saimon111
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 1,736
- 1,355
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliomsaidia ndio maboss wake, wauza sembe wenyeweWaliomuua Chidi Benzi ni wale waliomsaidia kwenye kesi yake ya kukamatwa na cocaine Airport. Wangemuacha akakae jela hata miaka 3
90% ya wanaotumia methadone hurudi kwenye Unga baada ya muda fulani, ile methadone huondoa arosto kwa muda mfupi tu, Nina Rafiki yangu mteja tokea 90s alichoka Unga na mwenyewe akajipeleka mnyamala, ila baada ya mwaka mmoja amerudi Kyle kule, ukiongea nae no kweli hataki Unga sema body imeshakuwa dependent kwenye hiyo kitu!wale wanaokula methadone pale mwananyamala mbona changes naziona? wako smart siku hizi na kazi wanafanya
kama ray c kashindwa nadhani chid kama mwanaume ataweza kula dozi kwa usahihi na kurudi kwenye hali yake
aamue tu
Usicheke mzee haya mambo hayana mwenyewe, hata kama halitakuwa la mtindo huu, kinachotakiwa ni kuombeana, lakini inasikitisha sana.[emoji23][emoji23][emoji23]daaa
Teja hakai na simu, uliza wapi anapatikana ndipo unaweza kumpata.Nisaidieni namba yake ya simu nimsaidie kiroho
Ndio uishie apoapo usiote tenaMaisha yanaenda kasi sana... Dah Chidy Benz nilipokuwa nangalia kile kipindi chake EATV nilikuwa na ndoto ya kuwa kama yeye
Nenda kwenye media huko ndio utazipata namba zake kama unania kweliNisaidieni namba yake ya simu nimsaidie kiroho
Basi yeye aamue kuwa kwenye 10% inayotusua90% ya wanaotumia methadone hurudi kwenye Unga baada ya muda fulani, ile methadone huondoa arosto kwa muda mfupi tu, Nina Rafiki yangu mteja tokea 90s alichoka Unga na mwenyewe akajipeleka mnyamala, ila baada ya mwaka mmoja amerudi Kyle kule, ukiongea nae no kweli hataki Unga sema body imeshakuwa dependent kwenye hiyo kitu!
Na zaidi tupate fundisho kwa hawa wachache wanaoonekana kuathirika namna hiiMungu atustiri na atuepushe na janga hilo
Kwa hiyo mkuu unaamini wahusika hawajulikani wa madawa kweli? Labda Kama we we ni mkenyaSERIKALI ISIMDEKEZE CHID BENZ AU RAY C. WAKAMATWE ASWEKWE CELLO.
HUKO WATAONESHA WANAPO NUNUA HIZO NGADA NA ATAACHA AKISWEKWA MIAKA 3 KWA KOSA LA MADAWA YA KULEVYA!
NA WENGINE WATAOGOPA.
Ha ha ha mm naboreka sn kusikia Chid kapelekwa Soba House katoka karudia tena!Kwa hiyo mkuu unaamini wahusika hawajulikani wa madawa kweli? Labda Kama we we ni mkenya
Swaga tu hizo za matejaIle nyeupe mkonono ni nini???
Chuma kimepata kutuHapo zamani za kale palitokea jamaa mmoja machachari sana aliyejiita Chidi Benzi, ila kutokana na Ungangari wake katika game watu wakamuita Chuma
..........basi Ikaendaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....................
Na hadithi yetu ikaishia hapo...
Pengine hata Chid mwenyewe humjui hivyo ni halali yako kubisha.pitia hiyo clip hapo halafu urudi kubisha.Siyo yeye, nitakuwa wa mwisho kuamini
Wengi sio watumiaji coz wanajua sio nzuri ila hawa wengine wanafuata mkumbo tuHalafu wanaouza wako mtaani tu wanaishi bila wasiwas
[emoji115] [emoji3] [emoji3] benzi linazama topeniMasikini Benz linazama topeni...wana hiphop tutamiss lile sauti la kipekee la muungurumo wa Benz....Dar es salaaam stand up.................