Huyu si alikuwa shetani, shetani tunayaacha naye na mambo yake yoteWakati wa mwendazake mlikuwa mnawadanganya wafanye biashara popote leo mnawapiga virungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu si alikuwa shetani, shetani tunayaacha naye na mambo yake yoteWakati wa mwendazake mlikuwa mnawadanganya wafanye biashara popote leo mnawapiga virungu.
Kwahiyo serikali imeshirikiana na machinga kuwaondoa.Serikali na wananchi ni lazima tushirikiane katika kuyatafuta majawabu......
Ni siku za karibuni CHIFU MKUU HANGAYA alipoongelea TOZO ZA MIAMALA YA SIMU kuwa zinakwenda KUJENGA NA KUBORESHA BARABARA ZIELEKEAO mashambani ili kuzidi kukiinua KILIMO alipingwa na baadhi yetu wananchi.......
Wasukumwe...Wanapita kisokoni sokoni!
Mbona walioshirikiana na shetani bado ni viongozi.Huyu si alikuwa shetani, shetani tunayaacha naye na mambo yake yote
Bwashee kukaa karibu na soko kuu kuna faida na hasara zake!Wasukumwe...
Wagombezwe...
Waangushwe...
Wapigwe.....
Wagongwe na maguta/magari
Wakabwe/waibiwe
Watoto,wazee na wagonjwa wao wapate shida...
Kweli hiyo ndio STAHIKI ya wakazi wa K/KOO....
Haya mkuu 🤣
🤣🤣Bwashee kwani kuna sehemu ambayo makazi hayana faida na hasara zake?Bwashee kukaa karibu na soko kuu kuna faida na hasara zake!
Kariakoo kama soko au eneo? Maana mfano tu, mahali zilipo zile fremu za jengo la Simba ni Kariakoo pia kama ukizungumzia eneo, lakini ni barabarani wala sio sokoniKwahiyo kimsingi unakubaliana na Ras kwamba Kariakoo ni Sokoni
Masaki hakuna hasara bwashee!🤣🤣Bwashee kwani kuna sehemu ambayo makazi hayana faida na hasara zake?
Vizimba vingekuwa vinapatikana kirahisi hivi kama ulivyotype kusingekuwa na mtu barabarani🤓!!!Waende masokoni wakalipie vizimba kama wafanyavyo wafanyabiashara wengine, walipe na kodi pia! Watengewe maeneo kwa umaalumu gani walionao? Ni kundi gani hapa TZ limepangiwa eneo maalumu la kufanyia mambo yao? Wao ni vilema hadi wadekezwe hivi?
Bwashee soko siyo jengo ni ule mkusanyiko wa wauzaji na wanunuaji!Kariakoo kama soko au eneo? Maana mfano tu, mahali zilipo zile fremu za jengo la Simba ni Kariakoo pia kama ukizungumzia eneo, lakini ni barabarani wala sio sokoni
Uswazi mathalani Mbagala Rangi 3 unaweza kuzurura.... kunywa kahawa usiku mnene na hata kupata FEGI ,MKUBWA na RIZLA ZAKE na "za kupima" muda wowote ule saa 9 usiku ama laa ..vipi Kichanga Chui Masaki ?!!🤣🤣Masaki hakuna hasara bwashee!
🤣Vizimba vingekuwa vinapatikana kirahisi hivi kama ulivyotype kusingekuwa na mtu barabarani🤓!!!
Pia upepo wa biashara wa kariakoo huwezi fananisha na wa mtaani! Mtaani kuipata elfu 50 kwa siku kama uipatavyo kariakoo lazima uwe na mganga mkali sana😂😂😂
Kwa hiyo Mlimani City ni sokoni, sio? Kama ni sokoni, panastahili kuwapo wafanyabiashara au wamachinga?Bwashee soko siyo jengo ni ule mkusanyiko wa wauzaji na wanunuaji!
Mkurugenzi wa Jiji alikuwa John Mrema. [emoji1][emoji1]Chadema ndio walikuwa wanaongoza jiji la Dar es salaam chini ya meya Mwita!
Wapige chini lile jengo la Lumumba ndio mali ya ccm.Vizimba vitatosha tu square meter moja moja.
Hakafu mzee Mgaya kaniambia CCM inapiga chini lile jengi la DDC na kushusha Machinga complex matata sana!
Baada ya uhuru nchi hii iliendeshwa kistaarabu sana.Hahahaaaa...... ....Kwanza muulize Amos " machinga" ni nani?
Usilete mambo yako ya kinyantuzu!
Hakuna namna mkuu, and haiwezekani watu wote tukafanye biashara Kariakoo, hata ingekuwa kubwa vipi haiwezi kucontain kila mfanyabiashara anayetaka kwenda pale, aliyewahi ameshawahi, watafute maeneo mengine ya kutafuta mkate wao wa kila siku!!Vizimba vingekuwa vinapatikana kirahisi hivi kama ulivyotype kusingekuwa na mtu barabarani🤓!!!
Pia upepo wa biashara wa kariakoo huwezi fananisha na wa mtaani! Mtaani kuipata elfu 50 kwa siku kama uipatavyo kariakoo lazima uwe na mganga mkali sana😂😂😂
Hata kama tangu zamani wapo, basi ndiyo kusiwe na mpangilio na utaratibu? Tufike sehemu tukubali kwamba mipango na taratibu nzuri zitumike katika hili la machingaMsanii Ras Mtimanyongo anasema kamwe Wamachinga hawawezi kuondoka Kariakoo kwa sababu ndio sokoni kuanzia nchi hii ijitawale.
Mtimanyongo anasema Wafanyabiashara kwao ni Samora zamani Independence avenue na Kitumbini na ndio maana hadi sasa hata vijiduka vya kariakoo ni vya ujanja ujanja tu.
Mtimanyongo anasisitiza kuwa kifuatacho kiwe TRA kusaka maghala ya hao wajanja wajanja wa kariakoo huko Vingunguti na Buguruni kama kweli wanataka kukusanya kodi.
Mungu ni mwema wakati wote!
Mzee Majambo wa mwananyamala na mzee Samaki wa Msasani walikuwa wanafanya nini kama siyo Umachinga?Baada ya uhuru nchi hii iliendeshwa kistaarabu sana.
Kitu machinga, chapati barabarani na kupanga nyanya havikuwepo kabisa.
Wanasiasa washamba washamba toka vijijini ndio wamelea huu uozo.
Ndio maana wanapangwa " vizuri " bwashee.Hata kama tangu zamani wapo, basi ndiyo kusiwe na mpangilio na utaratibu? Tufike sehemu tukubali kwamba mipango na taratibu nzuri zitumike katika hili la machinga