Rashid Othman: Umeshindwa Jiuzulu!

Rashid Othman: Umeshindwa Jiuzulu!

Status
Not open for further replies.
Sidhani kama Rashid Othman ana maagizo ya ku kuchunguza wizi wa hela. TUKUKURU na Tume Ya Maadili ndio kazi zao. Nadhani Rashid Othman hata majambazi wanaotishia maisha ya watu hawamhusu. Sio maagizo ya kazi yake.


Kwa wale wote mnaojaribu kumtetea Mkurugenzi wa Usalama, kutokana na shinikioz la baadhi yetu hapa JF kwamba ajiuzulu wakati muafaka ni sasa, kuhusiana na mapesa ya Chenge nje ya nchi yetu,

Ninaomba mjaribu kutafuta strong arguments za kumtetea, sio hizi mnazoleta so far,

1. Rais anapotaka kumchagua kiongozi, hapewi faili la yule kiongozi na Tukukuru, au maadili ya uongozi, anapewa na usalama wa taifa.

2. Takukuru na maadili, hawana maofisa hata mmoja nje ya nchi, yaani kwenye balozi zetu huko nje, walioko huko ni usalama wa taifa ambao walipaswa kujua kuwa Chenge anazo hizo hela huko nje, waliko tena wengi sana.

3. Mfano mdogo, kiongozi wa kwanza kuulizwa kuhusu hii ishu ya Chenge, alikuwa ni waziri wa usalama, Sophia Simba, sio mkuu wa Takukuru wala maadili, unafikiri ni kwa nini? Si huyu waziri Simba angesema sio kazi yao usalama, lakini umeona majibu yote aliyoyatoa kwamba yes ni yeye anyehusika, na kwamba alikuwa hajui kuwa Chenge ana hizo hela, lakini wameanza kumfuatilia na pia kushirikiana na wazungu wanaochunguza ishu,

Tatizo hapa ninalifahamu sana, wengi wa watetezi wake mnalalia udini, ingawa hamsemi tu lakini we know that tayari, ninawaomba kuwa mtafute strong argument za kumtetea Mkurugenzi, so far mnaleta vioja tu!

Ninarudia tena kuwa sasa ni wakati muafaka kwake mkurugenzi wa usalama kujiuzulu, ili kulinusuru taifa na hii ordeal ya ku-focus na mafisadi tu, tunataka kurudi kwenye ishus muhimu kwa taifa, sasa hatuwezi kwa sababu usalama wa sasa hauna uwezo wa kikazi ku-deal na viongozi mafisadi.

Ahsante!
 
jamani sometimes tusimlaumu RO, pia nalipata kusikia ni jeuri ya bosi wake, kwani siri zinasema alishawahi kumwambia bwana mkubwa kuhusu malalamiko ya wananchi kuhusu ufisadi na vinavyoendelea katika moja ya briefing zake na kujibiwa " KAZI YAKO WEWE NA WATU WAKO NI KUNILINDA MIMI, UONGOZI WA NCHI NA MAMBO YAKE NIACHIE MWENYEWE" so inabidi akae kimya kwani bado ndugu zake kule muheza wanahitaji msaada wake wa hali na mali, lazima alinde unga wake kwa kujifanya haoni.

may be tutafika one day kwa msaada wa may be shetani kwani hawaonekani kumuogopa Mungu.
 
Nani kasema kuwa Rashid hakumpatia JK habari za Chenge?? Tunaelekeza frustrations zetu pasipofaa. Wa kujiuzuzulu ni Kikwete, that is where the bucks should stop. Kikwete anatakiwa ajue habari za watendaji wake wote, hasa Mawaziri kabla ya kuwateua. Kama alikuwa hajui then, kwa nini asingemuagiza Rashid kufuatilia ile list ya mafisadi iliyokuwa imezagaa mitaani na kuhusisha watendaji wake?? Nilishasema hapo awali, bunge lianze taratibu za kumng'oa Kikwete. Yeye ndie wa kushurutishwa kuachia ngazi.
 
Kwa wale wote mnaojaribu kumtetea Mkurugenzi wa Usalama, kutokana na shinikioz la baadhi yetu hapa JF kwamba ajiuzulu wakati muafaka ni sasa, kuhusiana na mapesa ya Chenge nje ya nchi yetu,

Ninaomba mjaribu kutafuta strong arguments za kumtetea, sio hizi mnazoleta so far,

1. Rais anapotaka kumchagua kiongozi, hapewi faili la yule kiongozi na Tukukuru, au maadili ya uongozi, anapewa na usalama wa taifa.

2. Takukuru na maadili, hawana maofisa hata mmoja nje ya nchi, yaani kwenye balozi zetu huko nje, walioko huko ni usalama wa taifa ambao walipaswa kujua kuwa Chenge anazo hizo hela huko nje, waliko tena wengi sana.

