Rapper Lil Durk akamatwa kwa mauaji, ni utamaduni wa ovyo wa marapa weusi kuimba muziki wa kuhamasisha uhalifu na wao kuona fahari kuishi maisha hayo

Rapper Lil Durk akamatwa kwa mauaji, ni utamaduni wa ovyo wa marapa weusi kuimba muziki wa kuhamasisha uhalifu na wao kuona fahari kuishi maisha hayo

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
1730061025950.png


Issue yake ya kukamatwa iko hivi, miaka minne ilyopita rapper king von ambaye ni swahiba wa durk aliuawa kwa risasi huko Atlanta akiwa anamletea usela mavi rapper mwenzake wa chicago wa kuitwa quando rondo wakamshoot

mwaka 2022 lil durk alituma member wa kundi lake la OTF (Only the family) kulipiza kisasi cha king von wenyewe wanaita (slide for von) kutoka chicago mpka los angeles kwenda kumuua quando rondo akiwa kwenye kituo cha mafuta lakin ikashindikana wakamuua binamu yake na Rando

Mapolisi wakaanza kufuatilia hii ishu wakaweza kumbananisha moja wa member wa kundi la OTF awe amamsnichi Lil Durk, Mapolisi wakamwambia awe anawasha recoeder anapozungumza na Lil Durk wakiwa kwenye Gari, Nyumbani kwake, Party, n.k. sasa hapa itakuwa Lil Durk kapayuka mara kadhaa ile ishu ya kutaka kumuua Rando na kumuua binamu yake na pengine kutaka kujaribu tena kumuua Rando, Hakuna mtu anaeaminika mtaani, Huyo member wa OTF itakuwa alitishwa atafungwa maisha jela kwa kesi ya mauaji halafu akiangalia pembeni ana famili, cha kufia nini ? akaamua amchome tu Lil Durk.

sasa week kadhaa zilizopita majamaa waliotumwa na durk kumuua quando wamekamatwa, lil durk alikua zake Miami anaskia jamaa zake wamekamatwa aka book ndege mbili kutoka miami kwenda Dubai na nyengine ya kwenda Uswiswi, inasemekana ilikua ni mikakati ya kukimbia nchi ila alikamatwa kabla ya kuanza safar.

Miziki mingi ya Lil Durk inahamasisha mauaji, Uhalifu na matumizi ya madawa ya kulevya na yeye pia anapenda kuishi maisha hayo, mitaa ya Chicago anasifika kwa kuwa rapper aliye ua watu wengi,

Aina ya muziki wanaoimba marapa wa Marekani umeathiri sana wamarekani weusi, Chicago ni jiji lenye wamarekani weusi wengi, jiji hilo linasifika zaidi kwa kuwa na kiasi kikubwa cha uhalifu ikiwemo mauaji baina ya watu weusi, wasanii vioo vya jamii wanahamasisha mauaji, watu weusi wanamiminiana sana risasi.

Achana na movies, hivi ndivyo mambo yalivyo chicago, Hili ni shambulizi la kisasi cha genge


 
Duh kila nikifikiria maisha ya wamerekani weusi waimbao huu mziki wa kufokafoka napatwa na simanzi kubwa sana....

Takeoff
Pop smoke
Xxxtentacion etc
All killed tena wakiwa vjana wadogo sana... Ni utamaduni wa hovyo sana huu ila wao huenjoy tu
Tunawaonea huruma lakini na uhalisia ni kwamba walikuwa wanaimba miziki ya kihalifu na kuishi maisha ya kihalifu.

Kwenye maisha ya kihalifu kuna mauaji ya visasi, usnichi, n.k.
 
Tekash89 alitoka

Huyu nae atapelekwa mwanasheria anaejua kupindisha sheria atarudi uraiani tu kwani kitu gani? Hao wana damu za mateso ya utumwa halisi mababu wa mababu zao walichezea sana mboko wakiwa kwenye majahazi kwenda kulima mashamba Ulaya na Marekani
 
OHH MY LIFE bonge moja la Ngoma

Hakuna kitu kibaya kama kuishi bila kutoyapa thaman maisha ya KIROHO

Mwanadamu yeyote kila jambo hulitazama kwa hatua tatu

A. Kiroho
B.kitaaluma
C.kienyeji

Sasa hawa vijana wengi wao hutumia njia moja tu huyatizama mambo kienyeji ndo hapo kizazaa huanzia na kujikuta wako kwenye jeneza, hospital au jela
 
Duh kila nikifikiria maisha ya wamerekani weusi waimbao huu mziki wa kufokafoka napatwa na simanzi kubwa sana....

