Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,120
Wanaj
yafuatayo ni baadhi ya maoni ya watanzania waliyotegemea kuyaona katika rasimu ya katiba mpya lakini giza;
- kutambuliwa kwa kiswahili kama lugha ya taifa
- mikataba yote kujadiliwa bungeni
ongeza na yako tuone
Mkuu, endapo 2014 hii katiba itakamilika na kutambua uwepo wa Tanganyika, je watanganyika watachagua viongozi wao 2015? Watatumia katiba gani? Hiyo katiba itatengenezwa na nani? Je, itakuwa sawa kufanya uchaguzi wa shirikisho kisha wa Tanganyika baadae?
Mkuu hebu fikiria hapo...
idadi maalum ya wizara..
Oh, you mean hana ruhusa ya kuongeza wala kupunguza bila kuomba ruhusa bungeni? Maybe that.
but kusema leo hii constitution i-fix a number of ministry in the constitution itakua ngumu (IMO)
Marekani Rais hawezi ongeza wizara au punguza bila kuomba ruhusa ya bunge
au kuvunja na kuunga wizara fulani
Tanzania right now as we speak kuna waziri asie na wizara maalum..
Haki za akina Mdee na Mbatia
Ningependa kuona asiwe na power ya kuongeza wala kupunguza bila bunge kuruhusu
sina uhakika but under Bush walipotaka kuunda wizara ya internal security
kila kitu kilijadiliwa bungeni...sina tu uhakika now ilikuwaje...
Si tumeambiwa wahariri wamegawiwa? Waache uvivu si waiweke hapa? Manyerere Jackton wewe si ni Mhariri, tuwekee hapa
Binafsi kwa haraka haraka mapendekezo ya tume ninayaunga mkono isipokuwa madaraka ya raisi lazima yafyekwe.
Sikubaliani na pendekezo la kiongozi wa mhimili wa serikali kumteua kiongozi mkuu wa muhimili wa mahakama. Raisi afanye mambo mengine kama kuteua mawaziri na manaibu wao lakini si kumteua jaji mkuu.
Nakubaliana nao kwamba raisi ateue wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama lakini sikubaliani na pendekezo la raisi kuteua wabunge watano hata kama ni walemavu, hilo ninalipinga.
Uwekwe utaratibu wa kisheria kuwawezesha walemavu wenyewe kuchagua wawakilishi wao wenyewe, vingineyo walemavu watakosa wawakilishi wanaojua shida zao watakaotetea maslahi yao.
pSasahivi kuna mbunge mmoja wa ccm Margreth Mkanga anatajwa kwamba anawakilisha walemavu lakini sijawahi kumsikia akiwasemea walemavu hata mara moja.
Hili swala katika jimbo wagombea awe wanamke na mwanaume ?
Mkuu, endapo 2014 hii katiba itakamilika na kutambua uwepo wa Tanganyika, je watanganyika watachagua viongozi wao 2015? Watatumia katiba gani? Hiyo katiba itatengenezwa na nani? Je, itakuwa sawa kufanya uchaguzi wa shirikisho kisha wa Tanganyika baadae?
Mkuu hebu fikiria hapo...
Ni Department of Homeland Security na iliundwa November 25, 2002 kutokana na yale mashambulizi ya 9-11.
- Introduced in the House as H.R. 5005 by Dick Armey on June 24, 2002
- Passed the House of Representatives on November 19th, 2002 (295-132)
- Passed the Senate on November 19th, 2002 (90-9)
- Signed into law by President George W. Bush on November 25th, 2002
Wanaj
yafuatayo ni baadhi ya maoni ya watanzania waliyotegemea kuyaona katika rasimu ya katiba mpya lakini giza;
- kutambuliwa kwa kiswahili kama lugha ya taifa
ongeza na yako tuone
Wanaj
yafuatayo ni baadhi ya maoni ya watanzania waliyotegemea kuyaona katika rasimu ya katiba mpya lakini giza;
- kutambuliwa kwa kiswahili kama lugha ya taifa
- mikataba yote kujadiliwa bungeni
ongeza na yako tuone
Rasimu inasema:
"Mawaziri wasizidi 15,I guess hiyo ndio itayoreflect idadi ya wizara"
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Kwani Kenya nao hawajaiga kutoka kwingine?