3. Mfano mdogo, kiongozi wa kwanza kuulizwa kuhusu hii ishu ya Chenge, alikuwa ni waziri wa usalama, Sophia Simba, sio mkuu wa Takukuru wala maadili, unafikiri ni kwa nini? Si huyu waziri Simba angesema sio kazi yao usalama, lakini umeona majibu yote aliyoyatoa kwamba yes ni yeye anyehusika, na kwamba alikuwa hajui kuwa Chenge ana hizo hela, lakini wameanza kumfuatilia na pia kushirikiana na wazungu wanaochunguza ishu,

Tatizo hapa ninalifahamu sana, wengi wa watetezi wake mnalalia udini, ingawa hamsemi tu lakini we know that tayari, ninawaomba kuwa mtafute strong argument za kumtetea Mkurugenzi, so far mnaleta vioja tu!

Ninarudia tena kuwa sasa ni wakati muafaka kwake mkurugenzi wa usalama kujiuzulu, ili kulinusuru taifa na hii ordeal ya ku-focus na mafisadi tu, tunataka kurudi kwenye ishus muhimu kwa taifa, sasa hatuwezi kwa sababu usalama wa sasa hauna uwezo wa kikazi ku-deal na viongozi mafisadi.

Ahsante!

Kwanza, Mama Simba sio Waziri wa Usalama. Na hiyo wizara haipo tena, imemezwa na Mambo ya Ndani chini ya Lawrence Masha. Hapo kwanza ushaanza kupoteza uaminifu; tunaanza kujiuliza kama unajua unachokielezea kwa sababu umejenga hoja kubwa kutegemea huu upotofu. Lakini wote tunakosea, hebu tuendelee.

Mabalozi wa nje hawana nguvu za kuingia kwenye akaunti inayo endeshwa kwa sheria za nchi ya kigeni. Ukiamini hivyo basi utaamini ki hekaya kilicho sambazwa humu FJ leo kwamba makachero wa Kitanzania wamemkamata mwana JF japo hawana jurisdiction, hawana sheria, ya kukamata mtu -hata Mtanzania - ndani ya Uingereza.

Tatu, unapoanza kuongelea dini kwenye usalama na rushwa unazika uaminifu ambao nadhani umeshakufa mpaka hivi sasa! Kitu ambacho kinanipa kichefu chefu hapa JF ni utitiri wa mi-thread ya kidini ambayo sijawahi kuifungua – achilia mbali kuchangia- hata siku moja. Isitoshe nina dhambi nyingi kiasi kwamba nikianza kumtetea Mungu wa dini yeyote ile, yani atajisogeza mbali na mimi kuliko McCain alivyoikimbia endorsement ya Bush!

TUKUKURU na Tume ya Maadili ndio wamelala, sio Rashid Othman. Endelea kuongoza majeshi dhidi ya Ufisadi, Field Marshall ES. Tuko nyuma yako, lakini ukirusha mikuki kwenye wrong target tutashtuana!
 
RO mnajuaje kama hamuelezi tajiri yake? Wewe unataka ufahamishwe kila kitu wanachokifanya? Haiwezekani. But I can assure you ukiacha Mungu na malaika wake next ni taasisi ya RO ni silent heroes. Miiko ya kazi inakataza wao kuelezea mafanikio yao. Suala la kukamata si la RO. Muulize IGP na Hosea na Manumba etc
 
1.
Kwanza, Mama Simba sio Waziri wa Usalama. Na hiyo wizara haipo tena, imemezwa na Mambo ya Ndani chini ya Lawrence Masha. Hapo kwanza ushaanza kupoteza uaminifu; tunaanza kujiuliza kama unajua unachokielezea kwa sababu umejenga hoja kubwa kutegemea huu upotofu. Lakini wote tunakosea, hebu tuendelee.

There you go, majina tofauti maneno yale yale na spirit ile ile, sasa unataka kuugeuza huu mjadala kuwa personal badala ya taifa, hatutakupa hiyo nafasi, you nothing but mdini tu ndugu yangu, usalama ni wizara ya good governance aliyokuwa Masilingi, na sasa Sophia Simba, na ndio maana iko kwenye ofisi ya rais mkuu, na ndio maana bajeti yake haijwahi kusemwa hadharani, sema ulikuwa hujui mkuu, Masha has nothing to do na maofisa wa usalama toka ofisi ya rais, msiwe mnakurupuka kama hamna hoja all it takes ni dakika moja mbili kufikiri au kuuliza kabla ya kukimbilia hapa, waandishi wa habari kwanza wameanzia kwa Simba hawakwenda kwa Masha, sasa unafikiri wale hawajui ila mkuu wewe ndiye unayejua kuwa usalama wa taifa uko wapi?


