Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,180
- 7,346
Aisee wewe kumbe ni Genius ehee!! katiba ya Tanganyika iandikwe kwa ushirikiano na Wazanzibar? au hujui tume ya Warioba ina wajumbe kutoka Zanzibar? tushirikishe akili kabla ya kucomment na tujifunze ku- appliciate pale kazi nzuri inapofanyika.
Kwa hiyo mwaka 2015 tutachagua serikali ya shirikisho peke yake? Je, serikali ya Tanzania bara itachaguliwa kwa utaratibu upi, uliowekwa na nani?
Hebu nisaidie hapo mkuu...