B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,403
Uyo sio mocker kaka umechanganya pics uyo ni Ommy crazy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana Scars umemuonea XXXTENTACION..Juice na Xxx walifanana kariba zao wote walikuwa lyrical wakiimba kuhusu maisha halisi tofaut na hawa kina mumble rappers kina Migos,NBA Youngboy,Youngun Ace,Lil Durk na wengine amefariki huku jamii ya Broward County na Florida yote kwa ujumla ikiwa inampenda sana dogo tofaut na madogo wengine wa umri wake kina Lil peepKatika generation ya trap, kwa upande wangu naweza kusema Juice ndio msanii ambaye alikuwa lyrical achana na kina Xxxtentacion
Nyimbo za triple x ambazo ni lyrical binafsi naona nizakuhesabika sanaHapana Scars umemuonea XXXTENTACION..Juice na Xxx walifanana kariba zao wote walikuwa lyrical wakiimba kuhusu maisha halisi tofaut na hawa kina mumble rappers kina Migos,NBA Youngboy,Youngun Ace,Lil Durk na wengine amefariki huku jamii ya Broward County na Florida yote kwa ujumla ikiwa inampenda sana dogo tofaut na madogo wengine wa umri wake kina Lil peep
Bongo bahati mbaya unaweza kuwa na hit song 10 na still ukawa unaunga unga maishaUzuri wa mziki wa marekani ukitusua tu umeikomboa familia
Wewe ndie umechanganya bro. Mocker namfahamu vyema,View attachment 2020239Uyo sio mocker kaka umechanganya pics uyo ni Ommy crazy
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] I'm among the only few people Who know his real IDDaah msela ndo kagoma kuvua hicho mortal kombat tumuone sura?
Sio tu kuwa slow hawafatilii sometimes, wanajua kama sio kudhulumiana basi madawa.. mbaya sana huu mtazamo wao kwa blacksInategemea na spirit ya jeshi lakini hata wao sio mafala...walijipanga , kama jeshi litadhamiria watawakamata tatizo Vifo vya black jeshi linakuwa slow sana
Mtag King'ai
Sisemei i am not a racist, nasemea Finally kamshirikisha Chris Brown.. Ngoma ipo ktk album hiyo umeweka picha kama DP yakoIm not racist chris brown hayupo labda usemee just let it go, stranger things na I dont die
Mda mrefu sana chiefHivi juice WRLD nae kavuta?
UngaHii ndio nimesikia leo sikujua kama jamaa alivuta. Kifo chake naye aliuliwa?
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Wewe ndie umechanganya bro. Mocker namfahamu vyema,View attachment 2020239View attachment 2020240
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Wewe ndie umechanganya bro. Mocker namfahamu vyema,View attachment 2020239View attachment 2020240
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
hahahaa copro kingai??Mtag King'ai
Hiyo picha niliyoweka dp ni cover ya ADHDSisemei i am not a racist, nasemea Finally kamshirikisha Chris Brown.. Ngoma ipo ktk album hiyo umeweka picha kama DP yako
naona jamaa kaja kitofauti kwa kutengeneza style yake ya kiupekee[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] I'm among the only few people Who know his real ID
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Kama taasisi za usalama zitaamua, hata hewa waliyokuwa wakitoa inatumika. Labda kwa vile aliyekufa ni blackNaona hii inaweza kuwa ngumu maana hao wahalifu naona wamevaa gloves mikononi. Wako makini kutoacha alama.
Wakawaida sana huyu jamaaMuite shaolinmocker View attachment 2020137View attachment 2020139View attachment 2020138View attachment 2020140View attachment 2020142View attachment 2020141
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app