2.
Mabalozi wa nje hawana nguvu za kuingia kwenye akaunti inayo endeshwa kwa sheria za nchi ya kigeni. Ukiamini hivyo basi utaamini ki hekaya kilicho sambazwa humu FJ leo kwamba makachero wa Kitanzania wamemkamata mwana JF japo hawana jurisdiction, hawana sheria, ya kukamata mtu -hata Mtanzania - ndani ya Uingereza.


Again here you go, mkuu huna huelewi kinchosemwa hapa, balozi hausikani kabisa na maofisa wa kutoka Ikulu wa usalama wa taifa, ndio maana wao hukaa kituoni hata miaka 10, wakati balozi hukaa miaka 4 tu, na hakuna aliyesema kuwa mabalozi ndio wanahusika, ninasema ni maofisa wa usalama katika ofisi zetu za ubalozi nje, ndio waliopaswa kujua haya ya Chenge, kuwa mapesa yote hayo nje ya nchi, Usalama wanaweza kumkamata mwananchi, kama walivyomkamata Memba, mpakani mwa Tanzania na Kenya, unaonekana mambo mengi kuhusu nchi yako mwenyewe huelewi mkuu, usalama wa taifa wanaweza kumakamata anybody at any time kwa ajili ya usalama wa taifa, hayo ya London ni yako wemyewe bro i have nothing to with wala hayahusiani na hii topic period!

3.
TUKUKURU na Tume ya Maadili ndio wamelala, sio Rashid Othman. Endelea kuongoza majeshi dhidi ya Ufisadi, Field Marshall ES. Tuko nyuma yako, lakini ukirusha mikuki kwenye wrong target tutashtuana!

Takukuru na Maadili, hawamna ofisi nje ya nchi yetu wala wawakilishi, ni ofisi ya rais ambao ndio usalama wa taifa wenye ofisi na maofisa huko nje, na pia JWTZ, lakini wao hawahusiki na hii ishu, kwa hiyo mkuu inaonekana unahitaji elimu nzito sana kuhusiana na taifa lako mwenyewe maana you have all your political facts backwards!

Halafu jaribu kusoma vizuri hizi post kwenye hiii thread, sisi tunawajua mpaka ndugu zake wanaopost, hakuna hata mmoja anyekataa kuwa hii sio responsibility ya usalama, wanakataa tu asijuzulu, sasa itakuwa wewe mkuu mtu wa nje tu wala humjui!
 
Kwanza, Mama Simba sio Waziri wa Usalama. Na hiyo wizara haipo tena, imemezwa na Mambo ya Ndani chini ya Lawrence Masha. Hapo kwanza ushaanza kupoteza uaminifu; tunaanza kujiuliza kama unajua unachokielezea kwa sababu umejenga hoja kubwa kutegemea huu upotofu. Lakini wote tunakosea, hebu tuendelee.

Mabalozi wa nje hawana nguvu za kuingia kwenye akaunti inayo endeshwa kwa sheria za nchi ya kigeni. Ukiamini hivyo basi utaamini ki hekaya kilicho sambazwa humu FJ leo kwamba makachero wa Kitanzania wamemkamata mwana JF japo hawana jurisdiction, hawana sheria, ya kukamata mtu -hata Mtanzania - ndani ya Uingereza.

Tatu, unapoanza kuongelea dini kwenye usalama na rushwa unazika uaminifu ambao nadhani umeshakufa mpaka hivi sasa! Kitu ambacho kinanipa kichefu chefu hapa JF ni utitiri wa mi-thread ya kidini ambayo sijawahi kuifungua – achilia mbali kuchangia- hata siku moja. Isitoshe nina dhambi nyingi kiasi kwamba nikianza kumtetea Mungu wa dini yeyote ile, yani atajisogeza mbali na mimi kuliko McCain alivyoikimbia endorsement ya Bush!

TUKUKURU na Tume ya Maadili ndio wamelala, sio Rashid Othman. Endelea kuongoza majeshi dhidi ya Ufisadi, Field Marshall ES. Tuko nyuma yako, lakini ukirusha mikuki kwenye wrong target tutashtuana!

nakubaliana na wewe kuhani kuwa mama simba sio waziri wa usalama, hapa naomba kusema kitu kidogo, kulikuwa na uvujaji wa siri sana wakati TISS ikiwa chini ya wizara ya utawala bora, and due to that "it is the only department in this country that reports directly to the president" ili kuondoa uvujaji wa siri. kwa hiyo haiko hata mambo ya ndani, it is independent department ndo maana ina vitengo vyote vya ndani na nje.

