Alexprosper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,286
- 6,110
- Thread starter
-
- #41
Alikuwa mkali jamaa ila ndo hivyo black wajinga sanaHao ndio wana sponsor mauaji kwa sababu za kibiashara.
Mtu kama pop smoke wakati anatoka tu ndio kauliwa. Ule msauti wake na style yake kama angeishi ishi muda mrefu lebo za washindani wa lebo yake zingepata shida sana sokoni
"mwendesha mashtaka wa Atlanta wa sasa ni mkali hakawii kufyatua RICO"Jay Z ni mzaliwa wa Brooklyn na hilo limembeba sana kwenye career yake. Ana tofauti kubwa na wahuni wazaliwa wa hasa Atlanta kina Future, Lil Baby, PrayBoi Carti, Young Thug na Young Stoner Life yake ambalo lote ni genge la wahuni. Atlanta imejaa wahuni na ndio inatoa rappers wengi.
Na makundi yanawalinda vilevile pamoja na kwamba yanawaumiza. Maisha yao ya ovyo, wakati YSL wanapanga kumuua YFN Lucci naye alikuwa na genge lake. Wote hawa wako jela mwendesha mashtaka wa Atlanta wa sasa ni mkali hakawii kufyatua RICO charges.
Na uhuni wa kipuuzi ilimradi kuuishi ugangster. YNM Melly kafunguliwa mashtaka kwa kumuua rafiki yake na kumuendesha hadi kwenye mamlaka akidai sijui wamevamiwa. Wakaja tumia nyimbo zake mbili kuconnect dots kilichoimbwa na kilichofanyika. NBA Youngboy yuko kifungo cha nyumbani kwa kosa gani sijui lilikuwa. Last month Tory Lanez niliona mzee wake anafoka mahakamani baada ya mwanae kukutwa na hatia ya kutumia silaha dhidi ya Cardi B.
Wanaforce uhuni
OkKuna mtu anaitwa Big Syke (psych) alikua best yake 2Pac. Kafariki 95/4
VICHWA MKAA! NA VICHWA MCHUNGWA... HIVI UTAVIKUTA VIJIWENI NA VYUONI NA KILA MAHALA NCHINI TANZANIA. KUTWA KUJADILI NA KUBISHANA UJINGA UJINGA TU!Vichwa vya mkaa au machugwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaliita Civilized Animal na ndio display za mashetani wakuu kamwe ustarajie sura ya kutisha ndio ujue hii namba sio.Jay z kumbe na yeye ni moto?
Ngoma kali sana leo hii angekuwa mbali sanaUmenifanya niende youtube kusikiliza hope ya X.Sad.
Vijana wa hovyoVICHWA MKAA! NA VICHWA MCHUNGWA... HIVI UTAVIKUTA VIJIWENI NA VYUONI NA KILA MAHALA NCHINI TANZANIA. KUTWA KUJADILI NA KUBISHANA UJINGA UJINGA TU!
WAULIZE WAZIRI WA ULINZI NANI... HAWAMJUI [emoji17]
BASI WAULIZE HATA KIFUNGU KIMOJA CHA KATIBA... HAWAJUI! TAIFA LIMEFURIKA WAJINGA TU! MA-ROLE MODEL WAO NDO HAO KINA 2PAC, DIAMOND NA HARMONIZE. WALAMBA ASALI WANAFURAHI TU MAANA VIJANA NDO NGUVUKAZI ILA AKILI HAWANA. WANAONGOZWA KAMA MANG'OMBE TU
Alishakoswa shaba tatu kitambo hicho🤣Hizo harakati ashatoka huko
Hivi white rappers nao wako hivyoWanaliita Civilized Animal na ndio display za mashetani wakuu kamwe ustarajie sura ya kutisha ndio ujue hii namba sio.
Basi nomaAlishakoswa shaba tatu kitambo hicho[emoji1787]
Aliweka mstari kwenye nyimbo ya "I just died in your arms tonight"
Kaa na vijana wa bodaboda dakika 30... utaumia sana na kuona wazi AFRIKA KAZI IPO!Vijana wa hovyo
Kesi zao nyingi hawaziwekagi wazi kuendelea kuchora image ya mweusi kwa mweusi ila nyuma Kuna mkono wa serikali pia.Hivi white rappers nao wako hivyo
Wanaliita Civilized Animal na ndio display za mashetani wakuu kamwe ustarajie sura ya kutisha ndio ujue hii namba sio.
Ila jamaa sio mtu wa kutafuta bifu za kijinga, ana ustaarabu wa kiaina hivi hata kama ni cha kinafiki.Really jay z king of new York
Mm waga ni mgumu sana kuzoeana na kujichanganya na watu ngoja ntajaribu kuwasogeleaKaa na vijana wa bodaboda dakika 30... utaumia sana na kuona wazi AFRIKA KAZI IPO!
Kama ya Martin Luther kingKesi zao nyingi hawaziwekagi wazi kuendelea kuchora image ya mweusi kwa mweusi ila nyuma Kuna mkono wa serikali pia.
State sio Poa si Rafiki kwa black mjuaji na mjanja mjanja.Kama ya Martin Luther king
Usisahau kuna umaskini mwingi USA ndio maana wanajiingiza sana kwenye drugs business na nyingine Haram, poverty, ghettos, malezi ya mzazi mmoja na mengine mengiJamii iliyoshindwa kustaarabika kabisa, uhuni na uhalifu ndio maisha waliyochagua ndani ya taifa kubwa lenye fursa nyingi za maisha.
Police wa kule wana watreat vibaya sana blacks, ila lifestyle yao na rekodi zao za uhalifu zinachangia hilo.....State sio Poa si Rafiki kwa black mjuaji na mjanja mjanja.
Wanataka Sheep kimya na utii sheria zao.