Rashford kwishaa. Wazungu ni watu wabaya sana

Rashford kwishaa. Wazungu ni watu wabaya sana

Mi ni shabiki wa manutd ila Rashford haonewi anazingua kweli kaendekeza starehe kuliko kazi, kiwango kibovu muda mfupi baaada ya mechi utaona picha zake yuko club tena hapo timu imetoka kupoteza, sasa sahivi anasingizia ugonjwa alafu anaonekana club na mademu huku kiwango chake kinaporomoka kwa kasi na analipwa hela nyingi tofauti na huduma anayotoa hiyo ni kuhujumu timu na ni upuuzi
 
Mzuka wanajamvi.

Hawa wazungu hasa wana habari wanawamaliza sana jamii ya kiafrika hasa kwenye michezo.

Wasipokuundia mizengwe ya ubakaji basi watasubiri tu utende kosa flani na kukuathiri kisaikolojia hadi ushindwe kufanikiwa kwenye michezo.

Sasa hivi Marcus Rashford (mpemba) mshambuliaji hatari wa Manchester United anaandamwa sana kisa alilewa sana na kusingizia kuumwa kukosa kwenda mazoezini.

Yani watamuandama huyu dogo hadi atashuka zaidi kwenye soka.

Tumeona jinsi walivyomuandama Lewis Hamilton kwenye formula one hadi jamaa sasa hivi msindikizaji.

Tumeona kwa Naomi Osaka kwenye tennis.

Tumeona sasa hivi kwa Kyle Walker beki wa Man City.

Tunaona kwa Jonathan Majors muigizaji maarufu Hollywood.

Tuliona kwa Michael Jackson

Tuliona kwa Mario Baloteli.

Tuliona kwa Benjamin Mendy.

Tunaona kwa Jadon Sancho.

Tuliona kwa will smith.

Tuliona kwa Sadio Mane Bayaan.

Tumeona kwa Romelu Lukaku.

Tumeona waziwazi walivyomnyima Etoo balloon dor.

Tunaona kwa Meghan markle mke wa Prince Harry.

Tuliona kwa kina dada venus na serena Williams.

Ila Mungu bado anatupigania mannigers

Walijaribu sana kuwaangusha kina Husain Bolt, Michael Jordan, Shark wakashindwa. Walimsingiziaga Kobe kabaka.

Wamejaribu sana kwa lebron James wapiii.

Rashford tunakuombe yote haya utapita tu.
Mzungu ana chuki sana na Africa
 
Waandishi wa habari wao kazi yao ni kusaka matukio. Na matukio yanayolipa ni ya watu maarufu.

Niambie kati ya hao wote, yupi ambae ameandamwa kwa habari za uzushi?
Kwa heshima yako mleta mada jibu hili swali. Hivi kina Ebue walivyooa kishamba na kisha wakapigwa hela hizo nazo ni njama? Mtu kaenda kupiga masanga karudi njii kajivunja na Wazungu Kila mahali kamera wakamnasa. Ulitaka waseme wewe ni mweusi Baki na rangi yako?
 
ila waafrika nao ama wenye asili ya afrika wakati mwingine nidhamu yao inakuwa chini sana

unajua kabisa kesho watakiwa mazoezini unaenda kulewa ukipigwa bani unasema wanakuvizia kosa wakufukuze ama wakushushe asa kwa nn nawe hujichungi
Ni sahihi. Wengi hawajitambui. We angalia black American jinsi wanavyojibehave na walivyo na kiburi na majivuno.
 
Hawa wazungu hasa wana habari wanawamaliza sana jamii ya kiafrika hasa kwenye michezo.
Hawa nao ni weusi?? Nafikiri unaendeshwa zaidi na hisia!