Takeoff
Pop smoke
Xxxtentacion etc
All killed tena wakiwa vjana wadogo sana... Ni utamaduni wa hovyo sana huu ila wao huenjoy tu
Na king von
 
Black Americans halafu kujifanya innocents na wanaongoza kwa crime rates
Amelengeshwa na huyo snitch hakuna ushahidi, hujaelewa nini? Kusema yoyote anaweza sema ila je una ushahidi wa anachosema au snitch kamlengesha?
 
OHH MY LIFE bonge moja la Ngoma

Hakuna kitu kibaya kama kuishi bila kutoyapa thaman maisha ya KIROHO

Mwanadamu yeyote kila jambo hulitazama kwa hatua tatu

A. Kiroho
B.kitaaluma
C.kienyeji

Sasa hawa vijana wengi wao hutumia njia moja tu huyatizama mambo kienyeji ndo hapo kizazaa huanzia na kujikuta wako kwenye jeneza, hospital au jela
Huo wimbo aliutoa kimkakati sana pengine atupiwe jicho la huruma kwa kujua kuna siku atakamatwa.

Nyimbo zake nyingi 9 kati ya kumi ni za uhalifu
 
Duh kila nikifikiria maisha ya wamerekani weusi waimbao huu mziki wa kufokafoka napatwa na simanzi kubwa sana....

Takeoff
Pop smoke
Xxxtentacion etc
All killed tena wakiwa vjana wadogo sana... Ni utamaduni wa hovyo sana huu ila wao huenjoy tu
Mtu weusi hata awe Amerika, Europe, Australia, Caribbean bado ana chembe chembe za upumbavu.

Black people ni shida sana.
 
View attachment 3136822

Msanii maarufu wa Rap kutoka Chicago, Lil Durk, amekamatwa kwa mashtaka ya kupanga mauaji.

Miziki mingi ya Lil Durk inahamasisha mauaji, Uhalifu na matumizi ya madawa ya kulevya na yeye pia anapenda kuishi maisha hayo, mitaa ya Chicago anasifika kwa kuwa rapper aliye ua watu wengi.

ukiskiliza ngoma zake nyingi ni kuhusu Bunduki, kuua, uhalifu, mauaji, n.k. na wewe unaweza ukadhan jamaa wana tania lakini ndio maisha yao halisi na ndicho wanachohamasisha, Chicago kuna mauji mengi sana ya mabifu ya watu weusi kwasababu ya huu utamaduni, watu weusi wanamiminiana sana risasi.


Issue yake ya kukamatwa iko hivi, miaka minne ilyopita rapper king von ambaye ni swahiba wa durk aliuawa kwa risasi huko Atlanta akiwa anamletea usela mavi rapper mwenzake wa chicago wa kuitwa quando rondo wakamshoot

mwaka 2022 lil durk alituma member wa kundi lake la OTF (Only the family) kulipiza kisasi cha king von wenyewe wanaita (slide for von) kutoka chicago mpka los angeles kwenda kumuua quando rondo akiwa kwenye kituo cha mafuta lakin ikashindikana wakamuua binamu yake na Rando

Mapolisi wakaanza kufuatilia hii ishu wakaweza kumbananisha moja wa member wa kundi la OTF awe amamsnichi Lil Durk, Mapolisi wakamwambia awe anawasha recoeder anapozungumza na Lil Durk wakiwa kwenye Gari, Nyumbani kwake, Party, n.k. sasa hapa itakuwa Lil Durk kapayuka mara kadhaa ile ishu ya kutaka kumuua Rando na kumuua binamu yake na pengine kutaka kujaribu tena kumuua Rando, Hakuna mtu anaeaminika mtaani, Huyo member wa OTF itakuwa alitishwa atafungwa maisha jela kwa kesi ya mauaji halafu akiangalia pembeni ana famili, cha kufia nini ? akaamua amchome tu Lil Durk.

sasa week kadhaa zilizopita majamaa waliotumwa na durk kumuua quando wamekamatwa, lil durk alikua zake Miami anaskia jamaa zake wamekamatwa aka book ndege mbili kutoka miami kwenda Dubai na nyengine ya kwenda Uswiswi, inasemekana ilikua ni mikakati ya kukimbia nchi ila alikamatwa kabla ya kuanza safar
Ila atashinda kesi tu 😂😂
 
Instagram ilimponza alikua om kwake wakawa wanapiga picha na rafiki yake wakazipost insta
Kumbe kwenye picha namba ya nyumba ilionekana
Wauni walivoona wakamtimbia wanataka ela akawabishia ,, ndo ikawa ivo
Duh! Hakika "the smoke will never clear" ngoja tumuone Durk ataishia wapi
 
Ishu ya West coast na East Coat imeharibu san na kuchangia katika mauaji hayo. Pia kitendo cha serikali ya marekani kuruhusu umiliki wa silaha. Mtaani zimekuwa njingi utadhani jojo.

Hivi bila bifu Kwenye Rap indusry hufanikiwi?
Maan kuna Drake na kendrick bado halijaisha
 
Back
Top Bottom