Abouzakariyya
New Member
- Jun 3, 2013
- 2
- 0
Great work tume imejitahidi kadri ilivyoweza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kizungumkuti naona anyway inawezekana JK akaendelea kuwa madarakani hadi 2017!
Watupatie mahakama ya Kadhi ndio nitakubaliana naoPamoja na mapungufu ya hapa na pale lakini kwa kiasi kikubwa Tume ya Warioba imefanya kazi kubwa.Lazima ukweli usemwe.
Kasema uchaguzi utakuwepo tu endapo mbunge alikuwa ni mgombea binafsi.Hapo umeneno wana assume kama vile hakutakuwa na mgombea binafsi asiyekuwa na chama huyo nani atamrithi, au watatakiwa kuacha wasia wa nani atarithi kiti chake, hili jambo ni la ovyoo, demicrasia lazima iheshimiwe, watu wachague viongozi hii nchi democrasia ndo inakua hata kupiga tu kura watu bado hawajitokezi kuache kuweka vichocheo vya kukuza voter apathy nchini ni kosa kubwa! Akifa/akijihudhuru au kwa namna yoyote nafasi ya kuchaguliwa yoyote ikibaki wazi lazima uchaguzi ufanyike, hii ndo gharama ya democracy!
Hii rasimu imeandaliwa kwa jicho la uchaguzi wa 2015. Bado haijaangalia kwa undani matatizo ya msingi ya muda mrefu ya wananchi.Taasisi muhimu za kutoa haki hazijaguswa(kiutendaji na kiwajibikaji).'Conduct' za 'members' wa hizi Taasisi bado utata.Masuala ya rasilimali,ardhi,maliasili,uraia nayo utata. Hii rasimu imetengenezwa kukipa Chama cha mapinduzi (CCM )
'fake Political Bonhomie' machoni kwa wananchi..
Lisu bado hajapona ule ugonjwa wa mwisho wa mwezi
kweli mkuu hata mi nimeona itabidi watanganyika tuanze mchakato wa katiba ya bara.
Watupatie mahakama ya Kadhi ndio nitakubaliana nao
Huna lolote bila mahakama ya Kadhi mimi naona huu ni ujinga tuuGreat work tume imejitahidi kadri ilivyoweza
mkuu hiyo ni kwa bunge la muungano, na bado kutakuwa na bunge la tanganyika, na sijui kwenye katiba itasemaje kuhusu bunge la tanganyika!Kama sikosei tume imependekeza kuwe na majimbo 25 ya uchaguzi
Mkuu naelewa. Ninachoona mimi ni kuwa huu mchakato wa katiba umefanywa ovyo kabisa ili 2015 ama tusiwe na uchaguzi, au tutumie ile ile katiba ya zamani.
Hebu jiulize; Mwaka 2014 hii katiba ya shirikisho ikikamilika, je 2015 Watanganyika tutapiga kura kuchagua viongozi wetu kwa kutumia sheria ipi? Tutatumia katiba ipi? Hiyo katiba itatengenezwa lini? Tume ya kutengeneza hiyo katiba itaundwa na nani? Endapo "Tanganyika" hatutafanya uchaguzi 2015, Je tutachagua raisi wa shirikisho na wa Zanzibar? Baada ya hapo Tanganyika itakuwa inaongozwa na nani (Kumbuka serikali ya shrikisho itahusika na mambo 7 tu)?