ni kweli mabalozi hawana "mandate" ya kuingilia kwenye accounts za watu zilizoko nje but they can only using the power of the president, (tukumbuke ya kigoma malima na pesa zake kule nje)

with me problem haiko kwa RO, kwani nayeye anahitaji kutunza family yake, mambo yake ya kujirusha na totoz well that is too personal, as long as hafanyi kama mh.wetu wa bunge kutumia mali na pesa za idara kuhudumi hizo totoz, Akijiuzulu leo kwa kuwa hakusikilizwa (ukweli ni kuwa alifahamu na kutoa taarifa) halafu akawekwa mwingine na mchezo ni ule ule what is the point ya kujiuzulu?

ili yasimkute yaliyomkuta kombe RIP)itabidi akae kimya na hivyo watanzania hawatajua kwa nini amejiuzulu and that will remove the whole meaning ya ku-resign.

what we need is the system change, question we need to ask ourselves and actions we need to take are, what part of the system is needed to be changed? why are we changing it? and how do we like it to be after the change? then we make noise to change that.

my two cents contribution
 
Nani kasema kuwa Rashid hakumpatia JK habari za Chenge?? Tunaelekeza frustrations zetu pasipofaa. Wa kujiuzuzulu ni Kikwete, that is where the bucks should stop.

Sidhani kama ni tatizo kujua nani anyeeelekeza frustrations zake mahali pasipofaaa, waziri wa usalama amesema yeye alikuwa hajui habari za Chenge, meaning kwamba hata rais alikuwa hajui, halafu huna haja ya kuingia na majina mengi kueleweka hapa bro, tatizo lako la personal toka day one ni rais, hapana mkuu hiii topic inamhusu mkurugenzi wa usalama wa taifa,ambaye ameshindwa kufanya kazi yake inavyotakiwa, na ni vyema ajiuzulu now!

Hatutakubali kuwa distracted na maneno mengi empty!
 
Sidhani kama ni tatizo kujua nani anyeeelekeza frustrations zake mahali pasipofaaa, waziri wa usalama amesema yeye alikuwa hajui habari za Chenge, meaning kwamba hata rais alikuwa hajui, halafu huna haja ya kuingia na majina mengi kueleweka hapa bro, tatizo lako la personal toka day one ni rais, hapana mkuu hiii topic inamhusu mkurugenzi wa usalama wa taifa,ambaye ameshindwa kufanya kazi yake inavyotakiwa, na ni vyema ajiuzulu now!

Hatutakubali kuwa distracted na maneno mengi empty!


FMES,
Nafikiri unawatambua vizuri hawa wa usalama wa taifa, hata siku moja hawaripoti kwa mawaziri. Wao huripoti kwa mkurugenzi wao na yeye moja kwa moja kwa Raisi tu. Rashid hawezi kumshitaki Chenge kwa Simba, ili iweje? Nafikiri umefika wakati wa kutomuonea aibu Kikwete, ametuangusha na bila ya yeye kuondoka, uvundo utaendelea. The bucks have to stop at Kikwete's desk. Kwangu haileti maana yeyote kufukuza kila mtu ili tu JK abakie madarakani. WHY NOT LET JK GO????
 
MARK MWANDOSYA ameapa kutosubiri 2015...amedhamiria kuondoa utamaduni wa "kumwachia mwenyekiti"..kwa kuwa tayari ndani ya ccm kuna watu wa ndani wanaamini kuwa kuna kila dalili miaka kumi itakuwa mingi mno kikwete kuweza kuhimili..dhahiri kuna kila dalili kuwa anahitaji msaada...ameelemewa kabisa.......hata miaka 2.5 bado!!!!

Hii ni kwa maslahi ya CHAMA ama ya WATANZANIA?

Jamani tuwe makini katika hizi siasa za siku hizi. Kuna watu wameanza kujifanya kuwa wanajali hali ya mambo yanavyokwenda hapa nyumbani lakini ukweli ni kuwa kujali huko kunatokana na dalili za tabaka tawala kuangika ambalo wao ni wanachama watukufu na kuanguka huko kunatishia nafasi yao katika mfumo fisadi huu unaomkandamiza mtanzania na kuwanufaisha wao na familia zao. Sio kila anayelalama sasa ana uchungu na watanzani bali anawasiwasi na sehemu yake ya utukufu katika Tanzania hii wanayofaidika wao. Ukisikia majina ya wanaolalama kuhusu na hali mambo siku hizi utalia machozi. Yaani hata yule kaka yetu aliyefikia mahala akawasusa watanzania kuwa ni wapumbavu na yeye akaamua kuwa mjasiri wa kukusanya mali IKULU eti naye anajalia hali ilivyo sasa.

