Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,120
Wanaj
yafuatayo ni baadhi ya maoni ya watanzania waliyotegemea kuyaona katika rasimu ya katiba mpya lakini giza;
- kutambuliwa kwa kiswahili kama lugha ya taifa
- mikataba yote kujadiliwa bungeni
ongeza na yako tuone
Sikumsikia Warioba akiitaja Tanganyika kabisa bali Tanzania Bara (sijui ni nchi gani hii).....maoni yangu hata moja halikuchukuliwa