Ah chidi Hana makosa kwa hilo ila yule aliyesaidiwa na raisi kwa pesa za wananchi halafu akarudia tena ananipa hasira SanaHa ha ha mm naboreka sn kusikia Chid kapelekwa Soba House katoka karudia tena!
Ni bora na yy apelekwe gerezani.
Wewe ndio mbishi nenda mitaa ya Kino manyanya to Mwanamboka unamuona na nguo hizo hizo na bandage yake mkononi nimemuona siku kama 3 zilizopita au unabisha hii uthibitishiwe?
Sio mwenyewe acha kuzuga. Huyo wanafanana tu, chidi yuko fresh kama kawa. Nilimuona juzi mitaa ya kwa Manyanya, yuko poa. Si hivyo
Inamaana we mpaka Leo ujajua kuwa wanaopiga vita madawa ndio wanaoyauza?!SERIKALI ISIMDEKEZE CHID BENZ AU RAY C. WAKAMATWE ASWEKWE CELLO.
HUKO WATAONESHA WANAPO NUNUA HIZO NGADA NA ATAACHA AKISWEKWA MIAKA 3 KWA KOSA LA MADAWA YA KULEVYA!
NA WENGINE WATAOGOPA.
Hizo line za langamwisho wa watumiaji wa madawa ya kulevya huwa ni mmoja! Jela,kwenye mataasisi na Kifo"_ Chidi ,Jela tayari, mataasisi tayari(sober House) sasa anachotaka kupata ni Kifo!
Ha ha ha hii mpya!!Inamaana we mpaka Leo ujajua kuwa wanaopiga vita madawa ndio wanaoyauza?!
Wewe ndio utakuwa pusha wake ndio maana unamtetea AU itakuwa hata Chid Mwenyewe humjui zaidi YA kumuona kwenye TV.Sio mwenyewe acha kuzuga. Huyo wanafanana tu, chidi yuko fresh kama kawa. Nilimuona juzi mitaa ya kwa Manyanya, yuko poa. Si hivyo
Niende Insta nifuate nn? Iweke wewe si ndo uliyeiona?Wewe ndio utakuwa pusha wake ndio maana unamtetea AU itakuwa hata Chid Mwenyewe humjui zaidi YA kumuona kwenye TV.
Uliiona ile video alioweka Solo Thang juzi Instagram?!
Nenda kaitazame alafu urudi kubishana hapa.
imekuaje tena mbona kachoka sana chidy benzi.au mnachafua mtoa mada Habari kamiri inaitajika
Habari kamili ni hizo pichaimekuaje tena mbona kachoka sana chidy benzi.au mnachafua mtoa mada Habari kamiri inaitajika
Ungemjua mamake chid usingemuhurumia kbs inawezekana siku za mwanzo alikua anamnunulia kabisa hakujua mambo yatakua hiviNnaemuonea huruma ni mama ake najua anaumia Sana mpka kukosa usingizi chid muonee huruma hata mama ako usimlize Jamani
Anahitaji msaada wa kiroho mlioguswa msisite kumsaidia.
Kila mtu atakufamwisho wa watumiaji wa madawa ya kulevya huwa ni mmoja! Jela,kwenye mataasisi na Kifo"_ Chidi ,Jela tayari, mataasisi tayari(sober House) sasa anachotaka kupata ni Kifo!