Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,692
- 4,991
upo sawa mkuuKama sio mwanzoni mwa mwaka huu basi mwaka jana, alikuwa anaenda ktk shoo mbeya kama kumbukumbu yangu ipo sahihi, akadakwa na dawa pale dar airport. Nadhani kuna wadau walifanya wawezavyo kumuondosha ktk kadhia ile