TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,095
nenda kale njaa inakuuma sasa, mia mbili per post zimekutosha kwa leo.
Duh nyie buku 7 kwa post? Au kwa thread?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nenda kale njaa inakuuma sasa, mia mbili per post zimekutosha kwa leo.
Mgeni rasmi wa uzinduzi wa rasimu ya katiba ni magamu wa rais ghalib bilali
Mimi nitakapoona imepitishwa kwamba mawaziri wasiwe wabunge nitapata faraja kwa kweli.Kwa sasa anaongea Jaji Warioba.
kama tutakuwa na majimbo 25 tanzania bara na 10 zanzibar hii inamaana sawa na tanzania bara kuwa na majimbo kulingana na mikoa 25 ya zamani na ukitazama kwa ujumla ccm inachukua majimbo mengi katika kila mkoa ukilinganisha na wapinzani ambao wanaambulia jimbo moja or mawili na kwa tanzania visiwani cuf na ccm watagawana nusu kwa nusu
Kwakweli hata mimi naona safari yenu imetimia.Mbona hayo maoni ni kama yanatufanya sisi CCM kuw chama cha upinzani? Ndio maana ilibidi tutake Mabaraza ya Katiba tuchakachue maoni yenu!
mkuu hiyo ni kwa bunge la muungano, na bado kutakuwa na bunge la tanganyika, na sijui kwenye katiba itasemaje kuhusu bunge la tanganyika!
Hii katiba ikikamilika narudi kuishi bongo, naiona Tanzania yangu mpyaaaaa!
Huna lolote bila mahakama ya Kadhi mimi naona huu ni ujinga tuu
Tanzania au Tanganyika mkuu Jakubumba?
usilolitilia maanani ni kuwa mfumo wa uchaguzi utabadfilika pia. kubwa zaidi ni mfumo utakaoongoza serkali ya tanganyika/bara.kama tutakuwa na majimbo 25 tanzania bara na 10 zanzibar hii inamaana sawa na tanzania bara kuwa na majimbo kulingana na mikoa 25 ya zamani na ukitazama kwa ujumla ccm inachukua majimbo mengi katika kila mkoa ukilinganisha na wapinzani ambao wanaambulia jimbo moja or mawili na kwa tanzania visiwani cuf na ccm watagawana nusu kwa nusu