WWE’s Vince McMahon resigns after sexual assault and trafficking lawsuit​

Cristiano Ronaldo faces new legal challenge from rape accuser over 2010 hush money deal​


Lionel Messi tax fraud prison sentence reduced to fine​


Novak Djokovic: How tennis player won visa row court case​


A timeline of David Beckham's alleged affair with Rebecca Loos, and what Victoria Beckham has said about it​



 
Tatizo Rashford alikiwasha sana wakati anasaka mkataba mpya halafu alivoupata ni kama amepotezea kujituma
Pesa mkuu, na ndio tatizo lililopo pale Man U, walimwaga sana pesa za mishahara kwa hawa madogo mwisho wake viwango vimekufa na hawauziki, nikimkumbuka Martial yule na ile debut yake Liverpool anakufa Martial anatupia, leo hii hauziki na anaondoka bure [emoji2]
 
Pesa mkuu, na ndio tatizo lililopo pale Man U, walimwaga sana pesa za mishahara kwa hawa madogo mwisho wake viwango vimekufa na hawauziki, nikimkumbuka Martial yule na ile debut yake Liverpool anakufa Martial anatupia, leo hii hauziki na anaondoka bure [emoji2]
Huyo martial akiwa benchi utamuona anacheka meno yote nje 😁 akiingia tu uwanjan anakunja sura kama ugomvi huyu jamaa sijui wazungu wamemroga 😄
 
"The most in-form..." hii kauli haikudumu
 
Yani inasikitisha. Sasa hivi imethibitika baada ya Rashford kulewa Huko Belfast north Ireland alikuwa na girlfriend wake mfaransa aksmfukuza kwenye chumba hotelini kwa kumtupia nguo zake zote nje na vitu vyake.

Huyo binti alilia sana nakwenda reception.

Inasemeka alikuwa anamgombeza Rashford kwa kucheat na binti mwengine kwenye club kwa kukiss mbele yake huyo binti alimmaind Rashford kwa kumkosea heshima na rashford kumuambia unajua mimi ni nani?
Sasa vyombo vya habar vimekomaa.
Sasa hapo kaonewa kivipi?
 
Mzuka wanajamvi.

Hawa wazungu hasa wana habari wanawamaliza sana jamii ya kiafrika hasa kwenye michezo.

Wasipokuundia mizengwe ya ubakaji basi watasubiri tu utende kosa flani na kukuathiri kisaikolojia hadi ushindwe kufanikiwa kwenye michezo.

Sasa hivi Marcus Rashford (mpemba) mshambuliaji hatari wa Manchester United anaandamwa sana kisa alilewa sana na kusingizia kuumwa kukosa kwenda mazoezini.

Yani watamuandama huyu dogo hadi atashuka zaidi kwenye soka.

Tumeona jinsi walivyomuandama Lewis Hamilton kwenye formula one hadi jamaa sasa hivi msindikizaji.

Tumeona kwa Naomi Osaka kwenye tennis.

Tumeona sasa hivi kwa Kyle Walker beki wa Man City.

Tunaona kwa Jonathan Majors muigizaji maarufu Hollywood.

Tuliona kwa Michael Jackson

Tuliona kwa Mario Baloteli.

Tuliona kwa Benjamin Mendy.

Tunaona kwa Jadon Sancho.

Tuliona kwa will smith.

Tuliona kwa Sadio Mane Bayaan.

Tumeona kwa Romelu Lukaku.

Tumeona waziwazi walivyomnyima Etoo balloon dor.

Tunaona kwa Meghan markle mke wa Prince Harry.

Tuliona kwa kina dada venus na serena Williams.

Ila Mungu bado anatupigania mannigers

Walijaribu sana kuwaangusha kina Husain Bolt, Michael Jordan, Shark wakashindwa. Walimsingiziaga Kobe kabaka.

Wamejaribu sana kwa lebron James wapiii.

Rashford tunakuombe yote haya utapita tu.
Rashford ni mshambuliaji hatari tangu lini? Halafu acheni kutumia racism kwenye kila kitu.
 
Yani inasikitisha. Sasa hivi imethibitika baada ya Rashford kulewa Huko Belfast north Ireland alikuwa na girlfriend wake mfaransa aksmfukuza kwenye chumba hotelini kwa kumtupia nguo zake zote nje na vitu vyake.

Huyo binti alilia sana nakwenda reception.

Inasemeka alikuwa anamgombeza Rashford kwa kucheat na binti mwengine kwenye club kwa kukiss mbele yake huyo binti alimmaind Rashford kwa kumkosea heshima na rashford kumuambia unajua mimi ni nani?
Sasa vyombo vya habar vimekomaa.
Kumbe kalewa kweli. Sasa uonevu uko wapi hapo.
 
Back
Top Bottom