Mimi naongelea Mane kumpiga Sane we unaona ni sawa?Oyaa tulia wewe. Agent wa Mane aliweka wazi Mane aliandamwa na ubaguzi eti inawezekanaje mwafrika mweusi alipwe mshahara mkubwa bayaan
Mzungu ana chuki sana na AfricaMzuka wanajamvi.
Hawa wazungu hasa wana habari wanawamaliza sana jamii ya kiafrika hasa kwenye michezo.
Wasipokuundia mizengwe ya ubakaji basi watasubiri tu utende kosa flani na kukuathiri kisaikolojia hadi ushindwe kufanikiwa kwenye michezo.
Sasa hivi Marcus Rashford (mpemba) mshambuliaji hatari wa Manchester United anaandamwa sana kisa alilewa sana na kusingizia kuumwa kukosa kwenda mazoezini.
Yani watamuandama huyu dogo hadi atashuka zaidi kwenye soka.
Tumeona jinsi walivyomuandama Lewis Hamilton kwenye formula one hadi jamaa sasa hivi msindikizaji.
Tumeona kwa Naomi Osaka kwenye tennis.
Tumeona sasa hivi kwa Kyle Walker beki wa Man City.
Tunaona kwa Jonathan Majors muigizaji maarufu Hollywood.
Tuliona kwa Michael Jackson
Tuliona kwa Mario Baloteli.
Tuliona kwa Benjamin Mendy.
Tunaona kwa Jadon Sancho.
Tuliona kwa will smith.
Tuliona kwa Sadio Mane Bayaan.
Tumeona kwa Romelu Lukaku.
Tumeona waziwazi walivyomnyima Etoo balloon dor.
Tunaona kwa Meghan markle mke wa Prince Harry.
Tuliona kwa kina dada venus na serena Williams.
Ila Mungu bado anatupigania mannigers
Walijaribu sana kuwaangusha kina Husain Bolt, Michael Jordan, Shark wakashindwa. Walimsingiziaga Kobe kabaka.
Wamejaribu sana kwa lebron James wapiii.
Rashford tunakuombe yote haya utapita tu.
Ewaaaa asante kwa kuwa na kichwa chepesi...Hakika mule hakuna striker bali ni sticker
Kwa heshima yako mleta mada jibu hili swali. Hivi kina Ebue walivyooa kishamba na kisha wakapigwa hela hizo nazo ni njama? Mtu kaenda kupiga masanga karudi njii kajivunja na Wazungu Kila mahali kamera wakamnasa. Ulitaka waseme wewe ni mweusi Baki na rangi yako?Waandishi wa habari wao kazi yao ni kusaka matukio. Na matukio yanayolipa ni ya watu maarufu.
Niambie kati ya hao wote, yupi ambae ameandamwa kwa habari za uzushi?
Umeshakua mwanangu, sasa jitahidi uhame nyumbaniMama yuko jikoni ana pika, niki muonyesha hii- ata nipa samaki😄🤒
Ni sahihi. Wengi hawajitambui. We angalia black American jinsi wanavyojibehave na walivyo na kiburi na majivuno.ila waafrika nao ama wenye asili ya afrika wakati mwingine nidhamu yao inakuwa chini sana
unajua kabisa kesho watakiwa mazoezini unaenda kulewa ukipigwa bani unasema wanakuvizia kosa wakufukuze ama wakushushe asa kwa nn nawe hujichungi
Kila mmoja aende kwa wazazi wake.Umeshakua mwanangu, sasa jitahidi uhame nyumbani
Hawa nao ni weusi?? Nafikiri unaendeshwa zaidi na hisia!Hawa wazungu hasa wana habari wanawamaliza sana jamii ya kiafrika hasa kwenye michezo.
