Rashid Makwiro (Chid Benz) hali yake ni tete kutokana na matumizi makubwa ya madawa ya kulevya

Mkuu upo sayari gani q chief na ray c walikuwa na hali mbaya wote ila raisi akaamua kumchukua ray c tu q chief akamuacha ila sasa hivi mbona kaacha na yupo poa tu abubakari qatwila
Dah, honestly hua sio mfuatiliaji sana wa watu. So ninaposikia taadifa kama hizi huwa nashtuka as ni watu niliokuwa nikisikia wakiaifiwa kwa kufanya vyema.
 
aah bangi ya olkokola ni kiboko aisee!
 
Biashara hii Magufuli ameshindwa kuidhibiti pamoja na cheche zake nyingi?
 
Alaf huyu chidi airport alishakamatwaga na bangi kwenye mfuko wa shati akadai kasahau sio yake mambo kibao mara ye havutagi asa maskini uyo kawa teja bora angebak na bangi tu awe na akili za bang tamu tu
 
''Chidi Benzi aachwe tu afe,manake manake mtu wa kuweza kumfanya asitumie unga ni yeye mwenyewe. Chidi Benzi my best rapper jiokoe'' (Dudu baya, 2015). Wengi walimwelewa vibaya sana jamaa,ila aliongea ukweli mtupu. Hakuna mtu mwingine anayeweza fanya mla unga aache pasipo kushirikisha dhamira ya kweli ya mlaji.
 
Hivi kwenye fiesta ya Dar roma na Stamina si walimoandisha jukwaanj akaimba Dar es salaam Standup.
Nikajua ndo anarudi kwenye game
 
ukiamua unaweza acha chochote kwa msaada wa Mungu
Mungu si msaidie sasa,nanyi ni walewale...saiz walokole wanakuwa km mateja wamekondeana mpk huruma..

Huyo mungu anae jua jana,kesho na leo ..kwann hamkusaidia mapema kabla hajawa ktk hali hii

Hivi ana upendo kweli au aliumba kiumbe ambacho hawawez kukicontrol..kwasababu anaweza yote


Edo kaongea vema adui wa chid ni akili yake so apambane na hali yake

Alipewa msaada kapuuza ,sijui sheria za nchi yetu zipoje weka ndan wanao.uza na kutumia pia

Sent from my HUAWEI Y330-U01 using JamiiForums mobile app
 
Hizi habari omba zisitokee kwa kwa watu wako wa karibu.Ukianza kutumia kuacha ni ngumu sana.Nishapoteza watu wawili wa karibu kisa unga.Wa pili tumemzika mwaka jana baada ya kipigo kutoka kwa wananchi wenye hasira kali kisa wizi.Ilifika hatua ndugu hamkai kwa amani.Akikosa hela ya unga anakuja kwako kuomba na ukimnyima anakutishia panga/kisu.
 
Wabongo alie tuluga sijui ni nani....yani watu wanachangia kumkandia chidi ili hali wa kwenye picha si yeye.....hata kwa kutizama tu mmeshindwa tofautisha
ni yeye kuna hata video nimeiona, simlaumu sana ni mgonjwa
 
Wabongo alie tuluga sijui ni nani....yani watu wanachangia kumkandia chidi ili hali wa kwenye picha si yeye.....hata kwa kutizama tu mmeshindwa tofautisha
endelea kubisha tu kama vile unaishi naye mtaa mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…