Sasa sidhani kama imefika wakati eti huyu Msomi wetu naye akajiona ndiye mbadala wa msalaba huu tulionao sasa. Sanasana atakachobadili ni aina gani ya warenbo atakaokuwa akisafiri nao kwa kutumia fedha za walipa kodi wetu.......

Ndugu zangu tuwe makini sana katika enzi hizi za kufifia kwa tumaini la mwisho maana katika hali kama hii ni rahisi kuangukia kwa masiha feki waliojaa majumbani mwetu......

Tanzanianjema
 
Rashid Othman si alikuwa field officer pale London kwa muda mrefu kabla ya kurudi nyumbani kupewa ukurugenzi?

Sasa kama field officer, alifanya nini kuhakikisha kuwa;

  1. Wakati wa kesi ya IPTL kwenye abirtration court, palipotakiwa ule ushahidi kuwa kuna rushwa ili mkatabe uvunjwe, kwa nini hakufuatilia kwa haraka na kuwapa wawakilishi wa Tanesco na Serikali ushahidi ambao ulipelekwa kwa Hosea ili Serikali ishinde kesi na hivyo kuachana na IPTL?
  2. Wakati Ndege Koko na Radar zinanunuliwa, agent na middleman alikuwa London. Je yeye RO kama field officer alifanya juhudi gani kuunganisha nukta na kutoa maoni yake kuhusiana na suala zima la Radar, mkataba wake, bei yake na alternative equipment?
  3. Kama field officer, alishindwa vipi kugundua safari za kila siku na dakika za mawaziri au watendaji kama Mramba, Chenge na Yona ambao wanatuhumiwa kwa Uhujumu na ufisadi?
  4. Akiwa field officer, alihusika vipi kuipa serikali intelligence report kuhusu Meremeta na Tangold ambazo ziliundwa kinyemela Uingereza na maafisa wa Serikali ya Tanzania na JWTZ?
He RO is indirectly or directly responsible on this period. I do not understand the mumbo jumbo about it is not him or TISS responsibility to make sure that everything is done correctly and for interest of Taifa.

It is not about corruption that he is responsible for, it is our National Security.

If our Attorney General was compromised to enter a dubious deal that not only did cost our nation billions of shillings but also the item purchased was not sufficient enough to provide adequate security coverage to protect our country, the he RO as to his previous position as Chief Field Officer and his current position as Director General of TISS he has failed our Nation!

His inaction or appearance of being unwilling to address the situation at hand with firmness has jeopardize security of our nation!
 
Nafikiri unawatambua vizuri hawa wa usalama wa taifa, hata siku moja hawaripoti kwa mawaziri. Wao huripoti kwa mkurugenzi wao na yeye moja kwa moja kwa Raisi tu. Rashid hawezi kumshitaki Chenge kwa Simba, ili iweje? Nafikiri umefika wakati wa kutomuonea aibu Kikwete, ametuangusha na bila ya yeye kuondoka, uvundo utaendelea. The bucks have to stop at Kikwete's desk. Kwangu haileti maana yeyote kufukuza kila mtu ili tu JK abakie madarakani. WHY NOT LET JK GO????

1. Mkuu usalama wa taifa zamani ulikuwa chini ya wizara isiyokuwa maalum, kipindi cha mkapa ikahamishiwa wizara ya utawala bora, mpaka leo, kitine alishawahi kuwa waziri wake na bado mpaka leo ni ofisi ya rais.

2. Maofisa wa usalama wanaripoti kwa mkurugenzi wa usalama, depending on ths ishu, ikiwa too political ni lazima waziri wahusishwe, lakini kama haina politics kabisaa ni mkuurgenzi binafsi as mkurugenzi ndiye mwenye mamlaka ya kuamua what to do, anayo power ya ku-act na kumuarifu rais baadye.

3. Mafaili ya viongozi wote wa juu wa taifa yapo Ikulu, ambako katibu wa ofisi ya rais ndiye incharge wake, rais anapotaka kum-promote kiongozi ni lazima apewe brief na usalama wa taifa na pia kupewa faili lake ambalo hawa usalama wa taifa ndio wanahusika nalo as far as information zake is concerned.

