Rappers waliokufa kwa kupigwa risasi

Rappers waliokufa kwa kupigwa risasi

Hao ndio wana sponsor mauaji kwa sababu za kibiashara.

Mtu kama pop smoke wakati anatoka tu ndio kauliwa. Ule msauti wake na style yake kama angeishi ishi muda mrefu lebo za washindani wa lebo yake zingepata shida sana sokoni
Alikuwa mkali jamaa ila ndo hivyo black wajinga sana
 
Jay Z ni mzaliwa wa Brooklyn na hilo limembeba sana kwenye career yake. Ana tofauti kubwa na wahuni wazaliwa wa hasa Atlanta kina Future, Lil Baby, PrayBoi Carti, Young Thug na Young Stoner Life yake ambalo lote ni genge la wahuni. Atlanta imejaa wahuni na ndio inatoa rappers wengi.

Na makundi yanawalinda vilevile pamoja na kwamba yanawaumiza. Maisha yao ya ovyo, wakati YSL wanapanga kumuua YFN Lucci naye alikuwa na genge lake. Wote hawa wako jela mwendesha mashtaka wa Atlanta wa sasa ni mkali hakawii kufyatua RICO charges.

Na uhuni wa kipuuzi ilimradi kuuishi ugangster. YNM Melly kafunguliwa mashtaka kwa kumuua rafiki yake na kumuendesha hadi kwenye mamlaka akidai sijui wamevamiwa. Wakaja tumia nyimbo zake mbili kuconnect dots kilichoimbwa na kilichofanyika. NBA Youngboy yuko kifungo cha nyumbani kwa kosa gani sijui lilikuwa. Last month Tory Lanez niliona mzee wake anafoka mahakamani baada ya mwanae kukutwa na hatia ya kutumia silaha dhidi ya Cardi B.
Wanaforce uhuni
"mwendesha mashtaka wa Atlanta wa sasa ni mkali hakawii kufyatua RICO"

yes kwa sasa Young thug na label yake ya YSL wanaface Rico charges walikamatwa member wote wa label wakawa wanaachiwa kwa Plea Deals unakiri kwamba YSL ni genge la uhalifu na sio label basi unaachiwa kungoja maamuzi mengine ya kesi.Gunna yeye alikiri wazi mahakamani kuwa Ysl ni gang

Wengi wameachiwa kabaki Young Thug ambaye kesi imemkalia vibaya majaji hadi wanasoma references ya verse zake ambazo anahamasisha uhuni na kumwambia Jeff hii ndio tabia yako na hadi unaipromote..
 
Vichwa vya mkaa au machugwa[emoji23][emoji23][emoji23]
VICHWA MKAA! NA VICHWA MCHUNGWA... HIVI UTAVIKUTA VIJIWENI NA VYUONI NA KILA MAHALA NCHINI TANZANIA. KUTWA KUJADILI NA KUBISHANA UJINGA UJINGA TU!

WAULIZE WAZIRI WA ULINZI NANI... HAWAMJUI 😔

BASI WAULIZE HATA KIFUNGU KIMOJA CHA KATIBA... HAWAJUI! TAIFA LIMEFURIKA WAJINGA TU! MA-ROLE MODEL WAO NDO HAO KINA 2PAC, DIAMOND NA HARMONIZE. WALAMBA ASALI WANAFURAHI TU MAANA VIJANA NDO NGUVUKAZI ILA AKILI HAWANA. WANAONGOZWA KAMA MANG'OMBE TU
 
VICHWA MKAA! NA VICHWA MCHUNGWA... HIVI UTAVIKUTA VIJIWENI NA VYUONI NA KILA MAHALA NCHINI TANZANIA. KUTWA KUJADILI NA KUBISHANA UJINGA UJINGA TU!

WAULIZE WAZIRI WA ULINZI NANI... HAWAMJUI [emoji17]

BASI WAULIZE HATA KIFUNGU KIMOJA CHA KATIBA... HAWAJUI! TAIFA LIMEFURIKA WAJINGA TU! MA-ROLE MODEL WAO NDO HAO KINA 2PAC, DIAMOND NA HARMONIZE. WALAMBA ASALI WANAFURAHI TU MAANA VIJANA NDO NGUVUKAZI ILA AKILI HAWANA. WANAONGOZWA KAMA MANG'OMBE TU
Vijana wa hovyo
 
Jamii iliyoshindwa kustaarabika kabisa, uhuni na uhalifu ndio maisha waliyochagua ndani ya taifa kubwa lenye fursa nyingi za maisha.
Usisahau kuna umaskini mwingi USA ndio maana wanajiingiza sana kwenye drugs business na nyingine Haram, poverty, ghettos, malezi ya mzazi mmoja na mengine mengi
 
State sio Poa si Rafiki kwa black mjuaji na mjanja mjanja.
Wanataka Sheep kimya na utii sheria zao.
Police wa kule wana watreat vibaya sana blacks, ila lifestyle yao na rekodi zao za uhalifu zinachangia hilo.....

Kuna kipindi Obama akiwa Rais alikiri magereza mengi US yamejaa blacks...japo alisema ni tatizo la kijamii zaidi.
 
Back
Top Bottom