Rappers waliokufa kwa kupigwa risasi

Alipigwa ila hakufa yupo hai nitaendelea kuamini hiyo milele japo huo nwaka anapigwa risasi nilikuwa kijana na qkili zangu tena shabiki wake nambaari one
Tupac alishakufa kitambo kwa kupigwa risasi achana na propaganda zinazoendelea
 
Kuna wimbo wa Joyner Lucas unaitwa Ross Cappuccin una majibu kuhusu vifo vya hao marapper
 
RICO Act ni hatari sana.
Niliijua baada ya kuangalia zile files za FBI zilikua zinaitwa FBI files ikiwemo ya kumtupa John Gotti jela na mobsters/mafia bosses kibao
 
Most of these young cats siwajui, it is sad how they end up catching bullets and kiss goodbye to this beautiful life just like that. Nimekuta hii kipande youtube kuhusu huyu bankroll fresh, its total madness
 
Most of these young cats siwajui, it is sad how they end up catching bullets and kiss goodbye to this beautiful life just like that. Nimekuta hii kipande youtube kuhusu huyu bankroll fresh, its total madness
Noma sana lifestyle yao na ustar mwingi
 
RICO Act ni hatari sana.
Niliijua baada ya kuangalia zile files za FBI zilikua zinaitwa FBI files ikiwemo ya kumtupa John Gotti jela na mobsters/mafia bosses kibao
Uliangalia kama documentary au ?
 
Uliangalia kama documentary au ?
Yes, ni documentaries zilizokua zinatengenezwa na FBI kuonyesha jinsi wanavyokamata wahalifu walioshindikana.

Ziko you tube, andika tu FBI files zitakuja episodes zote utaangalia. Ni hatari tupu.
Angalia hii
 
Yes, ni documentaries zilizokua zinatengenezwa na FBI kuonyesha jinsi wanavyokamata wahalifu walioshindikana.

Ziko you tube, andika tu FBI files zitakuja episodes zote utaangalia. Ni hatari tupu.
Angalia hii
Ngoja ntaziangalia
 
Niliangalia makala moja hivi ya Chicago. Jamaa akasema bora polisi akukute huna silaha. Kuliko mtu wa kundi pinzani.

Wanakuwa silaha sababu ya makundi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…