4. Usalama wa taifa wana a strong hand kwenye ku-object kupewa madaraka kwa kiongozi yoyote yule nchini, kwa sababu walizozifanyia uchunguzi, Mwalimu wakati anamkataa Lowassa kugombea urais, alikuwa na information nzito za kifisadi against him ambazo alikuwa amepewa na usalama wa taifa,

kwa hiyo ni wajibu wa usalama wa taifa kuwa habari za Chenge, kuwa na mapesa yote hayo nje na jinsi alivyoyapata, kwa sababu nilitegemea kuwa utakuwa ni wajibu wa usalama wa taifa kujua kiongozi wetu wa juu huko nje ameenda wapi na kufanya nini,

Takukuru na maadili, wanaweza ku-cordinate info, na huwa wanafanya hayo kwa sababu ninakumbuka wakati wa uchaguzi wa rais 2005, maadili walikuwa na info nyingi za muungwana, akiwa nje ingawa 90% zilikuwa ni uongo wa kubuni, sasa maadili walizipata wapi hizo info? Zilitolewa na maofisa wetu wa usalama walioko nje,

Mimi nikiwa US huko nyuma, kulikuwa na ofisa mmoja wa usalama, aliyekuwa akinifuata fuata sana na kutuma ripoti nyingi za uongo bongo zinazonihusu, akifikiri kuwa ana akili sana kumbe mimi nilikuwa ninamchora tu, na kumuona mjinga kwa sababu wakati anahangaika na mimi, kulikuwa na viongozi kama hawa Chenge wakifanya mambo yao ya ufisadi sasa unaona kwamba hii ishu inaangukia wapi usalama wa taifa. Huyu mkulu alinisingizia kuwa nilimmualika mgombea mmoja wa urais na wazungu walihudhuria na kuchanga dola karibu millions ili kumsaidia yule mgombea, kitu ambacho ni uongo wa mchana na a pure nonesense, tena ninaweza hata kulitaja jina hapa na ujinga wote lilikuwa likiufanya na wake za watu, badala ya kuwafuatilia kina Chenge, sasa haya ndio matokeo yake tunakuja kuumbuliwa na wazungu, na hili li-ofisa nalo lifukuzwe kazi pia, tena najua liko wapi sasa, maana haya ya Chenge yamefanyika likiwa kule US.

with me problem haiko kwa RO, kwani nayeye anahitaji kutunza family yake, mambo yake ya kujirusha na totoz well that is too personal, as long as hafanyi kama mh.wetu wa bunge kutumia mali na pesa za idara kuhudumi hizo totoz, Akijiuzulu leo kwa kuwa hakusikilizwa (ukweli ni kuwa alifahamu na kutoa taarifa) halafu akawekwa mwingine na mchezo ni ule ule what is the point ya kujiuzulu? ili yasimkute yaliyomkuta kombe RIP)itabidi akae kimya na hivyo watanzania hawatajua kwa nini amejiuzulu and that will remove the whole meaning ya ku-resign.

what we need is the system change, question we need to ask ourselves and actions we need to take are, what part of the system is needed to be changed? why are we changing it? and how do we like it to be after the change? then we make noise to change that.

Mkuu angalau kidogo una some sense, some of your points zinahitaji considerations.
 
Rashid Othman si alikuwa field officer pale London kwa muda mrefu kabla ya kurudi nyumbani kupewa ukurugenzi?

Sasa kama field officer, alifanya nini kuhakikisha kuwa;
  1. Wakati wa kesi ya IPTL kwenye abirtration court, palipotakiwa ule ushahidi kuwa kuna rushwa ili mkatabe uvunjwe, kwa nini hakufuatilia kwa haraka na kuwapa wawakilishi wa Tanesco na Serikali ushahidi ambao ulipelekwa kwa Hosea ili Serikali ishinde kesi na hivyo kuachana na IPTL?
  2. Wakati Ndege Koko na Radar zinanunuliwa, agent na middleman alikuwa London. Je yeye RO kama field officer alifanya juhudi gani kuunganisha nukta na kutoa maoni yake kuhusiana na suala zima la Radar, mkataba wake, bei yake na alternative equipment?
  3. Kama field officer, alishindwa vipi kugundua safari za kila siku na dakika za mawaziri au watendaji kama Mramba, Chenge na Yona ambao wanatuhumiwa kwa Uhujumu na ufisadi?
  4. Akiwa field officer, alihusika vipi kuipa serikali intelligence report kuhusu Meremeta na Tangold ambazo ziliundwa kinyemela Uingereza na maafisa wa Serikali ya Tanzania na JWTZ?
He RO is indirectly or directly responsible on this period. I do not understand the mumbo jumbo about it is not him or TISS responsibility to make sure that everything is done correctly and for interest of Taifa.

It is not about corruption that he is responsible for, it is our National Security.

If our Attorney General was compromised to enter a dubious deal that not only did cost our nation billions of shillings but also the item purchased was not sufficient enough to provide adequate security coverage to protect our country, the he RO as to his previous position as Chief Field Officer and his current position as Director General of TISS he has failed our Nation!

His inaction or appearance of being unwilling to address the situation at hand with firmness has jeopardize security of our nation!

Mkuu Rev.,
I completely agree with all that you articulated. However, I have to disagree with your conclusion. It is not for Rashid to take the ultimate fall, it is for Mr. President Jakaya Mrisho Kikwete.

