Rappers bora wa muda wote nchini Tanzania

 
Kala pina, hashim dogo, jose mtambo,imam abbas,shindo man, jay moe mbakiaji, stopper, father nelly na X-plastaz,jcb,mansurii,adili, ku crew,fdc with ommy g,lwp with manslaughter,solo thang. Zaidi ya hao wengine ni wapiga kelele tu...
 

Jamaa hamjui hashim dogo halafu anajiita mwanahiphop bongo hapa, kuna mwingine hapo juu anaulizia imam abbas ndio nani dah Kweli hip hop inawenyewe,,
 
Raking Jay Mo and Fid Q above Sugu and Jay?
It's like choosing Toyota over Bentley ! Opinion divided.

For Jay moe its ok but fid q its big NO,,
Sugu he wasnt good to that much but he can stand as legendary and icon for hiphop hustller in tanzania together with ku-crew, xplastaz,kikosi with dogo mwanaharamu,saigoni,solothang,shindo,Jcb,Mo tech aka jay moe,fdc,lwp,manzese crew, etc
 
Kwa vijana wa sasa namuona dogo janja kama angeendelezwa angefuata nyao,, madee hiphop imemshinda lakini aliiweza,, jose mtambo bado anasukuma gurudumu, Fa is the best kwa sasa... Bado vijana wengi wa sasa hawajaiujua hiphop na wanafikili hiphop kupiga kelele mfano Roma na fid q,, namuona Mansurii kwa sasa anakwenda vizuri lakini ndio hivyo tena promo hakuna kwa kuwa watu muziki hawaujui na baadala yake wapiga kelele wanawekwa mbele..
 
GWM nao hawapo?ila kama hapo katika list yako tukitafuta vigezo na kuacha mahaba kumi wanatosha.
 
Ni GWM nasahihisha gangsters with matatizo.
 
 

...hayo mapenzi yaombe kwanza samahani kidogo yakae pembeni!...dogo janja angefuata nyayo za nani?..na ukisema Roma na Fid wapiga kelele unaonekana mbatata kinoma!
...halafu,huyo alouliza Imam Abbas ndo nani ndie muanzisha uzi!
 
aaah inliptiwa bhana nkidhan jamaa anamxema abasi wa kenya
 
Unawezaje kumsahau SALEH JABIR katika hiyo listi yako?
 
(1) Adamu mchovu a.k.a Baba Johniiii Raisi wa manyang'au duniani
(2)Kimbunga mchawi
(3)Kr.Murah
(4)Dudu baya a.k.a mamba
(5)chiku keto
(6)majani
(7)Kala Jeremia
(8)Karapina
(9)Watu pori
(10)Juma nature a.k.a SAS Global Saikal msitu wa vina
 
Unaleta mada gan kijana....leta list rappers wa billboard charts ntakuelewa.....hapa ni mbele tu...machine gun anarisha
 
1. SALU T & Prof. Jay
2. Kala Jeremiah
3. Chindo Man (umbwa)
4. Kadgo & Songa
5. Bonta
6. Solo thang & Jay Mo


Hapo Kwenye red ,
Naamini hao ndio wasanii wangu wa muda wote ..

2 - 6 ni wasanii ninaokubali kazi zao ..
 
Last edited:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…