguo
Unamjua ngwea wewe
 
Unju bin unuq is my best freestyle arist of all times..ukiwa na ubongo wa panzi huwezi kumuelewa. Lyrics zake zinahitaji akili kubwa sna kuweza kumuelewa.yuko deep sana.chidbenz,ngwair,godzillah wote uwezo wao unalingana maybe saigon anavitu flani adimu kama Nikki mbishi~Unju
 
wanajiita ma MC hawajui mitindo huru huwa mtazamo wangu naona vingi vihoja yaani watangazaji Sasa ndio ma manager

*Kuna ku rap na kubwata marepa na marapa katuni Tungo tata wapi ubunifu umepata,

Unakuwa mtumwa Ili upewe promo kuuza au kama ni binti ukalale kwa prodyuza.*
Ni mtazamo zamo
 
Back
Top Bottom