We are beating too much on this poor guy, Rashid, for things that probably he long reported to the president. If Kikwete ignored even Mwalimu, who openly discredited Lowassa, and instead JK appointed him to lead his govt., why should anyone believe that JK was not aware of the Chenge’s billions in offshore accounts?? It really puzzles me that we keep on blaming those around Kikwete and leave him as if he is a poor guy in the middle of rotten piggies. Enough is enough with Kikwete’s inactions. It is time for Bunge to take aim at him, if he has to go, let it be so. They have more than enough reasons to at least discuss his actions or inactions.
 
We are beating too much on this poor guy, Rashid,

Whaaat? Hivi unajua aliyemuachia ana mali kiasi gani bro? Eti mkulu ni poor guy? Kwani Chenge, hakuwa poor guy mpaka majuzi tu zilipotoka hizi info?
 
1. Mkuu usalama wa taifa zamani ulikuwa chini ya wizara isiyokuwa maalum, kipindi cha mkapa ikahamishiwa wizara ya utawala bora, mpaka leo, kitine alishawahi kuwa waziri wake na bado mpaka leo ni ofisi ya rais.

2. Maofisa wa usalama wanaripoti kwa mkurugenzi wa usalama, depending on ths ishu, ikiwa too political ni lazima waziri wahusishwe, lakini kama haina politics kabisaa ni mkuurgenzi binafsi as mkurugenzi ndiye mwenye mamlaka ya kuamua what to do, anayo power ya ku-act na kumuarifu rais baadye.

3. Mafaili ya viongozi wote wa juu wa taifa yapo Ikulu, ambako katibu wa ofisi ya rais ndiye incharge wake, rais anapotaka kum-promote kiongozi ni lazima apewe brief na usalama wa taifa na pia kupewa faili lake ambalo hawa usalama wa taifa ndio wanahusika nalo as far as information zake is concerned.

4. Usalama wa taifa wana a strong hand kwenye ku-object kupewa madaraka kwa kiongozi yoyote yule nchini, kwa sababu walizozifanyia uchunguzi, Mwalimu wakati anamkataa Lowassa kugombea urais, alikuwa na information nzito za kifisadi against him ambazo alikuwa amepewa na usalama wa taifa,

kwa hiyo ni wajibu wa usalama wa taifa kuwa habari za Chenge, kuwa na mapesa yote hayo nje na jinsi alivyoyapata, kwa sababu nilitegemea kuwa utakuwa ni wajibu wa usalama wa taifa kujua kiongozi wetu wa juu huko nje ameenda wapi na kufanya nini,

Takukuru na maadili, wanaweza ku-cordinate info, na huwa wanafanya hayo kwa sababu ninakumbuka wakati wa uchaguzi wa rais 2005, maadili walikuwa na info nyingi za muungwana, akiwa nje ingawa 90% zilikuwa ni uongo wa kubuni, sasa maadili walizipata wapi hizo info? Zilitolewa na maofisa wetu wa usalama walioko nje,

Mimi nikiwa US huko nyuma, kulikuwa na ofisa mmoja wa usalama, aliyekuwa akinifuata fuata sana na kutuma ripoti nyingi za uongo bongo zinazonihusu, akifikiri kuwa ana akili sana kumbe mimi nilikuwa ninamchora tu, na kumuona mjinga kwa sababu wakati anahangaika na mimi, kulikuwa na viongozi kama hawa Chenge wakifanya mambo yao ya ufisadi sasa unaona kwamba hii ishu inaangukia wapi usalama wa taifa. Huyu mkulu alinisingizia kuwa nilimmualika mgombea mmoja wa urais na wazungu walihudhuria na kuchanga dola karibu millions ili kumsaidia yule mgombea, kitu ambacho ni uongo wa mchana na a pure nonesense, tena ninaweza hata kulitaja jina hapa na ujinga wote lilikuwa likiufanya na wake za watu, badala ya kuwafuatilia kina Chenge, sasa haya ndio matokeo yake tunakuja kuumbuliwa na wazungu, na hili li-ofisa nalo lifukuzwe kazi pia, tena najua liko wapi sasa, maana haya ya Chenge yamefanyika likiwa kule US.

Mkuu angalau kidogo una some sense, some of your points zinahitaji considerations.

FMES,
Hawa jamaa wa usalama wa taifa wanapokuwa hawana cha kufanya, huwa wanaparamia mtu yeyote ili tu wawe na sababu ya wao kuendelea kuwepo vituoni mwao. Ungemtaja huyo jamaa ingetusaidia kidogo maana labda sio peke yako aliyekufanyia hayo.

