Rappers waliokufa kwa kupigwa risasi

Rappers waliokufa kwa kupigwa risasi

Wakuu hii ndo list ya wasanii wa hiphop waliokufa kwa kupigwa risasi
[emoji419]Scott la rock 1987,age 25
[emoji419]Paul c 1989,age 24
[emoji419]Danny de boy 1990,age 22
[emoji419]Charizma 1993,age 20
[emoji419]Stretch 1995,age 27
[emoji419]Seagram 1996,age 26
[emoji419]Tupac Shakur 1996 ,age25
[emoji419]Yaki gadafi 1996,age19

[emoji419]B.I.G 1997 ,age 24
[emoji419]Fat pat 1998 ,age27
[emoji419]Big l 1999, age24
[emoji419]Freaky tah 1999 ,age27
[emoji419]DJ uncle al 2001 age32
[emoji419]Jam master jay 2002, age37
[emoji419]Sabotage 2003 ,age29
[emoji419]Camouflage 2003 ,age21
[emoji419]Half a mill 2003 ,age 30
[emoji419]Soulja slim 2003 ,age 26
[emoji419]Mac dre 2004 ,age 34
[emoji419]Blade icewood 2005 ,age 28
[emoji419]Proof 2006, age 32
[emoji419]Big hawk 2006,age 36
[emoji419]Vl mike 2008 ,age 32
[emoji419]Dolla 2009,age 21
[emoji419]Magnolia shortly 2010 ,age 28
[emoji419]Lil snupe 2013,age 18
[emoji419]Doe B 2013 ,age 22
[emoji419]XXX tentacion 2018 ,age 20
[emoji419]Nipsey hussle 2019,age 33
[emoji419]Pop smoke 2020 ,age 20
[emoji419]Takeoff 2022, age 28
[emoji419]AKA 2023 ,age 35
View attachment 2535694
Yaani wengi wanachezea 20s tu?!

Waliofika 30s wachache kwenye hiyo list yako.

Hayo sio maisha, ni upumbavu tu.
 
Sikuwahi kujua kama Yaki Khadaffi na Freak Tah wameshakufa na waliuawa kwa risasi..
Kadafi Alipigwa risasi ya kichwa na cousin yake Napolean (Kadafi's and Tupac band mate), inasemekana ni kwa ajiri ya wivu , alifungwa only 4 years kwa kukosekana ushahidi maana watu waliokuwa wanajua walikataa kutoa ushahidi kwa kuogopa retaliation (another stupid black culture), Kadafi alikuwa only 19 na muuaji alikuwa 16 years old, cha kusikitisha alipotoka gerezani aliua mtu mwingine tena na sasa amefungwa maisha huko Virginia
 
Drake nae anahisiwa kuwa kamuua kule dogo xxxten
Huyu dogo nilikuwa namsikia ila sikuwahi kumfuatilia wala kusikia wimbo wake hata mmoja maana nilidhani ni muble rapper. Bwana leo nikasikiliza ngoma moja imekuwa suggested kwangu na YT aisee nimekuta nasikiliza nyimbo zake karibu zote na nimefall in love na jinsi anavyoimba style ye depression and alienation. ngoma zake kali sana kuna moja inaitwa numb imestick kwenye kichwa hasa ile guiter na drums kama za rock
 
Back
Top Bottom