KYAMTUNDU
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,820
- 295
Kiukweli hakuna ajaya selikali tatu ni kuji ongezea mzigo
Fafanua huo u-mzigo wa serikali tatu tuujue!
Bila hivyo ni kujifanya Kasuku mwenye sura ya mwanadamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiukweli hakuna ajaya selikali tatu ni kuji ongezea mzigo
Kwanza tujue walioanzisha serikari moja lengo ilikuwa nini
naninyi munaoanzisha serikari tatu lengo
ni nini
watanzania tupiganie haki yetu. nchi ni tajiri kwa maliasili lakini maskini wa kutupwa. ona tanzanite, almas, coal, mafuta, gas, dhahabu, chokaa, mbuga za wanyama na nyingine nyingi zipo chini ya watu wa nje kisa ubinafsishaji ilhali kuna wachache wanafaidi kupitia rasilimali. uongozi sasa upo kikabila na mahusiano ya kifamilia au kujuana kwa kusoma pamoja au umaarufu wa baba au mama au mjomba japo mjomba nikwakiasi kidogo. jaribu kufuatilia uongozi tangu 1970 utakuta sir name (majina ya ukoo) yanajirudia. iv nchi twaipeleka wapi. tusimamishe katiba mpya na watanzania tusiwe wajinga kwani kodi zetu ndo hutumiwa na wachache kwa kunufaisha matumbo yao na familia zao huku wengine ata 2000 kwa wiki mtu haipati.