MAGARI7
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 2,401
- 1,303
Dah, honestly hua sio mfuatiliaji sana wa watu. So ninaposikia taadifa kama hizi huwa nashtuka as ni watu niliokuwa nikisikia wakiaifiwa kwa kufanya vyema.Mkuu upo sayari gani q chief na ray c walikuwa na hali mbaya wote ila raisi akaamua kumchukua ray c tu q chief akamuacha ila sasa hivi mbona kaacha na yupo poa tu abubakari qatwila