Mzee baba kweli hii imekugusa, hujapiga like imebidi u comment tu, pole mkuu leo una Wolves mbwa mwitu wale pale kwake.Kumuita ni mshambuliaji hatari wa manchester hapo umezingua [emoji1]
Pesa mkuu, na ndio tatizo lililopo pale Man U, walimwaga sana pesa za mishahara kwa hawa madogo mwisho wake viwango vimekufa na hawauziki, nikimkumbuka Martial yule na ile debut yake Liverpool anakufa Martial anatupia, leo hii hauziki na anaondoka bure [emoji2]Tatizo Rashford alikiwasha sana wakati anasaka mkataba mpya halafu alivoupata ni kama amepotezea kujituma
Kawaida yetu Wa-Afrika kulialia kuonewa na wazungu hata baada ya kutuacha miaka mingi tujitawale.Hawa wazungu hasa wana habari wanawamaliza sana jamii ya kiafrika
Huyo martial akiwa benchi utamuona anacheka meno yote nje 😁 akiingia tu uwanjan anakunja sura kama ugomvi huyu jamaa sijui wazungu wamemroga 😄Pesa mkuu, na ndio tatizo lililopo pale Man U, walimwaga sana pesa za mishahara kwa hawa madogo mwisho wake viwango vimekufa na hawauziki, nikimkumbuka Martial yule na ile debut yake Liverpool anakufa Martial anatupia, leo hii hauziki na anaondoka bure [emoji2]
Sasa hapo kaonewa kivipi?Yani inasikitisha. Sasa hivi imethibitika baada ya Rashford kulewa Huko Belfast north Ireland alikuwa na girlfriend wake mfaransa aksmfukuza kwenye chumba hotelini kwa kumtupia nguo zake zote nje na vitu vyake.
Huyo binti alilia sana nakwenda reception.
Inasemeka alikuwa anamgombeza Rashford kwa kucheat na binti mwengine kwenye club kwa kukiss mbele yake huyo binti alimmaind Rashford kwa kumkosea heshima na rashford kumuambia unajua mimi ni nani?
Sasa vyombo vya habar vimekomaa.
Rashford ni mshambuliaji hatari tangu lini? Halafu acheni kutumia racism kwenye kila kitu.Mzuka wanajamvi.
Hawa wazungu hasa wana habari wanawamaliza sana jamii ya kiafrika hasa kwenye michezo.
Wasipokuundia mizengwe ya ubakaji basi watasubiri tu utende kosa flani na kukuathiri kisaikolojia hadi ushindwe kufanikiwa kwenye michezo.
Sasa hivi Marcus Rashford (mpemba) mshambuliaji hatari wa Manchester United anaandamwa sana kisa alilewa sana na kusingizia kuumwa kukosa kwenda mazoezini.
Yani watamuandama huyu dogo hadi atashuka zaidi kwenye soka.
Tumeona jinsi walivyomuandama Lewis Hamilton kwenye formula one hadi jamaa sasa hivi msindikizaji.
Tumeona kwa Naomi Osaka kwenye tennis.
Tumeona sasa hivi kwa Kyle Walker beki wa Man City.
Tunaona kwa Jonathan Majors muigizaji maarufu Hollywood.
Tuliona kwa Michael Jackson
Tuliona kwa Mario Baloteli.
Tuliona kwa Benjamin Mendy.
Tunaona kwa Jadon Sancho.
Tuliona kwa will smith.
Tuliona kwa Sadio Mane Bayaan.
Tumeona kwa Romelu Lukaku.
Tumeona waziwazi walivyomnyima Etoo balloon dor.
Tunaona kwa Meghan markle mke wa Prince Harry.
Tuliona kwa kina dada venus na serena Williams.
Ila Mungu bado anatupigania mannigers
Walijaribu sana kuwaangusha kina Husain Bolt, Michael Jordan, Shark wakashindwa. Walimsingiziaga Kobe kabaka.
Wamejaribu sana kwa lebron James wapiii.
Rashford tunakuombe yote haya utapita tu.
Kumbe kalewa kweli. Sasa uonevu uko wapi hapo.Yani inasikitisha. Sasa hivi imethibitika baada ya Rashford kulewa Huko Belfast north Ireland alikuwa na girlfriend wake mfaransa aksmfukuza kwenye chumba hotelini kwa kumtupia nguo zake zote nje na vitu vyake.
Huyo binti alilia sana nakwenda reception.
Inasemeka alikuwa anamgombeza Rashford kwa kucheat na binti mwengine kwenye club kwa kukiss mbele yake huyo binti alimmaind Rashford kwa kumkosea heshima na rashford kumuambia unajua mimi ni nani?
Sasa vyombo vya habar vimekomaa.