Ila, kama ulivyosema kuwa faili la Lowassa halikuwa zuri, ndio maana ninaendelea kung'ang'ania kuwa habari nyingi za hawa wababe, including Chenge, probably zipo kwenye mafaili yao. Kinachokosekana ni 'nia' kwa upande wa H.E. Kikwete wa kusafisha serikali yake. Ndio maana naendelea kusisitiza kuwa wakati umefika kwa Bunge kushika hatamu maana sio ajabu raisi ameshindwa kazi.

 
Whaaat? Hivi unajua aliyemuachia ana mali kiasi gani bro? Eti mkulu ni poor guy? Kwani Chenge, hakuwa poor guy mpaka majuzi tu zilipotoka hizi info?

Yeeees in deed. Rashid sio 'poor guy' interms of wealth, bali poor in terms of the way we have been directing our accusations. He might have to go too, but to me, Kikwete's time is up. He is responsible for the Chenge, Lowassa, Karamagi, etc.
 
KJ, kama wote wanaomshauri Rais na hawasikilizi wakianza kujiuzulu mmoja mmoja labda ataanza kuwasikiliza wale wengine. Kama husikilizwi kwanini kuendelea na nafasi yako? Aidha ni waoga kuwajibika, wanapenda kuimba sifa za JK au ni wazembe kiutendaji. Huwezi kumshauri Rais kuhusu mambo muhimu akakupuuza na wewe ukaendelea kumshauri jambo jingine!
 
Sijabaatika kumuona mtu aitwae usalama wa Taifa, lakini pia sijajua ni sifa gani unatakiwa uwe nazo ili uwe usalama wa Taifa,la kushangaza zaidi nimekuwa nikisikia usalama wa taifa usalama wa taifa , hebu wewe Mzee Mwanakijiji unaweza kunifahamisha walivyo? wana sare gani? lakini pia ofisi zao ziko wapi, kwani mimi NINGEPENDA KUOMBA KWAO KAZI ILI NIWAKAMATE HAWA mAFISADI Wanaotutia umaskini sisi Watanzania
 
KJ, kama wote wanaomshauri Rais na hawasikilizi wakianza kujiuzulu mmoja mmoja labda ataanza kuwasikiliza wale wengine. Kama husikilizwi kwanini kuendelea na nafasi yako? Aidha ni waoga kuwajibika, wanapenda kuimba sifa za JK au ni wazembe kiutendaji. Huwezi kumshauri Rais kuhusu mambo muhimu akakupuuza na wewe ukaendelea kumshauri jambo jingine!

Mkuu MJJ,
Ukiwa TZ na una miaka +50, halafu labda una ka-degree kako ka political science, ni vigumu sana kususia madaraka eti tu kwa vile raisi hakubaliani na wewe. Ni Bw. Idris Rishad peke yake aliyeweza kutikisa kibiriti kulinda hadhi yake, maana tayari ni mfanya biashara aliyefanikiwa na wa kuaminika.

Lakini kama tukipiga kelele mpaka bunge wakaingilia kati na kumjadili JK mwenyewe badala ya kila miezi miwili kujadili mwingine anayedai kuwa $1,000,000 ni 'vijisent', it will create an earthquake na itakuwa rahisi kuwafanyia uchunguzi wote wanaoshukiwa na ufisadi.
 
It is not for Rashid to take the ultimate fall, it is for Mr. President Jakaya Mrisho Kikwete.

On a system that is so corruptand incompetent, one has to examine each and everything to determine the root cause of decay.

Yes Kikwete is the bigger target, however that does not take away roles and responsibilities of others who are part of the whole rotten structure.

For your information, RO has already made threats to JF and its members that we should leave the government alone. Where his threats a directive from his boss or it was his personal drive to threatened those who are exposing a decayed system?

If Kikwete is gone, just like Mkapa, but the RO, Simba, Marmo, Chenge, Hosea, Mwanyika, Makame wa Tume Uchaguzi and others remain intacts, even the new head will be the same.

For us to cure the problem and rehabilitate the system is to weed out everything! RO was responsible office to cover London. IPTL, RADAR and others passed his hound nose undetected!

If he failed to protect our country on a paper contract, how can he protect our country on invasion or any other calamity?

If he is doing his dilligent work, then why doesn't he come out in defiance to public and declare what he did and his advise to the government and the outcomes?

If CIA chief, FBI head and NSA head can publicly come out against their boss, why is it hard for Tanzania to go away form the culture of fear mkubwa?

If Kikwete would tell RO kill Sir Leem, Brazameni or Kada Mpinzani, will RO execute the mission because kaambiwa Sir Leem hafai na simpendi just because mkubwa kasema, au RO will question the motive and judgment of his boss?

Before Kikwete goes, RO must go! and so are others such as Chenge!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom